Uchaguzi 2020 Siku Tano mgombea Urais wa CCM hafanyi kampeni, Kulikoni?

Uchaguzi 2020 Siku Tano mgombea Urais wa CCM hafanyi kampeni, Kulikoni?

Mwishoni mwa campaign Lissu ashauriwe kuacha kuwa reactive na kujibu kila analosema Magu.

Yeye afocus tu kwenye sera mbadala, nini (what) na jinsi gani (how) atafanya kwenye issues za msingi zilizo kero kwa raia wengi.

Ni muhimu sana kuwaambia na kuwaaminisha wapiga kura nini wategemee kwenye utawala wake tofauti na walichoexperience na kuona ndani ya miaka mitano ya JP Magufuli
Huwa anaanzia alipoharibu jamaa yenu kisha anamalizia kwenye sera. Hiyo ndio maana halisi ya spana kadiri unavyokwenda mbele ndivyo inavyozidi kukaza
images%20(2).jpg
 
Nyundo za lissu si za mchezo mchezo, Jogoo kaingia bandani akawika lazima vijogoo vidogo vidogo vikae kimya na kujificha kwenye kona za banda.
 
Kimya kimetanda siku tano nzima mgombea urais wa CCM Hafanyi kampeni, hii mbona inaathiri ratiba yake alitakiwa awe Iringa hajaenda, hizi siku atazifidia vipi? Badala yake anasikika yuko Dodoma anakutana wakurugenzi? Vipi jamani upepo unamuendeaje? Nasikia anaandaa timu mpya baada ya Polepole na Bashiru timu yao kaproove massive failure .
Yupo bize anasuka mipango ya namna ya kufanikisha bao la mkono maana hali ni mbaya kwerikweri
 
"Utafiti unaonyesha kama uchaguzi ungefanyika jumatano ya wiki hii mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dr. Magufuli angepata 85%...." katibu mwenezi Mh. Polepole

Kuna haja gani ya kuacha kupumzika. Mimi nashauri JPM endelea na kazi za kulitumikia taifa kuna kura nyingi za heshima kwa ajili yako!
Tena ikiwezekana alale ikulu asubiri kuapishwa, ndio atajua kama hajui
 
Kimya kimetanda siku tano nzima mgombea urais wa CCM Hafanyi kampeni, hii mbona inaathiri ratiba yake alitakiwa awe Iringa hajaenda, hizi siku atazifidia vipi? Badala yake anasikika yuko Dodoma anakutana wakurugenzi? Vipi jamani upepo unamuendeaje? Nasikia anaandaa timu mpya baada ya Polepole na Bashiru timu yao kaproove massive failure .
nasikia gia zimepandiana kila akitaka kuondoka anafeli, Lisu ameipigilia sana nati spana
 
The European Union(EU) wamefanya utafiti wao na kueleza kuwa, kama uchaguzi mkuu ungefanyika Wiki hili, CCM ingeshinda kwa zaidi ya 85%.
Kumbuka ni kadhaa zimefanywa na watu/Makundi tofauti tofauti na kuonesha ushindi kwa CCM kwa zaidi ya 85%.
Mpaka hapo kunakuwa na haja gani ya kupoteza muda gharama nyingi wakati ushindi umeshapatikana?
Hata hivyo, kwa mtu unayejiamini si lazima kila siku upige Kampeni.
Lakini pia wagombea wengine wana kofia mbili. Kofia ya ugombea na Kofia ya utawala. Kwa hiyo muda mwingine huyu mwenye Kofia mbili anakuwa ana kazi za utawala tofauti na yule ambaye ni mgombea tu.
Nawasilisha.
Muache uongo sawa ?
Screenshot_20200926-211201.png
Screenshot_20200923-153737.png
 
Niko Mbeya town hapa getoni kwangu nimetulia, linapita gari la promo za Meko now linapiga kelele tu,, Siku anakuja mzee wa Spana Lissu hakukua na promo ka hizi ila watu tulijaa viwanja vya Rwandanzovye...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu si athumani walioitwa wapumbafu huko CCM , wezi wa mali za chama , waliofukuzwa uwaziri kwa kudhalishwa , wengine kwa bastola, wengine kunyang'anywa magari wakiwa juu ya majukwaa mikoani kikazi wanaombwa ? Wanabembelezwa wasaidie kupiga kampeni ? Jiwe , Bashiru , Chakubanga Polepole wamechemka vibaya sana .
 
October tuikomboe nchi yetu, kapige nyundo tatu za utosi. Diwani, mbunge, raisi.
 

Attachments

  • FB_IMG_1600852742662.jpg
    FB_IMG_1600852742662.jpg
    27.7 KB · Views: 1
Back
Top Bottom