Siku ukikosa usingizi huwa unafanya nini mpaka unalala?

Siku ukikosa usingizi huwa unafanya nini mpaka unalala?

Chibudee

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2016
Posts
1,775
Reaction score
2,404
ishawahi kukutokea kukosa usingiz Kabisa na je Huwa unafanya Nini Mpaka unalala.?

mimi hupata shots glass of wine Angalau Napata kulala vipi wewe Mdau hufanya kitu gani ?
FB_IMG_1582910452865.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mala nyingi huwa nakua nililala mchana, so nafanya kuongeza masaa ya kusoma usku.

Au mbali na hapo kama sina hiyo mood, nafanya kutoka night natafuta pa kwenda.
 
Back
Top Bottom