Uchaguzi 2020 Siku Tano mgombea Urais wa CCM hafanyi kampeni, Kulikoni?

Hizo ni asilimia za kuchaji simu yake sio za kura
 
10 more years for Magufuli, Change the Constitution to allow, Mbona Mbowe kabadilisha. Tutapiga kura wengi wape/ / / / /
 
Ratiba yake ndiyo ilivyo pia kumbuka huyo ni Rais wa nchi pia anatakiwa kufanyakazi za Urais. By the way hahitaji kufanya kampeni ya nguvu sana wakati anajua kushinda ni lazima. Usisahau pia Makamu wa Rais na Waziri Mkuu wanaendelea na kampeni kama kawaida.
 
Utafiti ulofanywa na bashir, we bure kabisa, lisu kakaza spana mpaka jamaa chalii uko dodoma.

Mtaji wake ni kuiba kura tu vinginevyo TAL anaichukua nchi saa 4 tu
 
Anahangaika Kufanya mikutano na NEC badala ya kufanya Kampeni
 
Pia ccm hawajatoa tamko sababu ya
kuahirisha kampeni
 
Anapiga push up kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…