Uchaguzi 2020 Siku Tano mgombea Urais wa CCM hafanyi kampeni, Kulikoni?

Uchaguzi 2020 Siku Tano mgombea Urais wa CCM hafanyi kampeni, Kulikoni?

Kwahiyo Jiwe Ameshaona field Mambo magumu kaona akimbilia kubumba matokea na tumeccm na wakurugenziccm wakisaidiwa na vipenyo , ila uraiani Jiwe kanyoosha mikono .
 
Nyie hamuwajui sisiemu. Sasa hivi wanajadili plan B maana washagundua wabongo sio mabwege kama walivyodhani
 
Yuko gereji gia imegoma kuingia, sasa ameona awaone wakurugenzi na awape maagizo ya kufanya, kwani mpaka sasa yeye ni boss wao.
Waliitwa watendaji wakaagizwa kukata majina yote wagombea wenye viti mitaa na vijiji toka upinzani. Wakurugenzi itakuwa kuwakumbusha kuwatangaza washindi ni CCM tu vingineyo wajitumbue.
 
Alishafanya kampeni muda mrefu sasa hivi anaendelea na shuguri nyingine
Alianza kampeni tokea 2016 amekuwa akipita kugawa pesa kuwadhalilisha wabunge wa upinzani mbele za wananchi, hata kule Rufiji alinunua jogoo kwa tshs laki moja na kumpigia debe mzee muuza jogoo awe mwenza wa mama yake mzazi.
 
Waliitwa watendaji wakaagizwa kukata majina yote wagombea wenye viti mitaa na vijiji toka upinzani. Wakurugenzi itakuwa kuwakumbusha kuwatangaza washindi ni CCM tu vingineyo wajitumbue.
Uzuri wa sasa wanaccm wengi ni wapinzani moyoni imekuwa rahisi kutoa siri zote za CCM
 
Nyie hamuwajui sisiemu. Sasa hivi wanajadili plan B maana washagundua wabongo sio mabwege kama walivyodhani
Inawezekana kweli, kwa maana kwa jinsi walivyokuwa wanatamba wameua upinzani, hiki kinachotokea kimewapa mshtuko wa moyo.
Unaona hata Chakubanga kabla ya kampeni aliwahi kusema watashinda kwa 98% lakini majuzi kupunguza kasema 85%. Kadri siku zinavyokwenda zinapungua.
 
Ishu ya kuiba kura ni ngumu sana, sema vyama vya upinzani huwa haviko serious na usimamizi.
 
The European Union(EU) wamefanya utafiti wao na kueleza kuwa, kama uchaguzi mkuu ungefanyika Wiki hili, CCM ingeshinda kwa zaidi ya 85%.
Kumbuka ni kadhaa zimefanywa na watu/Makundi tofauti tofauti na kuonesha ushindi kwa CCM kwa zaidi ya 85%.
Mpaka hapo kunakuwa na haja gani ya kupoteza muda gharama nyingi wakati ushindi umeshapatikana?
Hata hivyo, kwa mtu unayejiamini si lazima kila siku upige Kampeni.
Lakini pia wagombea wengine wana kofia mbili. Kofia ya ugombea na Kofia ya utawala. Kwa hiyo muda mwingine huyu mwenye Kofia mbili anakuwa ana kazi za utawala tofauti na yule ambaye ni mgombea tu.
Nawasilisha.
 
Kimya kimetanda siku tano nzima mgombea urais wa CCM Hafanyi kampeni, hii mbona inaathiri ratiba yake alitakiwa awe Iringa hajaenda, hizi siku atazifidia vipi? Badala yake anasikika yuko Dodoma anakutana wakurugenzi? Vipi jamani upepo unamuendeaje? Nasikia anaandaa timu mpya baada ya Polepole na Bashiru timu yao kaproove massive failure .

!
!
Gari la mkaa, tripu moja mjini ya pili gereji
 
The European Union(EU) wamefanya utafiti wao na kueleza kuwa, kama uchaguzi mkuu ungefanyika Wiki hili, CCM ingeshinda kwa zaidi ya 85%.
Kumbuka ni kadhaa zimefanywa na watu/Makundi tofauti tofauti na kuonesha ushindi kwa CCM kwa zaidi ya 85%.
Mpaka hapo kunakuwa na haja gani ya kupoteza muda gharama nyingi wakati ushindi umeshapatikana?
Hata hivyo, kwa mtu unayejiamini si lazima kila siku upige Kampeni.
Lakini pia wagombea wengine wana kofia mbili. Kofia ya ugombea na Kofia ya utawala. Kwa hiyo muda mwingine huyu mwenye Kofia mbili anakuwa ana kazi za utawala tofauti na yule ambaye ni mgombea tu.
Nawasilisha.
Fake news
 
Kimya kimetanda siku tano nzima mgombea urais wa CCM Hafanyi kampeni, hii mbona inaathiri ratiba yake alitakiwa awe Iringa hajaenda, hizi siku atazifidia vipi? Badala yake anasikika yuko Dodoma anakutana wakurugenzi? Vipi jamani upepo unamuendeaje? Nasikia anaandaa timu mpya baada ya Polepole na Bashiru timu yao kaproove massive failure .
Tetemeko la kisiasa la nguvu ya 56.7 kuikumba Tz. Never like before.
 
Ndo
Utafiti ulofanywa na bashir, we bure kabisa, lisu kakaza spana mpaka jamaa chalii uko dodoma.

Mtaji wake ni kuiba kura tu vinginevyo TAL anaichukua nchi saa 4 tu
to kama zako huwa zinadumaza uwezo wa kutafakari, hamka mkuu!
 
Back
Top Bottom