Siku ya kufa Nyani: Polisi na TRA wavamia biashara yangu

Siku ya kufa Nyani: Polisi na TRA wavamia biashara yangu

Pole sana endeleeni kuwatukana waajiriwa na kuwaita watumwa, uzuri wafanyabiashara wote lazima muishie kuwa matajiri kama kina bakhresa au mkishindwa sana basi vunjabei, kwahiyo hakuna haja ya kulalamikia vitu vidogo kama hivo
Koo ukitaka kusemaje maana hili dongo la wazi kabisa.
 
Wangekuta umetundika bendera ya CCM kwenye duka lako wasingekuhoji chochote

WANGESEMA
Salama mkuu,tukutakie majukumu mema
 
Back
Top Bottom