Uchaguzi 2020 Siku Tano mgombea Urais wa CCM hafanyi kampeni, Kulikoni?

Uchaguzi 2020 Siku Tano mgombea Urais wa CCM hafanyi kampeni, Kulikoni?

Screenshot_20200926-211201.png
Screenshot_20200926-234107.png
 
Yaani CCM maji ya shingo mpaka wamewaita walioitwa wezi wa mali za chama wanawaomba wawasaidie kufanya kampeni , kumbuka kamati ya Bashiru ya Mali za chama kuna watu waliitwa wezi , Jana wameombwa msamaha wasaidie kampeni , Mpaka kina Makongoro Nyerere wameombwa na hela wamepewa .
Screenshot_20200927-113756.png
Screenshot_20200927-113449.png
 
Kila akizungumza anampa Lissu chakuongea ni bora alivyotulia
Mwishoni mwa campaign Lissu ashauriwe kuacha kuwa reactive na kujibu kila analosema Magu.

Yeye afocus tu kwenye sera mbadala, nini (what) na jinsi gani (how) atafanya kwenye issues za msingi zilizo kero kwa raia wengi.

Ni muhimu sana kuwaambia na kuwaaminisha wapiga kura nini wategemee kwenye utawala wake tofauti na walichoexperience na kuona ndani ya miaka mitano ya JP Magufuli
 
Kimya kimetanda siku tano nzima mgombea urais wa CCM Hafanyi kampeni, hii mbona inaathiri ratiba yake alitakiwa awe Iringa hajaenda, hizi siku atazifidia vipi? Badala yake anasikika yuko Dodoma anakutana wakurugenzi? Vipi jamani upepo unamuendeaje? Nasikia anaandaa timu mpya baada ya Polepole na Bashiru timu yao kaproove massive failure .
ahahahaaaaaa
 
Mwishoni mwa campaign Lissu ashauriwe kuacha kuwa reactive na kujibu kila analosema Magu.

Yeye afocus tu kwenye sera mbadala, nini (what) na jinsi gani (how) atafanya kwenye issues za msingi zilizo kero kwa raia wengi.
Zipo hoja zinazotakiwa kujibiwa tit for tat
 
Kimya kimetanda siku tano nzima mgombea urais wa CCM Hafanyi kampeni, hii mbona inaathiri ratiba yake alitakiwa awe Iringa hajaenda, hizi siku atazifidia vipi? Badala yake anasikika yuko Dodoma anakutana wakurugenzi? Vipi jamani upepo unamuendeaje? Nasikia anaandaa timu mpya baada ya Polepole na Bashiru timu yao kaproove massive failure .
...Nakumbuka kama vile kuna chopa.....mkuu
 
"Utafiti unaonyesha kama uchaguzi ungefanyika jumatano ya wiki hii mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dr. Magufuli angepata 85%...." katibu mwenezi Mh. Polepole

Kuna haja gani ya kuacha kupumzika. Mimi nashauri JPM endelea na kazi za kulitumikia taifa kuna kura nyingi za heshima kwa ajili yako!
Jiwe ni mpango wa Mungu, kaletwa ili ccm ife

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Kimya kimetanda siku tano nzima mgombea urais wa CCM Hafanyi kampeni, hii mbona inaathiri ratiba yake alitakiwa awe Iringa hajaenda, hizi siku atazifidia vipi? Badala yake anasikika yuko Dodoma anakutana wakurugenzi? Vipi jamani upepo unamuendeaje? Nasikia anaandaa timu mpya baada ya Polepole na Bashiru timu yao kaproove massive failure .
Kawaita wakurugenziccm Tumeccm kuandaa uchakachuaji baada ya kuona upepo siyo na pia wanataka wawe nyuma ya Lisu, yaani akipita mkoa wao wapite baada yake wapate kupenyeza propaganda zao za kishetani kirahisi.
 
"Utafiti unaonyesha kama uchaguzi ungefanyika jumatano ya wiki hii mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dr. Magufuli angepata 85%...." katibu mwenezi Mh. Polepole

Kuna haja gani ya kuacha kupumzika. Mimi nashauri JPM endelea na kazi za kulitumikia taifa kuna kura nyingi za heshima kwa ajili yako!
Watu wengi wanaounga mkono CCM ukiangalia hawana maendeleo binafsi
 
"Utafiti unaonyesha kama uchaguzi ungefanyika jumatano ya wiki hii mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dr. Magufuli angepata 85%...." katibu mwenezi Mh. Polepole

Kuna haja gani ya kuacha kupumzika. Mimi nashauri JPM endelea na kazi za kulitumikia taifa kuna kura nyingi za heshima kwa ajili yako!
Anajua hata asipofanya kampeni atashinda kwanini afanye kampeni kwa stress nawakati anajua yeye ndiyo Rais Jana leo na kesho.
 
He has every tool required on the ground running. Ila anasikitika tuu Mnyika na wezake wamefukuzwa kwenye kampeni team ya Lissu.
Siyo kweli huo ni uzushi wa CCM maana sasa wanahaha kutengeneza uchonganishi wa kila aina wameona ya Malawi Zambia kenya congo Ghana Gambia yanaenda kutokea Tanzania na huenda Rais aliyepita akaja kuondolewa kinga kama malawi walivyofanya sasa
 
Kimya kimetanda siku tano nzima mgombea urais wa CCM Hafanyi kampeni, hii mbona inaathiri ratiba yake alitakiwa awe Iringa hajaenda, hizi siku atazifidia vipi? Badala yake anasikika yuko Dodoma anakutana wakurugenzi? Vipi jamani upepo unamuendeaje? Nasikia anaandaa timu mpya baada ya Polepole na Bashiru timu yao kaproove massive failure .
Anajua watanzania hawamtaki,hadi CHATO hatumtaki
 
Watu wengi wanaounga mkono CCM ukiangalia hawana maendeleo binafsi
wanaccm wengi moyoni ni wapinzani lakini pichani wamevaa mavazi ya CCM, inawabidi kukaa CCM kukwepa kubambikiwa kesi na unyanyasaji uonevu uovu mwingi wanaofanyiwa wapinzani.
 
Unaombea iwe hivyo ila haiwi.....hata JPM akisafiri akaenda nje ya nchi akakaa wiki nnne atashinda kwa asilimia zaidi ya 95
 
Wenzako wanahesabu matokeo kabisa, hizo asilimia alizozisema Pole pole sio kwamba wanatania....
NECCCM Tumeccm wamekuchua yale matokeo ya 2015 kipindi cha lowasa wanaongezea kidogo na kuhifadhi wasubiri kutangaza, kwa kifupi CCM wameandaa matokeo kabla ya uchaguzi wenyewe ni fedheha kutumia mabilioni kufanya kampeni huku Tumeccm wakiwa na matokeo mifukoni
 
Back
Top Bottom