Siku ya birthday yake alikejeli: Vitoto vinakufa angali vidogo. Miwili baadae akafa. Huyu nae hata mwaka anaweza asimalize baada ya kukejeli marehemu

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Nakumbuka kwenye birthday yake ya kutimia miaka 75 kama sikusoe, namba moja mstaafu kutoka Butiama, alikejeli watoto wadogo wanaokufa wakiwa bado wadogo.

Kama namnukuu sawa sawa, alisema, "vitoto vyetu vinakufa angali bado vidogo....."

Kauli hii binafsi iliniumiza na kunishangaza sana ingawa pale ukumbinu watu walicheka (mkubwa hata akiongea pumba, watu watacheka na kupiga makofi)

Nilikuwa kijana mdogo wakati huo lakini ile kauli mpaka leo iko kichwani (yule Mzee sikumuelewa kabisa ile siku).

Kwahiyo, na huyu namba moja kutoka Msoga, huenda nae akafuata nyayo za namba moja kutoka Butiama ikiwa ni pigo la Nature kwa kujeli waliotangulia mbele za haki kwa ulevi tu wa status aliyonayo(namba moja mstaafu).

Msije kushangaa huyu nae hafiki hata Oktoba.
 
Title inamlilia mstaafu aliyegoma kustaafu aache kumuita jembe letu jiwe mchawi🀣🀣🀣🀣
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…nimesoma weee kila nikiwa nakaribia kuelewa nasahau tena. Imebidi niombe msaada πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜….

Jiwe amegoma kutoka mioyoni na vichwani mwa watu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Ingekuwa hivyo basi Makamba mkubwa tusingekuwa naye hapa...
Hakuna kitu kama hicho atakufa muda wake ukifika.
 
Kheee..!!! Usisahau kuna wengine walimkejeli LWASAAAA lakini wakatangulia wao..!!
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…nimesoma weee kila nikiwa nakaribia kuelewa nasahau tena. Imebidi niombe msaada πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜….

Jiwe amegoma kutoka mioyoni na vichwani mwa watu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Hajagoma kutoka, ila wanamgomesha..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…