Siku TEC ikitoa waraka kupinga uchaguzi uliochezewa matokeo CCM itaondoka madarakani

Siku TEC ikitoa waraka kupinga uchaguzi uliochezewa matokeo CCM itaondoka madarakani

Aise we ujui siasa kaimbe taarabu,
Nchi nyingi San ulimwengu even developed country kunakuwa Kuna kuwa na watu, jamii au hata taasisi zinazokuwa na nguvu au influence kubwa ndan ya serikali husika.

mfano marekan kila rais anayetaka kuingia madarakan awe wa republic au democratic lazima ajikombe kwa hizi jamii za waizraeli waliopo pale marekan coz ndio jamii inayomiliki uchumi mkubwa include heavy industries pale marekan Ivo Zina power kubwa kiuchumi na influence kubwa ndan ya serikali ya marekan hivo ukiwaendea vibaya imekula kwako utafanyiwa figisu mpka unatoka.

Hata nchi nyingine nyingi za latin America unakuta Kuna mtu hata siyo mwanasiasa but watu wenye pesa ndefu especially wale watu wa madawa ya kulevya unakuta anapawa kubwa ndan ya serikali hivo anaweza hata kuweka mtu wake madarakan ili kulinda biashara yake au misimamo yke.

Mfano mwingine south Africa makabulu ndiyo watu wenye power ndan ya serikali ya south Africa mf jakobo Zuma alikuwa anaendeshwa kama gari bovu na haojamaa, coz ndio watu wenye uchumi mkubwa pale south wale jamaa hata wakikung'anya shamba huna sehem ya kushtaki coz wameshika kila sector means wameweka watu wao(vibaraka) iwe mahakama, bunge mpka baraza la mawaziri

NB. Haya mambo ni ngumu San kuyaona au kuyajua ukiwa kilaza.
Nitolee takataka hapa hao TEC kama wana nguvu wamuondoe Samia madarakani tuone huo ubavu wao.

Mkataba wa bandari unaanza kutekerezwa mwezi wa kumi sasa sijui hapo utasemaje.

Hizo nguvu ilizo nazo TEC ina pewa na serikali na siku serikali ikiamua inawanyanganya hizo nguvu walizo nazo.
 
Nitolee takataka hapa hao TEC kama wana nguvu wamuondoe Samia madarakani tuone huo ubavu wao.

Mkataba wa bandari unaanza kutekerezwa mwezi wa kumi sasa sijui hapo utasemaje.

Hizo nguvu ilizo nazo TEC ina pewa na serikali na siku serikali ikiamua inawanyanganya hizo nguvu walizo nazo.
We inaonekana akili yako ni kama kuku mwenye mdondo.

Kama unafatilia siasa tangu TEC watoe waraka umesikia serikali kutoa tamko lolote kuhusu bandari?
 
We inaonekana akili yako ni kama kuku mwenye mdondo.

Kama unafatilia siasa tangu TEC watoe waraka umesikia serikali kutoa tamko lolote kuhusu bandari?
Ww ndo mpumbavu msemaji wa serikali amesha sema kuwa serikali inaendelea na mpango uwekezaji wa bandarini.

Kama hao TEC wana wanayo hiyo nguvu unayo isema basi waambie wajaribu kufanya mpango wa kuipindua serikali huone kama hicho kijtaasisi chenu hakija sambaratishwa ndani ya siku moja na viongozi wake wote kufia jera.

Alafu nitaje ni waraka gani ambao TEC walisha utoa serikali ikautekeleza hebu utaje hapa.
Hao TEC washukuru tu kwasababu maraisi kutoka imani nyingine huwa ni watu waungwana tu.
Ipo siku watakutana na kiongozi asiye penda na kuvumilia upumbavu atakuja kukasambaratisha hako kaatisisi kenu hako mpoteane.

Hakuna taasisi iliyo kuwa na nguvu kuanzia kiuchumi hata ndani
ya serikali nchini Uturuki kama FETO lakini ilipo jaribu kuitomasa kuitomasa serikali bila shaka unajua kilicho ipata sembuse hii takataka inayo itwa TEC.
 
TEC ni taasisi inayoheshimika kwa sababu yenyewe inajiheshimu.

Tunapotoa mawazo yetu tusifanye watu waamini TEC ndio kila kitu, hiyo itafanya watu wa dini nyingine wakiwemo wakristo wasio wakatoliki kutokuiheshimu tena na hivyo kupoteza mvuto wake kwa jamii.
TEC Ndo wanapoteza Mvuto au Hao unaowasema wasiojua Maana ya Uwepo wao na Nafasi yao kwa Jamii ndo Hawana Mvuto?
 
Back
Top Bottom