startergear
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 1,148
- 1,478
Aga familia yako kabisa mkuuNitakuwa kwa maandamano, najiandaa hivi sasa kuelekea eneo la makusanyiko!
NB; Nitakuwa na pistol yangu, Beretta 9mm, ninayomiliki kihalali, ole wake mbwa yeyote atakayehatarisha usalama wangu kwa kuitumia haki yangu ya kikatiba ya kukusanyika kwa amani, sitasita kuitumia kujilinda!
Kuna dalili ya yeye kuvunja rekodi nyingine.
Rais wa kwanza mwanamke katka Tanzania na pia Rais wa kwanza Mwanamke toka Afrika kufikishwa mahakama ya kimataifa ya The Hague kwa mashtaka ya mauaji ya wanaompinga.
Uzuri sheria za mahakama ile haziangalii jinsia hivyo vilio vya "mama yetu huyo" havitazingatiwa.
Na hao wanaomchochea wakati anapelekwa huko peke yake wao watakuwa wanachapa mvinyo wakicheka
Nipe location nije kukulindaNajiandaa nitoke sasa, insha'Allah Kila kitu kitakua sawa
Samia must go hiyo ni lazima tutampiga vita nje na ndaniAcheni ujinga. Vita mmeitangaza wenyewe kwa ku-declare "Samia must go", sasa hivi mnaanza kujilizaliza na kusema polisi wasitumie nguvu kuvunja maandamano? Mngetangaza maandamano ya amani toka mwanzo mngeonekana mna akili timamu. Maandamano ya amani hayana kaulimbiu za kijinga kama Samia must go.
Anayeua kwa upanga naye atauwawa kwa upangaNatoa rai kwa polisi , msiue watu! Msiue watu please!
Rais Samia, usiue watu, epusha kumwaga damu ya watu wasio na hatia!
wewe na mimi na yuleNani atakaepeleka hayo mashtaka huko?
Huyu maza hafai kabisaAnayeua kwa upanga naye atauwawa kwa upanga
Hawana akili kama hiziBusara ilikuwa ni kuto kufanya maandamano kwa sababu polisi anae wajibika kwenye usalama amehisi usalama utakua mdogo japo ni uwongo.
Busara nyingine polisi aliehisi uwepo wa uvunjifu wa amani kwenye maandamano hayo asingeshindwa kuimarisha usalama kwa vile ana nyenzo nyingi za kuzuiya uhalifu, badala ya kuweka nguvu ya kuzuia hiyo nguvu angehamishia kwenye kulinda na kuimarisha usalama, ambavyo kwa vyovyote vile ipo ndani ya uwezo.
Na uzee huu unilinde? Nimepitia mengi makubwaNipe location nije kukulinda
Kama ndio hivyo basi hicho kitu hakipo, nilidhani labda ni taasisi au chama kama TLS ila sisi wa tz nguvu zetu zipo kwenye keyboards tu.wewe na mimi na yule
Dhamira kuu ya chama chochote Cha upinzani ni kukiondoa chama tawala madarakani.Acheni ujinga. Vita mmeitangaza wenyewe kwa ku-declare "Samia must go", sasa hivi mnaanza kujilizaliza na kusema polisi wasitumie nguvu kuvunja maandamano? Mngetangaza maandamano ya amani toka mwanzo mngeonekana mna akili timamu. Maandamano ya amani hayana kaulimbiu za kijinga kama Samia must go.
Hizo ni harakati za kidemokrasia zimeruhusiwa kikatiba,Acheni kutafuta huruma, badilisheni kauli mbiu
Samia must go ni mtego...
Hamjiulizi kwanini mmezuiwa leo na siku zingine hua mnaruhusiwa?
Ni kwamba hamuna akili au hamuelewi mnachokitaka?
My take; Kama lengo lenu ni kumuondoa Samia, msilielie, pambaneni kwa jasho na damu.
Demokrasia ina pillars mkuu...Hizo ni harakati za kidemokrasia zimeruhusiwa kikatiba,
.Sa100 must go ingekuwa tishio ikiwa waandamanaji watabeba silaha,
Lakini ikiwa wanabeba mabango wakiomba na kupaza sauti kudai watekaji na wauwaji wa raia wasio na hatia kuchukuliwa hatua,
Hilo halina tatizo kabisa.
Polisi lindeni waandamanaji na wasioandamana, ndio KAZI yenu.
Mabadiliko ya wananchi kumuondoa kiongozi madarakani bila kushika silaha, Kwa kufanya maandamano, yanaruhusiwa kikatiba.Demokrasia ina pillars mkuu...
Hakuna kitu kinaitwa kumwondoa raisi bila uchaguzi kwenye demokrasia...
Unaposema Samia must go, maana yake unataka mapinduzi...
Mapinduzi yanaruhusiwa kwenye demokrasia?
Niliwahi kuandika humu, Mbowe anaposema Samia must go kwenye maandamano ya amani, anaelewa maana yake? au anafikiri ni usanii kama kawaida yake...
Umeshaamka USINGIZINI?Kuna dalili ya yeye kuvunja rekodi nyingine.
Rais wa kwanza mwanamke katka Tanzania na pia Rais wa kwanza Mwanamke toka Afrika kufikishwa mahakama ya kimataifa ya The Hague kwa mashtaka ya mauaji ya wanaompinga.
Uzuri sheria za mahakama ile haziangalii jinsia hivyo vilio vya "mama yetu huyo" havitazingatiwa.
Na hao wanaomchochea wakati anapelekwa huko peke yake wao watakuwa wanachapa mvinyo wakicheka
tuwekee kifungu cha katiba tujisomee.Mabadiliko ya wananchi kumuondoa kiongozi madarakani bila kushika silaha, Kwa kufanya maandamano, yanaruhusiwa kikatiba.