Kwani wakati wa kulala si zinatolewa hizo? Mme atamsahau vipi mkewe wakati analala naye huku mdomo kauacha wazi ampotee vipi!Kwa wanawake ndiyo hatari zaidi. Siku uzalishaji/uuzaji wa make-up na saloon za kike zikipigwa marufuku Kuna wanaume hawatawatambua wake zao.
Watadhani wamelala na mama mkwe kumbe ndiyo yule yule mkewe wa kila siku.
Hayo maadamano yatapata baraka zote za waziri mkuu Majaliwa!Halafu sijui ni kwanini TRA haioni kuwa hiki ni chanzo kizuri cha kodi. Dawa ni kupandisha kodi kubwa kwenye make ups na manywele ya bandia. Ingewezekana nywele bandia kwa kichwa kimoja iwe milioni 3, na bei ya black kwa ajili ya Mnvi iwe million kwa kichwa.
Tuone waficha uzee wakiandamana
Mdomo upi unaongelea??atamsahau vipi mkewe wakati analala naye huku mdomo kauacha wazi ampotee vipi!
Bora mvi tu, kuliko ule upara mkali yaani muda wote umepiga dongo ukizubaa tu nywele zikaota mtu anaonekana kitukoMvi zinazingua bana!
Mtu unaanzaje kupata mvi at 25 😵😵
Mnazifichaga na wigi.Hata shavu likilegea mnafunika na wigi ukiinua wigi unagundua huyu ni shangazi.Wanaume mtaumbuka 🤣🤣🤣 sie tupo sawa tu, hamna piko wala nini, tunaufurahia umri.
Niliziona zako kwenye selfika zinangaa hizo nilizipenda.Mvi zinazingua bana!
Mtu unaanzaje kupata mvi at 25 😵😵
taizo wengine wana mvi na vipara juu. Ukiacha unakuwa kituko kama profesa mlevi aliefilisika.achia mvi unakua kama nyerere na morgan freeman
zinapendeza
Njoo uone kama nina wigi kwenye kabati langu.Mnazifichaga na wigi.Hata shavu likilegea mnafunika na wigi ukiinua wigi unagundua huyu ni shangazi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mvi zangu nazikubali sana na sina age 35!!! Heri mvi kuliko upara wa utosi[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna mabwakuuuKwa wanawake ndiyo hatari zaidi. Siku uzalishaji/uuzaji wa make-up na saloon za kike zikipigwa marufuku Kuna wanaume hawatawatambua wake zao.
Watadhani wamelala na mama mkwe kumbe ndiyo yule yule mkewe wa kila siku.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani wakati wa kulala si zinatolewa hizo? Mme atamsahau vipi mkewe wakati analala naye huku mdomo kauacha wazi ampotee vipi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hayo maadamano yatapata baraka zote za waziri mkuu Majaliwa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mnazifichaga na wigi.Hata shavu likilegea mnafunika na wigi ukiinua wigi unagundua huyu ni shangazi.
Njoo basi uzichukue maana mi zinanichosha!🥴🥴Niliziona zako kwenye selfika zinangaa hizo nilizipenda.