Siku tuliyobadilishiwa nyama ya Mbuzi msibani kimiujiza!

Tubu dhambi zako kwa Allah, ambaye hajazaa wala hajazaliwa na wala hana mfanano wa kitu chochote/ yoyote katika mbingu na Ardhi ...

Yesu hana uwezo wa kusamehe dhambi.. Yesu ni Mja wa Allah kama ilivyo wewe .. huo unafanya ni ushirikina..
 
Tubu dhambi zako kwa Allah, ambaye hajazaa wala hajazaliwa na wala hana mfanano wa kitu chochote/ yoyote katika mbingu na Ardhi ...

Yesu hana uwezo wa kusamehe dhambi.. Yesu ni Mja wa Allah kama ilivyo wewe .. huo unafanya ni ushirikina..
Yesu Hana mwanzo Wala mwisho.

Ndiye Mungu Mmoja.
 
Tubu dhambi zako kwa Allah, ambaye hajazaa wala hajazaliwa na wala hana mfanano wa kitu chochote/ yoyote katika mbingu na Ardhi ...

Yesu hana uwezo wa kusamehe dhambi.. Yesu ni Mja wa Allah kama ilivyo wewe .. huo unafanya ni ushirikina..
Jina la Allah ni nani,

Maana kitabu chenu kinadai ana Majina mia Moja, 99 yanajulikana, ila Jina lake lile la mia halijulikani,

Sasa tulijue Jina lake Ili tumtofautishe na miungu wengine ikiwa ndiye Mungu Mmoja.
 
Kani hapo kijijini ulipokwenda hakuna zahanati au Hospitali iliyo karibu? Hakuna watu wanaojua tiba mbadala i.e. Dawa za mitishamba zenye kuweza kutibu/kusitisha na kuondoa tatizo la kuharisha?
 
Kani hapo kijijini ulipokwenda hakuna zahanati au Hospitali iliyo karibu? Hakuna watu wanaojua tiba mbadala i.e. Dawa za mitishamba zenye kuweza kutibu/kusitisha na kuondoa tatizo la kuharisha?
Zahanati km 6, halafu usiku!!

Halafu kuharisha Sumu ndio kupona kwenyewe, Si vyema kuzuia
 
Kama unajiita mtumishi wa Mungu na ulionyeshwa kuwa si nyama halisi ya mbuzi na bado hukuiombea wewe
ili irudi watu wakaharisha na kuchafua mazingira.Ni nini faida ya utumishi wako?

Hoja yako ingepata mashiko kama uliowaonesha wao hawakuona kama imebadirishwa ulipaswa uombe na wao
wapate hayo macho ya rohoni waone kama wewe.

Nahitimisha kwa kusema wewe sio mtumishi bali ni mpiga ramli chonganishi tu na usirudie mara ya2 ningekuwa ndo nimekula nikaharisha ningekupiga mno.
 
Unadhani Kila kitu ni Cha kuombea?

Hata Yesu, Si Kila vita alipigana au kubishana, zingine aliondoka na kuachana nao waliomkataa.

Ukiambiwa usile, acha kula,

Ukiambiwa ombea, unaomba,

Watumishi wa Mungu ni askari.

Askari KAZI yake ni kutii amri Si kubishana na jemedari mkuu.

Umewahi kupitia mafunzo hata ya mgambo tu?

Ungekuwa askari ,ungenielewa haraka.
 
Zahanati km 6, halafu usiku!!

Halafu kuharisha Sumu ndio kupona kwenyewe, Si vyema kuzuia
1. Km 6 ?? Mbona karibu sana! Siku hizi boda zipo kila mahali na hata kwa miguu haponi jirani tuu.
2. Umejuaje kwamba ilikuwa ni sumu?? Kama ilikuwa ni sumu, basi unawaonea tu bure wachawi kwani mambo ya uchawi sio rahisi kuyagundua. Wachawi hawatumii sumu.
 
Sasa unabishana na nani?
 
Umeandika upumbavu mtupu. Walokole kaeni chini na wachawi mkubaliane jinsi ya kufanya shughuli zenu maana wote nyie ni washenzi.
Kuwa na adabu wewe sio una harisha harisha tu kama mgonjwa wa kipindupindu uliye kula mavi, mbwa mkubwa weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Asante mkuu kwa ushuuda wako na ushauri🙏🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…