Siku ya Baba Duniani: Lady Jaydee akerwa kukithiri kwa rushwa ya ngono kwa wasanii wa kike. Ujumbe uwafikie Takukuru

Jasiri Muongoza njia kaosha sana Lungu lake pale. Huyo alianzia kuwa mtangazaji clouds. Ni vile tu Ruge alianza kuona wabichi zaidi ya Judith Wambura.
 
I'm Sorry JD ila Mabinti kama unavyosema bila kuchezewa mwili hawatoboi ni kweli ,hata kipindi cha nyuma kulikuwa na Tetesi kwamba Late Boss Ruge ulilala nae room moja South kwenye Tu(n)zo za Kora!! Kwahiyo Boss Ruge alikuwa anakuchapa nao na ndio ukawa msanii wa Smooth Vibes!!
 
Hadi Mwasiti naye kachezea Rungu? Iwe kweli kama wanavyosema wataalamu Ukiwa unatumia "MBAAZI" inakuwa ngumu kumuambukiza mtu la sivyo ni KAZEZE ni KAZEZE.
 
Hadi Mwasiti naye kachezea Rungu? Iwe kweli kama wanavyosema wataalamu Ukiwa unatumia "MBAAZI" inakuwa ngumu kumuambukiza mtu la sivyo ni KAZEZE ni KAZEZE.
Pale kutoka ilikuwa ni mpaka umseduce jasiri muongoza njia.
 
Ruge alikua noma japo afadhali aiku hizi nguvu za radio na TV zimepungua,,msanii akiwa na presence kubwa kwenye social media anatoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa baba basi kemea wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ooohhhhh hivyo kumbe mlalamikaji nae kapanda kwa ngono?
 
Ruge alikua noma japo afadhali aiku hizi nguvu za radio na TV zimepungua,,msanii akiwa na presence kubwa kwenye social media anatoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
lakini si tunasikia lady jay aligoma kutoa nyama ndo maana nyimbo zake ziliachwa kupigwa cloud's
 
Wakibakwa tu hapo ndiyo itakuwa shida lakini Kama wameombwa na wakatoa aaaah mbona mswano! Kama hawataki kutumia nguvu ya K basi watumie nguvu ya pesa kwani wasanii wa kiume wanatoboaje? Halafu huyo Jaydee mwenyewe amesaidia wasanii wangapi wa kike ili kuonesha support?
 
lakini si tunasikia lady jay aligoma kutoa nyama ndo maana nyimbo zake ziliachwa kupigwa cloud's
Hii ilikuwa ni baadae sana. Na Ruge alikuwa kishapata vigoli wengine. Jide alikuwa kishaolewa na Captain.
 
Khaaa...!!!

Mpuuzi kawafunua kwelikweli...
 
Mkuu ongea kwa kubakiza akiba ya maneno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…