Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
- Thread starter
- #21
Mungu fundi sana.Kheee..!!! Usisahau kuna wengine walimkejeli LWASAAAA lakini wakatangulia wao..!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu fundi sana.Kheee..!!! Usisahau kuna wengine walimkejeli LWASAAAA lakini wakatangulia wao..!!
Ikitokea ukafa leo wewe utakuwa umemkejeli nani?Muda utaongea.
Labda tuna usikilizaji tofauti ila mi niliposikia naona ni kama anahuzunika kuona watoto wadogo nao wanakufa tofauti na wewe unavyosema anajisifu kuishi miaka mingi. Nyerere hawezi kuwa mtu wa ovyo kiasi hicho cha kujisifia kuishi sana na kukejeli wanaokufa wakiwa wadogo.Ile kauli mimi sikuielewa tangu siku ille kwani ilionyesha kujisifu kwa kuishi miaka mingi. Msikilize vizuri kama unaweza pata clip yake.
Haswa..!!!Mungu fundi sana.
Mimi itakuwa ni wakati wangu umefika, illa yeye itakuwa ni adhabu kutoka kwa Mungu (Nature).Unaweza kutangulia wewe ukamuacha yeye.
Nature doesn't work that way mkuuMimi itakuwa ni wakati wangu umefika, illa yeye itakuwa ni adhabu kutoka kwa Mungu (Nature).
Japo dijasikia ila usijaliKamanisha alichosema wala usimtetee.
Atavuna alichopandaMsoga awaombe radhi watanzania.Tofauti na hapo nature itafanya yake.Mungu amekataza chuki .
Kwani Kikwete alisemaje mkuu, nisaidie kauli aliyosema.Kauli ya Mwalimu haikuwa mbaya alikuwa anasikitika kwa vifo vya watoto wadogo si zaidi ya hapo lakini kauli ya Kikwete na ile ya Makamba kuwa watu wazuri hawafi moja kwa moja ni kuwakejeli wenzao ndani ya CCM waliotangulia mbele ya haki na bila kupepesa macho aliyelengwa ni Magufuli . Ni wakati sisi wa kanda ya ziwa tuonyeshe hasira yetu kwa hawa mafedhuli.
That is according to you.Nature doesn't work that way mkuu
...mapenzi yako yatimizwe!Msije kushangaa huyu nae hafiki hata Oktoba.
Maembe mchawi wa tec angetumika kuleta mgobea waoNakumbuka kwenye birthday yake ya kutimia miaka 75 kama sikusoe, namba moja mstaafu kutoka Butiama, alikejeli watoto wadogo wanaokufa wakiwa bado wadogo.
Kama namnukuu sawa sawa, alisema, "vitoto vyetu vinakufa angali bado vidogo....."
Kauli hii binafsi iliniumiza na kunishangaza sana ingawa pale ukumbinu watu walicheka (mkubwa hata akiongea pumba, watu watacheka na kupiga makofi)
Nilikuwa kijana mdogo wakati huo lakini ile kauli mpaka leo iko kichwani (yule Mzee sikumuelewa kabisa ile siku).
Kwahiyo, na huyu namba moja kutoka Msoga, huenda nae akafuata nyayo za namba moja kutoka Butiama ikiwa ni pigo la Nature kwa kujeli waliotangulia mbele za haki kwa ulevi tu wa status aliyonayo(namba moja mstaafu).
Msije kushangaa huyu nae hafiki hata Oktoba.
Awaombe radhi wachawi kama wewe na siyo Watanzania.Msoga awaombe radhi watanzania.Tofauti na hapo nature itafanya yake.Mungu amekataza chuki .
Ambaye amesoma hii huu uzi na kutoka kapa kama mimi anigongee likes tafadhaliNakumbuka kwenye birthday yake ya kutimia miaka 75 kama sikusoe, namba moja mstaafu kutoka Butiama, alikejeli watoto wadogo wanaokufa wakiwa bado wadogo.
Kama namnukuu sawa sawa, alisema, "vitoto vyetu vinakufa angali bado vidogo....."
Kauli hii binafsi iliniumiza na kunishangaza sana ingawa pale ukumbinu watu walicheka (mkubwa hata akiongea pumba, watu watacheka na kupiga makofi)
Nilikuwa kijana mdogo wakati huo lakini ile kauli mpaka leo iko kichwani (yule Mzee sikumuelewa kabisa ile siku).
Kwahiyo, na huyu namba moja kutoka Msoga, huenda nae akafuata nyayo za namba moja kutoka Butiama ikiwa ni pigo la Nature kwa kujeli waliotangulia mbele za haki kwa ulevi tu wa status aliyonayo(namba moja mstaafu).
Msije kushangaa huyu nae hafiki hata Oktoba.