Bajeti ya kunguru
JF-Expert Member
- Sep 21, 2014
- 1,379
- 1,069
Mnasumbuka bure JPM hata bila kampeni aliyoyafanya ni kampeni tosha.
MAGUFULI4LIFE.
MAGUFULI4LIFE.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzako wanahesabu matokeo kabisa, hizo asilimia alizozisema Pole pole sio kwamba wanatania....Zitakuwa ni asilimia za kuchaji simu bila shaka.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
"Utafiti unaonyesha kama uchaguzi ungefanyika jumatano ya wiki hii mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dr. Magufuli angepata 85%...." katibu mwenezi Mh. Polepole
Kuna haja gani ya kuacha kupumzika. Mimi nashauri JPM endelea na kazi za kulitumikia taifa kuna kura nyingi za heshima kwa ajili yako!
Ya kuwatolesha wamachinga pesa za vitambulishoMnasumbuka bure JPM hata bila kampeni aliyoyafanya ni kampeni tosha.
MAGUFULI4LIFE.
Kwahiyo magu siku hizi yy hasimangi tena wa kina mamaNyie si muendelee na Kampeni au mmeishiwa masimango? mnasubiri Jpm aongee ndo Lissu apate cha kumsimanga.
Comrade Magufuli hazuiliki ushindi kwetu tunajua upo ila tunataka wa kishindoKwahiyo magu siku hizi yy hasimangi tena wa kina mama
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Ratiba yake ndiyo ilivyo pia kumbuka huyo ni Rais wa nchi pia anatakiwa kufanyakazi za Urais. By the way hahitaji kufanya kampeni ya nguvu sana wakati anajua kushinda ni lazima. Usisahau pia Makamu wa Rais na Waziri Mkuu wanaendelea na kampeni kama kawaida.Kimya kimetanda siku tano nzima mgombea urais wa CCM Hafanyi kampeni , hii mbona inaathiri ratiba yake alitakiwa awe Iringa hajaenda , hizi siku atazifidia vipi? Badala yake anasikika yuko Dodoma anakutana wakurugenzi ? Vipi jamani upepo unamuendeaje ? Nasikia anaandaa time mpya baada ya Polepole nd Bashiru timu Yao kaproove massive failure .
Vipi mchawi madunguli yako yanasema Msaliti Lissu atashinda kwa asilimia ngapi?98 chache sana atafikisha 198
"Utafiti unaonyesha kama uchaguzi ungefanyika jumatano ya wiki hii mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dr. Magufuli angepata 85%...." katibu mwenezi Mh. Polepole
Kuna haja gani ya kuacha kupumzika. Mimi nashauri JPM endelea na kazi za kulitumikia taifa kuna kura nyingi za heshima kwa ajili yako!
Anahangaika Kufanya mikutano na NEC badala ya kufanya KampeniKimya kimetanda siku tano nzima mgombea urais wa CCM Hafanyi kampeni, hii mbona inaathiri ratiba yake alitakiwa awe Iringa hajaenda, hizi siku atazifidia vipi? Badala yake anasikika yuko Dodoma anakutana wakurugenzi? Vipi jamani upepo unamuendeaje? Nasikia anaandaa timu mpya baada ya Polepole na Bashiru timu yao kaproove massive failure .
Pia ccm hawajatoa tamko sababu yaKimya kimetanda siku tano nzima mgombea urais wa CCM Hafanyi kampeni, hii mbona inaathiri ratiba yake alitakiwa awe Iringa hajaenda, hizi siku atazifidia vipi? Badala yake anasikika yuko Dodoma anakutana wakurugenzi? Vipi jamani upepo unamuendeaje? Nasikia anaandaa timu mpya baada ya Polepole na Bashiru timu yao kaproove massive failure .
Anapiga push up kwanzaKimya kimetanda siku tano nzima mgombea urais wa CCM Hafanyi kampeni, hii mbona inaathiri ratiba yake alitakiwa awe Iringa hajaenda, hizi siku atazifidia vipi? Badala yake anasikika yuko Dodoma anakutana wakurugenzi? Vipi jamani upepo unamuendeaje? Nasikia anaandaa timu mpya baada ya Polepole na Bashiru timu yao kaproove massive failure .