Siku ya Demokrasia Duniani (2021): Rais Samia azungumza na Wanawake wa Tanzania, jijini Dar es Salaam

Siku ya Demokrasia Duniani (2021): Rais Samia azungumza na Wanawake wa Tanzania, jijini Dar es Salaam

Samia ni sawa na akina Tundu milioni moja
Atakuwa mgombea dhaifu haijawahi kutokea. Kuna mpasuko mkubwa ndani ya CCM na kila siku anauongeza. Kwa vyovyote hatakubali Katiba mpya wala Tume huru ya uchaguzi. Ukatili wa Polisi atauongeza na itakuwa silaha yake kuu. Fikirieni ukombozi kwa njia nyingine lakini si hii ya demokrasia ya uchaguzi!
 
Amesema kama sio "kudra za Mungu" asingefika hapo, kumbe nae alikuwa anaitamani hiyo nafasi ila uwezo ndio hakuwa nao.

Haya maneno kudra za Mungu ni kama alikuwa anaomba apate hiyo nafasi kwa njia yoyote, ikibidi hata kwa sababu kama ile iliyotokea, siku hizi amekuwa hachagui maneno akiongea.
kwani kuna mtu asiyeitamani iyo nafasi?
 
Amesema kama sio "kudra za Mungu" asingefika hapo, kumbe nae alikuwa anaitamani hiyo nafasi ila uwezo ndio hakuwa nao.

Haya maneno kudra za Mungu ni kama alikuwa anaomba apate hiyo nafasi kwa njia yoyote, ikibidi hata kwa sababu kama ile iliyotokea, siku hizi amekuwa hachagui maneno akiongea.
Mama amenifanya nijiulize maana ya kudra
 
CCM kushinda uchaguzi wenye mezani sawa ya ushindani ni ndoto...watabebwa na dola tu waoga hao
Na kwa kuwa Magu kawafundisha wizi aina mbili wa kura:
1) wa kura zenyewe (2020)
2) wizi wa mchakato wa uchaguzi (2019)

Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, waliiba mchakato. Mpinzani hata fomu tu ya mgombea hupewi. Ukiipata, utamrudishia nani? Ofisi inafungwa wiki mbili.

Kusema kweli, hata 2020 kulikuwa na wizi wa mchakato, kama ifuatavyo:
1) Tangaza utaendesha mwenyewe uchaguzi , huhitaji fedha za nje. Kwa nini? Fedha ya nje inakuja na wasimamizi makini wa nje. Ukitaka uchaguzi wa gizani, ukwibe utakavyo, kataa fedha yao
2) vuruga fomu za wapinzani, ili hata wakijaza vizuri, tupate sababu ya kuwaengua
 
Badala afuatilie mambo ya msingi ya nchi na kufanya ziara zenye tija sehemu nyeti pamoja na miradi nyeti ya taifa yeye kutwa yupo busy na mialiko na kujadili mambo ya wanawake! Waziri husika hayupo??
Ndio shida ya kuwa na Rais mwanamke na asiyejitambua. Mda mwingi ni hoihoi, vijembe
 
Amesema kama sio "kudra za Mungu" asingefika hapo, kumbe nae alikuwa anaitamani hiyo nafasi ila uwezo ndio hakuwa nao.

Haya maneno kudra za Mungu ni kama alikuwa anaomba apate hiyo nafasi kwa njia yoyote, ikibidi hata kwa sababu kama ile iliyotokea, siku hizi amekuwa hachagui maneno akiongea.
Wanaccm wote wamefurahi , ukiacha chawa
 
View attachment 1938941

Huyu tusipoungana kumkemea bila kujali vyama atatuvuruga sana. Hana anachowaza kabisa hapo ikulu. Anawaza uchaguzi na uwanawake tu. Wanawake wanawake wanawake. Vipi anataka na wanaume waanzishe kampeni?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alie anzisha kelele za usawa wa jinsia kauchuna chuuuu anatazama na kusikilizia balaa la mashuzi yake...... Dah aiseee waafrika hatutatoboa hata iweje.

Yaani watu wenye akili wanawaza maendeleo sisi huku tunawaza mwanamke akiwezeshwa anaweza...... Taifa la majaribio...... Upumbavu mtupu
 
Back
Top Bottom