Siku tatu kabla ya Mkutano Mkubwa wa hadhara wa CHADEMA, Mwanza yote inazizima

Siku tatu kabla ya Mkutano Mkubwa wa hadhara wa CHADEMA, Mwanza yote inazizima

Wakati mnaenda Mwanza kumbukeni mwenzenu kikwete amewahi kupigwa mitama, chungeni ndimi zenu.
 
CAG Kichere sijui alikuwa na maana gani alipokuja na report ya kutuambia kwamba kujengwa kwa stendi kubwa ya mabasi ya kwenda mikoani maeneo ya Mbezi maarufu kama Magufuli ungesababisha foleni kubwa eneo hilo, pia ujenzi wa barabara ya njia nane kutoka Kimara hadi Kibaha kwamba Magufuli alikurupuka hakufuata mpango kazi!

Leo ujenzi wa barabara hiyo unaelekea kukamilika lakini hata kwa mtu ambaye hana akili kama wa ufipa lazima atakuambia hii kazi ni nzuri.

Ukiitizama stendi ya Magufuli ilivyo ,pia ukaitizama barabara ya njia nane kutoka Kimara hadi Kibaha lazima ujue kuna kiongozi alisimamia kodi za Watanzania na alishughulisha kichwa kwelikweli.
Kuna viongozi wa aina mbili kubwa. 5% ni version ya kina JPM, majaliwa na 95% ni version ya kina huyo kicheche na wenzake wao hawana upeo wa kuona mbali, wala uthubutu. Taifa likiwa na viongozi wa aina hii ya pili kutumbukia shimoni ni jambo tarajiwa.
 
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba, huko Mwanza tayari "HOMA YA JIJI" imekwisha ingia, Hivi ninavyoandika hapa Jiji zima la Mwanza ni shangwe tupu lililojaa matumaini kutokana na kishindo kizito cha CHADEMA na uzinduzi kabambe wa Mikutano ya hadhara, iliyozuiliwa kidikteta kutokana na uoga wa kushindwa kujibu hoja.

View attachment 2486257

Nilichobaini ni kwamba, Wananchi walipunjwa sana kwa kitendo cha kuzuia Mikutano ya hadhara, na wana kiu mno ya kusikia hoja tofauti, yaani mtu mmoja tu alitaka asikike yeye tu peke yake yaani, huu ulikuwa ubinafsi wa Aibu sana!

Hongereni sana wakazi wa Mwanza, Sisi Chadema tunawaahidi Spana za uhakika, Msiwe na wasiwasi.

Mungu ibariki Mwanza.

TETESI : HUENDA TUNDU LISSU AKAUNGANISHA KANDA YA VICTORIA KWA CHOPA ILI KUONGEZA NGUVU

Tuendelee kuitegea sikio JF kwa taarifa zaidi .
CDM tumerudi upyaaaaa, peopleeeeeeeeees!!!
 
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba, huko Mwanza tayari "HOMA YA JIJI" imekwisha ingia, Hivi ninavyoandika hapa Jiji zima la Mwanza ni shangwe tupu lililojaa matumaini kutokana na kishindo kizito cha CHADEMA na uzinduzi kabambe wa Mikutano ya hadhara, iliyozuiliwa kidikteta kutokana na uoga wa kushindwa kujibu hoja.

View attachment 2486257

Nilichobaini ni kwamba, Wananchi walipunjwa sana kwa kitendo cha kuzuia Mikutano ya hadhara, na wana kiu mno ya kusikia hoja tofauti, yaani mtu mmoja tu alitaka asikike yeye tu peke yake yaani, huu ulikuwa ubinafsi wa Aibu sana!

Hongereni sana wakazi wa Mwanza, Sisi Chadema tunawaahidi Spana za uhakika, Msiwe na wasiwasi.

Mungu ibariki Mwanza.

TETESI : HUENDA TUNDU LISSU AKAUNGANISHA KANDA YA VICTORIA KWA CHOPA ILI KUONGEZA NGUVU

Tuendelee kuitegea sikio JF kwa taarifa zaidi .
uongo wa nini mimi niko mwanza waka sijui chochote kuhusu huo mkutano na wala hakuna shangwe yoyote
 
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba, huko Mwanza tayari "HOMA YA JIJI" imekwisha ingia, Hivi ninavyoandika hapa Jiji zima la Mwanza ni shangwe tupu lililojaa matumaini kutokana na kishindo kizito cha CHADEMA na uzinduzi kabambe wa Mikutano ya hadhara, iliyozuiliwa kidikteta kutokana na uoga wa kushindwa kujibu hoja.

View attachment 2486257

Nilichobaini ni kwamba, Wananchi walipunjwa sana kwa kitendo cha kuzuia Mikutano ya hadhara, na wana kiu mno ya kusikia hoja tofauti, yaani mtu mmoja tu alitaka asikike yeye tu peke yake yaani, huu ulikuwa ubinafsi wa Aibu sana!

Hongereni sana wakazi wa Mwanza, Sisi Chadema tunawaahidi Spana za uhakika, Msiwe na wasiwasi.

Mungu ibariki Mwanza.

TETESI : HUENDA TUNDU LISSU AKAUNGANISHA KANDA YA VICTORIA KWA CHOPA ILI KUONGEZA NGUVU

Tuendelee kuitegea sikio JF kwa taarifa zaidi .

Wewe Heche acha uongo huo
 
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba, huko Mwanza tayari "HOMA YA JIJI" imekwisha ingia, Hivi ninavyoandika hapa Jiji zima la Mwanza ni shangwe tupu lililojaa matumaini kutokana na kishindo kizito cha CHADEMA na uzinduzi kabambe wa Mikutano ya hadhara, iliyozuiliwa kidikteta kutokana na uoga wa kushindwa kujibu hoja.

View attachment 2486257

Nilichobaini ni kwamba, Wananchi walipunjwa sana kwa kitendo cha kuzuia Mikutano ya hadhara, na wana kiu mno ya kusikia hoja tofauti, yaani mtu mmoja tu alitaka asikike yeye tu peke yake yaani, huu ulikuwa ubinafsi wa Aibu sana!

Hongereni sana wakazi wa Mwanza, Sisi Chadema tunawaahidi Spana za uhakika, Msiwe na wasiwasi.

Mungu ibariki Mwanza.

TETESI : HUENDA TUNDU LISSU AKAUNGANISHA KANDA YA VICTORIA KWA CHOPA ILI KUONGEZA NGUVU

Tuendelee kuitegea sikio JF kwa taarifa zaidi .
Abarikiwe samia Suluhu kwa kutokuwa mbaguzi.
 
CHADEMA kimebaki na wahuni tu, kuanzia mwenyeiti wao Hadi wafuasi wao.
Dr. Slaa, Kitila Mkumbo, Prof. Safari na wasomi wengine walijenga na kusimamia mission na vision ya chama; waliziba sana madhaifu ya mwenyeiti ambayo Kwa Sasa yanaonekana hadharani hatimaye kupuuzwa na wanachama.

Sasa, unadhani Sugu, John Mrema, Msigwa na wahuni wengine waliobaki ndani ya chama wanauwezo wa kujenga hoja na kutoa mwelekeo sahihi wa chama? Au wanaenda na matukio na mihemko tu!

Hapa Mwanza hakuna mtu makini ataenda Kirumba au Furahisha kumsikiliza Mbowe, Sugu, Nyangali Wala Mrema.
Angalau saaana TUNDU LISSU.

NB: Mwanza is above your petty politics.
 
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba, huko Mwanza tayari "HOMA YA JIJI" imekwisha ingia, Hivi ninavyoandika hapa Jiji zima la Mwanza ni shangwe tupu lililojaa matumaini kutokana na kishindo kizito cha CHADEMA na uzinduzi kabambe wa Mikutano ya hadhara, iliyozuiliwa kidikteta kutokana na uoga wa kushindwa kujibu hoja.

View attachment 2486257

Nilichobaini ni kwamba, Wananchi walipunjwa sana kwa kitendo cha kuzuia Mikutano ya hadhara, na wana kiu mno ya kusikia hoja tofauti, yaani mtu mmoja tu alitaka asikike yeye tu peke yake yaani, huu ulikuwa ubinafsi wa Aibu sana!

Hongereni sana wakazi wa Mwanza, Sisi Chadema tunawaahidi Spana za uhakika, Msiwe na wasiwasi.

Mungu ibariki Mwanza.

TETESI : HUENDA TUNDU LISSU AKAUNGANISHA KANDA YA VICTORIA KWA CHOPA ILI KUONGEZA NGUVU

Tuendelee kuitegea sikio JF kwa taarifa zaidi .
Imedhihirika kwamba kukimbia Hoja sio dawa. Unaweza kukimbia Hoja za familia yako, lakini huwezi kukimbia Hoja za Jamhuri.
 
Back
Top Bottom