OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
inashangaza kabisaAmesema kama sio "kudra za Mungu" asingefika hapo, kumbe nae alikuwa anaitamani hiyo nafasi ila uwezo ndio hakuwa nao.
HilI neno kudra za Mungu nimeliona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inashangaza kabisaAmesema kama sio "kudra za Mungu" asingefika hapo, kumbe nae alikuwa anaitamani hiyo nafasi ila uwezo ndio hakuwa nao.
HilI neno kudra za Mungu nimeliona
Mambo magumu sana...yaani kufa kwa JPM ndio kudra yenyewe....Amesema kama sio "kudra za Mungu" asingefika hapo, kumbe nae alikuwa anaitamani hiyo nafasi ila uwezo ndio hakuwa nao.
HilI neno kudra za Mungu nimeliona
View attachment 1938941
Huyu tusipoungana kumkemea bila kujali vyama atatuvuruga sana. Hana anachowaza kabisa hapo ikulu. Anawaza uchaguzi na uwanawake tu. Wanawake wanawake wanawake. Vipi anataka na wanaume waanzishe kampeni?
Atakuwa mgombea dhaifu haijawahi kutokea. Kuna mpasuko mkubwa ndani ya CCM na kila siku anauongeza. Kwa vyovyote hatakubali Katiba mpya wala Tume huru ya uchaguzi. Ukatili wa Polisi atauongeza na itakuwa silaha yake kuu. Fikirieni ukombozi kwa njia nyingine lakini si hii ya demokrasia ya uchaguzi!Samia ni sawa na akina Tundu milioni moja
"Kikulacho kinguoni mwako"Mambo magumu sana...yaani kufa kwa JPM ndio kudra yenyewe....
Nimeogopa sana...Anyway
All the best coming 2025
Hahahaaaa........ Hata wewe?!yani anaona kama hili taifa ni la wanawake pekee.
kwani kuna mtu asiyeitamani iyo nafasi?Amesema kama sio "kudra za Mungu" asingefika hapo, kumbe nae alikuwa anaitamani hiyo nafasi ila uwezo ndio hakuwa nao.
Haya maneno kudra za Mungu ni kama alikuwa anaomba apate hiyo nafasi kwa njia yoyote, ikibidi hata kwa sababu kama ile iliyotokea, siku hizi amekuwa hachagui maneno akiongea.
Mama amenifanya nijiulize maana ya kudraAmesema kama sio "kudra za Mungu" asingefika hapo, kumbe nae alikuwa anaitamani hiyo nafasi ila uwezo ndio hakuwa nao.
Haya maneno kudra za Mungu ni kama alikuwa anaomba apate hiyo nafasi kwa njia yoyote, ikibidi hata kwa sababu kama ile iliyotokea, siku hizi amekuwa hachagui maneno akiongea.
mama enu anaona nyie wanaCCM wote ni wakike.Hahahaaaa........ Hata wewe?!
Hapo Ufipa nani ni wa kiume?mama enu anaona nyie wanaCCM wote ni wakike.
Mke wa Mzee Mgaya ambaye ni dada ako mzazi.Hapo Ufipa nani ni wa kiume?
Hahahaaaa...... Subirini 2030 mkutane na Mwigullu Nchemba!Mke wa Mzee Mgaya ambaye ni dada ako mzazi.
Kwani Halima Mdee siyo mwanamke?Shiiiiiiii ongea taratibu Halima Mdee na wenzie wanasikiliza hotuba ya Mama Samia
Na kwa kuwa Magu kawafundisha wizi aina mbili wa kura:CCM kushinda uchaguzi wenye mezani sawa ya ushindani ni ndoto...watabebwa na dola tu waoga hao
Ndio shida ya kuwa na Rais mwanamke na asiyejitambua. Mda mwingi ni hoihoi, vijembeBadala afuatilie mambo ya msingi ya nchi na kufanya ziara zenye tija sehemu nyeti pamoja na miradi nyeti ya taifa yeye kutwa yupo busy na mialiko na kujadili mambo ya wanawake! Waziri husika hayupo??
Wanaccm wote wamefurahi , ukiacha chawaAmesema kama sio "kudra za Mungu" asingefika hapo, kumbe nae alikuwa anaitamani hiyo nafasi ila uwezo ndio hakuwa nao.
Haya maneno kudra za Mungu ni kama alikuwa anaomba apate hiyo nafasi kwa njia yoyote, ikibidi hata kwa sababu kama ile iliyotokea, siku hizi amekuwa hachagui maneno akiongea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alie anzisha kelele za usawa wa jinsia kauchuna chuuuu anatazama na kusikilizia balaa la mashuzi yake...... Dah aiseee waafrika hatutatoboa hata iweje.View attachment 1938941
Huyu tusipoungana kumkemea bila kujali vyama atatuvuruga sana. Hana anachowaza kabisa hapo ikulu. Anawaza uchaguzi na uwanawake tu. Wanawake wanawake wanawake. Vipi anataka na wanaume waanzishe kampeni?