Siku ya birthday yake alikejeli: Vitoto vinakufa angali vidogo. Miwili baadae akafa. Huyu nae hata mwaka anaweza asimalize baada ya kukejeli marehemu

Siku ya birthday yake alikejeli: Vitoto vinakufa angali vidogo. Miwili baadae akafa. Huyu nae hata mwaka anaweza asimalize baada ya kukejeli marehemu

Ile kauli mimi sikuielewa tangu siku ille kwani ilionyesha kujisifu kwa kuishi miaka mingi. Msikilize vizuri kama unaweza pata clip yake.
Labda tuna usikilizaji tofauti ila mi niliposikia naona ni kama anahuzunika kuona watoto wadogo nao wanakufa tofauti na wewe unavyosema anajisifu kuishi miaka mingi. Nyerere hawezi kuwa mtu wa ovyo kiasi hicho cha kujisifia kuishi sana na kukejeli wanaokufa wakiwa wadogo.
 
Kauli ya Mwalimu haikuwa mbaya alikuwa anasikitika kwa vifo vya watoto wadogo si zaidi ya hapo lakini kauli ya Kikwete na ile ya Makamba kuwa watu wazuri hawafi moja kwa moja ni kuwakejeli wenzao ndani ya CCM waliotangulia mbele ya haki na bila kupepesa macho aliyelengwa ni Magufuli . Ni wakati sisi wa kanda ya ziwa tuonyeshe hasira yetu kwa hawa mafedhuli.
 
Kauli ya Mwalimu haikuwa mbaya alikuwa anasikitika kwa vifo vya watoto wadogo si zaidi ya hapo lakini kauli ya Kikwete na ile ya Makamba kuwa watu wazuri hawafi moja kwa moja ni kuwakejeli wenzao ndani ya CCM waliotangulia mbele ya haki na bila kupepesa macho aliyelengwa ni Magufuli . Ni wakati sisi wa kanda ya ziwa tuonyeshe hasira yetu kwa hawa mafedhuli.
Kwani Kikwete alisemaje mkuu, nisaidie kauli aliyosema.
 
Sasa utajuaje hajafika October wakat utatangulia wew na hamtaonana maana ataingia VIP wewe mzunguko
 
Nakumbuka kwenye birthday yake ya kutimia miaka 75 kama sikusoe, namba moja mstaafu kutoka Butiama, alikejeli watoto wadogo wanaokufa wakiwa bado wadogo.

Kama namnukuu sawa sawa, alisema, "vitoto vyetu vinakufa angali bado vidogo....."

Kauli hii binafsi iliniumiza na kunishangaza sana ingawa pale ukumbinu watu walicheka (mkubwa hata akiongea pumba, watu watacheka na kupiga makofi)

Nilikuwa kijana mdogo wakati huo lakini ile kauli mpaka leo iko kichwani (yule Mzee sikumuelewa kabisa ile siku).

Kwahiyo, na huyu namba moja kutoka Msoga, huenda nae akafuata nyayo za namba moja kutoka Butiama ikiwa ni pigo la Nature kwa kujeli waliotangulia mbele za haki kwa ulevi tu wa status aliyonayo(namba moja mstaafu).

Msije kushangaa huyu nae hafiki hata Oktoba.
Maembe mchawi wa tec angetumika kuleta mgobea wao
 
Nakumbuka kwenye birthday yake ya kutimia miaka 75 kama sikusoe, namba moja mstaafu kutoka Butiama, alikejeli watoto wadogo wanaokufa wakiwa bado wadogo.

Kama namnukuu sawa sawa, alisema, "vitoto vyetu vinakufa angali bado vidogo....."

Kauli hii binafsi iliniumiza na kunishangaza sana ingawa pale ukumbinu watu walicheka (mkubwa hata akiongea pumba, watu watacheka na kupiga makofi)

Nilikuwa kijana mdogo wakati huo lakini ile kauli mpaka leo iko kichwani (yule Mzee sikumuelewa kabisa ile siku).

Kwahiyo, na huyu namba moja kutoka Msoga, huenda nae akafuata nyayo za namba moja kutoka Butiama ikiwa ni pigo la Nature kwa kujeli waliotangulia mbele za haki kwa ulevi tu wa status aliyonayo(namba moja mstaafu).

Msije kushangaa huyu nae hafiki hata Oktoba.
Ambaye amesoma hii huu uzi na kutoka kapa kama mimi anigongee likes tafadhali
 
Back
Top Bottom