Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀bas kwenye nyuzi nyingi humu JF wewe upo notable kwa namna yako. Huelezei sana, hua unareact tuu km ivi🤣🤣 au DuhAiseee
NakusahihishaKauli hii binafsi iliniumiza na kunishangaza sana ingawa pale ukumbinu watu walicheka (mkubwa hata akiongea pumba, watu watacheka na kupiga makofi)
Mbona una uelewa finyu, mtoto wa miaka 3 au 5 kupoteza maisha, hapo kuna tatizo.Nakumbuka kwenye birthday yake ya kutimia miaka 75 kama sikusoe, namba moja mstaafu kutoka Butiama, alikejeli watoto wadogo wanaokufa wakiwa bado wadogo.
Kama namnukuu sawa sawa, alisema, "vitoto vyetu vinakufa angali bado vidogo....."
Kauli hii binafsi iliniumiza na kunishangaza sana ingawa pale ukumbinu watu walicheka (mkubwa hata akiongea pumba, watu watacheka na kupiga makofi)
Nilikuwa kijana mdogo wakati huo lakini ile kauli mpaka leo iko kichwani (yule Mzee sikumuelewa kabisa ile siku).
Kwahiyo, na huyu namba moja kutoka Msoga, huenda nae akafuata nyayo za namba moja kutoka Butiama ikiwa ni pigo la Nature kwa kujeli waliotangulia mbele za haki kwa ulevi tu wa status aliyonayo(namba moja mstaafu).
Msije kushangaa huyu nae hafiki hata Oktoba.
Sio lazima ataje majina.Mchawi nani sasa? Mpaka hapo sentensi haijanyooka imeacha swali.
Nyerere alishangaa watoto kufa wadogo,na alisema atamuona rais wa nne,ila kwenye vifo vya watoto sidhani kama alikejeli bali ni hii changamoto tunapambana nayo leo ya watoto chini ya miaka mitano kuwa hatariniNaomba unieleweshe Title ilitaka kusema nini 😜😜
Ngoja nikurekebishe kidogo. JKN alisema kuwa "ana nguvu na ataendelea kuishi na atamshuhudia Rais wa awamu ya Nne akiingia madarakani" Tamko hilo ni la kiburi na hakumpa Mungu utukufu. Ndipo Mwenyezi Mungu akasema "Mpumbavu wewe kwa maana hujui kuwa uhai wako upo ktk mikono ya Bwana saa yoyote akitaka anauchukuwa". Haikuchukuwa muda akaaga dunia. Tujifunze kumheshimu Mungu na kumpa utukufu.Nakumbuka kwenye birthday yake ya kutimia miaka 75 kama sikusoe, namba moja mstaafu kutoka Butiama, alikejeli watoto wadogo wanaokufa wakiwa bado wadogo.
Kama namnukuu sawa sawa, alisema, "vitoto vyetu vinakufa angali bado vidogo....."
Kauli hii binafsi iliniumiza na kunishangaza sana ingawa pale ukumbinu watu walicheka (mkubwa hata akiongea pumba, watu watacheka na kupiga makofi)
Nilikuwa kijana mdogo wakati huo lakini ile kauli mpaka leo iko kichwani (yule Mzee sikumuelewa kabisa ile siku).
Kwahiyo, na huyu namba moja kutoka Msoga, huenda nae akafuata nyayo za namba moja kutoka Butiama ikiwa ni pigo la Nature kwa kujeli waliotangulia mbele za haki kwa ulevi tu wa status aliyonayo(namba moja mstaafu).
Msije kushangaa huyu nae hafiki hata Oktoba.
Na akaongezea kua yeye ana uhakika UHAKIKA wa kumuona rais wa awamu ya 4Ile kauli mimi sikuielewa tangu siku ille kwani ilionyesha kujisifu kwa kuishi miaka mingi. Msikilize vizuri kama unaweza pata clip yake.
Hakusema alishakufa bali alisema wameshakufa.Kumbe pale kaambiwa Jiwe ndio mchawi? Mbona sheshe sasaa
Hapana.Sio lazima ataje majina.
Umenikumbusha na bila shaka ilikuwa no katika hiyo hotuba yake ya birthday yake.Ngoja nikurekebishe kidogo. JKN alisema kuwa "ana nguvu na ataendelea kuishi na atamshuhudia Rais wa awamu ya Nne akiingia madarakani" Tamko hilo ni la kiburi na hakumpa Mungu utukufu. Ndipo Mwenyezi Mungu akasema "Mpumbavu wewe kwa maana hujui kuwa uhai wako upo ktk mikono ya Bwana saa yoyote akitaka anauchukuwa". Haikuchukuwa muda akaaga dunia. Tujifunze kumheshimu Mungu na kumpa utukufu.