Dreadnought
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,876
- 3,942
😂 Nami pia 30's na tumvi kwa mbaaliMvi zangu nazikubali sana na sina age 35!!! Heri mvi kuliko upara wa utosi😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 Nami pia 30's na tumvi kwa mbaaliMvi zangu nazikubali sana na sina age 35!!! Heri mvi kuliko upara wa utosi😂😂
Inategemea na tabia za mtu. Kwa wakaka wanaopenda kwenda chumvini na wadada wanaokula Koni miaka 30 mvi zinaanza.Hivi mvi huwa zinaanza ukifika miaka mingapi maana nina mwanangu mmoja hajafika hata miaka 32 ila kachafuka mvi kinoma hadi mimi ndo naogopa najisemea kumbe uzee ni mapema hivi?
Mvi zinazingua bana!
Mtu unaanzaje kupata mvi at 25 [emoji43][emoji43]