Siku ya kufa Nyani: Polisi na TRA wavamia biashara yangu

Siku ya kufa Nyani: Polisi na TRA wavamia biashara yangu

Poor Brain

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2019
Posts
19,644
Reaction score
40,546
Siku ya kufa nyani wakuu.
Mod jaribuni kuweka kichwa vizuri

Nimerudi polisi nimefika hata haijapita masaaa wamepita TRA sijui kina nani ila kuna faza ana kitambi.

Kaomba leseni, mimi sina na biashara yangu hata mwaka haija fika ila nina viambatanisho vyote kama vyeti muhimu.

Wakuu tayari bana nishatoka na sijatoa kitu.
Kiufupi walikua wana tutisha kuwa watatupeleka TRA ila ndo hvo
Sasa hapa naomba mtaalam ambaye anaweza nifanyia mpango nikapata lesseni​
 
Siku ya kufa nyani wakuu....
Nimerd polisi nimefika hata haijapita masaaa wamepita tra sijui kina nani ila kuna faza ana kitambi.

Kaomba leseni. Mi sina na biashara hata mwaka haija fika ila nina viambatanisho vyote kama vyeti muhimu

View attachment 3223527
Leseni hauna kata toilet paper ya kijani kadi ya ccm hauna ..kama unayo waonyeshe hiyo kadi ya ccm
 
Siku ya kufa nyani wakuu.

Nimerudi polisi nimefika hata haijapita masaaa wamepita tra sijui kina nani ila kuna faza ana kitambi.

Kaomba leseni, mimi sina na biashara yangu hata mwaka haija fika ila nina viambatanisho vyote kama vyeti muhimu.

Pole Sana , muhimu tuliza kichwa Leo usijefanya mambo ya ajabu... Refresh yourself
 
Pole sana tuendelee kuwatukana waajiriwa na kuwaita watumwa, uzuri wafanyabiashara wote lazima tuishie kuwa matajiri kama kina bakhresa au tukishindwa sana basi vunjabei, kwahiyo hakuna haja ya kulalamikia vitu vidogo vidogo kama hivyo mkuu
 
Back
Top Bottom