minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Goli la mkono uchakachuajiYupo kimya lakini mtaani ana kiki sana. Hii maana yake nini?. Ushindi wa kishindo nadhani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Goli la mkono uchakachuajiYupo kimya lakini mtaani ana kiki sana. Hii maana yake nini?. Ushindi wa kishindo nadhani.
Au kule kwetu Mashewa tinasema fothe tatestateZipo hoja zinazotakiwa kujibiwa tit for tat
Labda ana kiki kwa mabango ya kwenye nguzo na kuta za majengo ya serikali....Yupo kimya lakini mtaani ana kiki sana. Hii maana yake nini?. Ushindi wa kishindo nadhani.
Anatumia magari ya Serikali inafaa katiba irekebishwe katiba ya Tanzania ni katiba mbaya kuliko zote Duniani
Unajuaje kama siyo mtanzania? Si unaona anafanana na mwandishi nguli Richard MabalaHuu uchaguzi ni wetu watanzania(JPM v/s TAL), huyu Robert Amsterdam anaingiaje?
Safi kupumzika kwake siku tano maana yake mambo yanaenda vizuri hana haja ya kuwa na presha."Utafiti unaonyesha kama uchaguzi ungefanyika jumatano ya wiki hii mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dr. Magufuli angepata 85%...." katibu mwenezi Mh. Polepole
Kuna haja gani ya kuacha kupumzika. Mimi nashauri JPM endelea na kazi za kulitumikia taifa kuna kura nyingi za heshima kwa ajili yako!
Hahahahahahhah!! Kwahiyo kaomba poo!!Yule huwa pumzi zinamkata mara kwa mara. Lissu ni mtu mbaya sana.
Hahahhaah!Yuko gereji gia imegoma kuingia, sasa ameona awaone wakurugenzi na awape maagizo ya kufanya, kwani mpaka sasa yeye ni boss wao.
Wasmbie wasifanye mwaka huu huo mchezo wao dunia nzima inafuatilia kila kinachoendelea .NECCCM Tumeccm wamekuchua yale matokeo ya 2015 kipindi cha lowasa wanaongezea kidogo na kuhifadhi wasubiri kutangaza, kwa kifupi CCM wameandaa matokeo kabla ya uchaguzi wenyewe ni fedheha kutumia mabilioni kufanya kampeni huku Tumeccm wakiwa na matokeo mifukoni
Apone haraka apite aone hasira za wananchi dhidi ya uonevu unyanyasaji wake kwa wapinzaniKuna Habari zinasema yu taabani kitandani matatizo ya moyo
Ahadi hewa Kama kawaida ya ccmHakika,TUNATEKETEZAAAAAAAAA.View attachment 1582238
Mchezo gani huo ? kuwashinda wapinzani kwenye uchaguzi? mnachaguliwa mkapinge ili kukamilisha matakwa ya katiba kuwa nchi ina upinzani.Wasmbie wasifanye mwaka huu huo mchezo wao dunia nzima inafuatilia kila kinachoendelea .View attachment 1582384
Mzee ana pumzi ndogo sana ya kuchana freestyles kwenye beats za Lissu, hivyo lazima amwombe DJ a break kidogo na kuplay jingo za wadhamini wa kipindi (Kina polepole na bashiru)Hahahahahahhah!! Kwahiyo kaomba poo!!
Nini kazi ya upinzani? Maana ya upinzani ni kupinga vyote vya hovyo vinavyofanywa na CCMMchezo gani huo ? kuwashinda wapinzani kwenye uchaguzi? mnachaguliwa mkapinge ili kukamilisha matakwa ya katiba kuwa nchi ina upinzani.
Mtukufu kagundua kuwa watanzania hawataki kusikia vitu vinaitwa Ndege flyover bwawa la umeme reli kwani vina ufisadi wa kutisha mno ndiyo maana CAG hajakanyaga hukoMzee ana pumzi ndogo sana ya kuchana freestyles kwenye beats za Lissu, hivyo lazima amwombe DJ a break kidogo na kuplay jingo za wadhamini wa kipindi (Kina polepole na bashiru)
Sent using Jamii Forums mobile app
Alijinadi ni Rais wa wanyonge lakini watumishi wa umma ambao ni sehemu ya wanyonge hawajalipwa nyongeza za mishahara kwa miaka mitanoJiwe alivyopoa kama maji ya mtungi Lissu noma sana .Nikikumbuka Kauli zake za kibabe ndani miaka hii mitano halafu alivyopoa ghafla sijui kapatwa na nini ? Lissu utaua mtu .View attachment 1582389