Siku nyingine tena, 23/9/2024, Mbowe et al should not be killed. Polisi msiue watu!

Siku nyingine tena, 23/9/2024, Mbowe et al should not be killed. Polisi msiue watu!

Kuna dalili ya yeye kuvunja rekodi nyingine.
Rais wa kwanza mwanamke katka Tanzania na pia Rais wa kwanza Mwanamke toka Afrika kufikishwa mahakama ya kimataifa ya The Hague kwa mashtaka ya mauaji ya wanaompinga.
Uzuri sheria za mahakama ile haziangalii jinsia hivyo vilio vya "mama yetu huyo" havitazingatiwa.
Na hao wanaomchochea wakati anapelekwa huko peke yake wao watakuwa wanachapa mvinyo wakicheka
 
Kuna dalili ya yeye kuvunja rekodi nyingine.
Rais wa kwanza mwanamke katka Tanzania na pia Rais wa kwanza Mwanamke toka Afrika kufikishwa mahakama ya kimataifa ya The Hague kwa mashtaka ya mauaji ya wanaompinga.
Uzuri sheria za mahakama ile haziangalii jinsia hivyo vilio vya "mama yetu huyo" havitazingatiwa.
Na hao wanaomchochea wakati anapelekwa huko peke yake wao watakuwa wanachapa mvinyo wakicheka
Nani atakaepeleka hayo mashtaka huko?
 
Natoa rai kwa polisi , msiue watu! Msiue watu please!
Rais Samia, usiue watu, epusha kumwaga damu ya watu wasio na hatia!
Nitakuwa kwa maandamano, najiandaa hivi sasa kuelekea eneo la makusanyiko!

NB; Nitakuwa na pistol yangu, Beretta 9mm, ninayomiliki kihalali, ole wake mbwa yeyote atakayehatarisha usalama wangu kwa kuitumia haki yangu ya kikatiba ya kukusanyika kwa amani, sitasita kuitumia kujilinda!
 
If we must die, let it not be like hogs
Hunted and penned in an inglorious spot,
While round us bark the mad and hungry dogs,
Making their mock at our accursèd lot.
If we must die, O let us nobly die,
So that our precious blood may not be shed
In vain; then even the monsters we defy
Shall be constrained to honor us though dead!
O kinsmen! we must meet the common foe!

Though far outnumbered let us show us brave,
And for their thousand blows deal one death-blow!
What though before us lies the open grave?

Like men we’ll face the murderous, cowardly pack,
Pressed to the wall, dying, but fighting back!
 
Your pain
Yet more my pain
Shall suffocate oppression
Your eyes
Yet more my eyes
Shall be speaking of revolt
Your scars
Yet more my scars
Will be remembering the whip
My hands
Yet more your hands
Will be lifted fully armed
My strength
Yet more your strength
Shall overcome imperialism
My blood
Yet more your blood
Shall irrigate our victory
 
Busara ilikuwa ni kuto kufanya maandamano kwa sababu polisi anae wajibika kwenye usalama amehisi usalama utakua mdogo japo ni uwongo.
Busara nyingine polisi aliehisi uwepo wa uvunjifu wa amani kwenye maandamano hayo asingeshindwa kuimarisha usalama kwa vile ana nyenzo nyingi za kuzuiya uhalifu, badala ya kuweka nguvu ya kuzuia hiyo nguvu angehamishia kwenye kulinda na kuimarisha usalama, ambavyo kwa vyovyote vile ipo ndani ya uwezo.
 
Acheni ujinga. Vita mmeitangaza wenyewe kwa ku-declare "Samia must go", sasa hivi mnaanza kujilizaliza na kusema polisi wasitumie nguvu kuvunja maandamano? Mngetangaza maandamano ya amani toka mwanzo mngeonekana mna akili timamu. Maandamano ya amani hayana kaulimbiu za kijinga kama Samia must go.
 
Natoa rai kwa polisi , msiue watu! Msiue watu please!
Rais Samia, usiue watu, epusha kumwaga damu ya watu wasio na hatia!
Akiuawa Mbowe ni sawa na kuua Tanzania kimataifa, nani atasema Tanzania salama. Na msije mkajaribu. Kifo ni kifo lakini kumuua leader wa opposition kwa maslahi binafsi ya Dictator basi itakuwa balaa. Hata Mugabe hakuthubutu, hata Makaburu hawakuthubutu.

Mkimuua jitayarisheni kusoma na kuandika kichina au ki North Korea. Hao ndiyo mtakaa nao
 
Acheni ujinga. Vita mmeitangaza wenyewe kwa ku-declare "Samia must go", sasa hivi mnaanza kujilizaliza na kusema polisi wasitumie nguvu kuvunja maandamano? Mngetangaza maandamano ya amani toka mwanzo mngeonekana mna akili timamu. Maandamano ya amani hayana kaulimbiu za kijinga kama Samia must go.
Upuuzi huo. Dictator Samia must go ni slogan, sawa na Samia Dictator aachie madaraka to put it in more political perspective. Concept.
 
Kuna dalili ya yeye kuvunja rekodi nyingine.
Rais wa kwanza mwanamke katka Tanzania na pia Rais wa kwanza Mwanamke toka Afrika kufikishwa mahakama ya kimataifa ya The Hague kwa mashtaka ya mauaji ya wanaompinga.
Uzuri sheria za mahakama ile haziangalii jinsia hivyo vilio vya "mama yetu huyo" havitazingatiwa.
Na hao wanaomchochea wakati anapelekwa huko peke yake wao watakuwa wanachapa mvinyo wakicheka
Kuna stori kijiwe cha gahwa kwamba Mkapa aliuwa sana wapemba....Sasa hiki ni kisasi yakhee
 
If we must die, let it not be like hogs
Hunted and penned in an inglorious spot,
While round us bark the mad and hungry dogs,
Making their mock at our accursèd lot.
If we must die, O let us nobly die,
So that our precious blood may not be shed
In vain; then even the monsters we defy
Shall be constrained to honor us though dead!
O kinsmen! we must meet the common foe!

Though far outnumbered let us show us brave,
And for their thousand blows deal one death-blow!
What though before us lies the open grave?

Like men we’ll face the murderous, cowardly pack,
Pressed to the wall, dying, but fighting back!
Hili shairi nimelifundisha sana.Napenda Mstari wa pressed to the wall dying but fighting back.
 
Kwani wale wengine wahalifu wa haki za binadamu walipelekwa na nani?
Hata Kenyatta na Ruto wamepelekwa huko.
Haujanijibu swali bro, sijui nani anaetakiwa kupeleka huko.....naomba unifahanishe, au hata sisi raia wa kawaida?
 
Back
Top Bottom