Dreadnought JF-Expert Member Joined Mar 25, 2013 Posts 2,876 Reaction score 3,942 Jan 30, 2024 #41 Jogoo mbegu said: Mvi zangu nazikubali sana na sina age 35!!! Heri mvi kuliko upara wa utosi๐๐ Click to expand... ๐ Nami pia 30's na tumvi kwa mbaali
Jogoo mbegu said: Mvi zangu nazikubali sana na sina age 35!!! Heri mvi kuliko upara wa utosi๐๐ Click to expand... ๐ Nami pia 30's na tumvi kwa mbaali
S Sexless JF-Expert Member Joined Mar 11, 2017 Posts 23,683 Reaction score 55,898 Feb 2, 2024 #42 Lucha said: Hivi mvi huwa zinaanza ukifika miaka mingapi maana nina mwanangu mmoja hajafika hata miaka 32 ila kachafuka mvi kinoma hadi mimi ndo naogopa najisemea kumbe uzee ni mapema hivi? Click to expand... Inategemea na tabia za mtu. Kwa wakaka wanaopenda kwenda chumvini na wadada wanaokula Koni miaka 30 mvi zinaanza.
Lucha said: Hivi mvi huwa zinaanza ukifika miaka mingapi maana nina mwanangu mmoja hajafika hata miaka 32 ila kachafuka mvi kinoma hadi mimi ndo naogopa najisemea kumbe uzee ni mapema hivi? Click to expand... Inategemea na tabia za mtu. Kwa wakaka wanaopenda kwenda chumvini na wadada wanaokula Koni miaka 30 mvi zinaanza.
Kichwa Kichafu JF-Expert Member Joined Apr 13, 2017 Posts 44,855 Reaction score 189,385 Feb 17, 2024 #43 Uzee Mali
Kichwa Kichafu JF-Expert Member Joined Apr 13, 2017 Posts 44,855 Reaction score 189,385 Feb 17, 2024 #44 Amerithi Mvi Mengine Amewaachia. Dr Lizzy said: Mvi zinazingua bana! Mtu unaanzaje kupata mvi at 25 [emoji43][emoji43] Click to expand...
Amerithi Mvi Mengine Amewaachia. Dr Lizzy said: Mvi zinazingua bana! Mtu unaanzaje kupata mvi at 25 [emoji43][emoji43] Click to expand...
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Feb 17, 2024 #45 Ngoja tuone... Cc: Mahondaw