Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
- #81
Mkuu acha tuuu hii mara ya piliWamekuonea tu na kwa sababu haujui hayo mambo halafu wamekukuta una ma stress na inavyoonekana umechomwa. How come matukio yafuatane hivyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu acha tuuu hii mara ya piliWamekuonea tu na kwa sababu haujui hayo mambo halafu wamekukuta una ma stress na inavyoonekana umechomwa. How come matukio yafuatane hivyo?
Angalia kwani we hujiulizi?Kudadek 😄😄😄😄😄
Pole sana mwamba, halafu unachekesha unavyosimulia [emoji2]Jamaa ana kitambi alafu mfupo..
Ana mwandiko mbaya
Isomekeje mkuu?Active naomba title yangu isomeke vzr naona kama mna nia ya kunigombanisha na serikali yangu
Itakua alifanya application eeee 🏃🏃🏃Ni muongo huyo kijana. Hatariiii
Dori huyu tabia yake mbaya sanaaaDorry kalewa tuu huko ety.
Nampigia anasema nimpe huyu jamaa aongee nae..
Dori ana tabia mbaya sanaDorry kalewa tuu huko ety.
Nampigia anasema nimpe huyu jamaa aongee nae..
Halima na shauliNi watu wa jiji mkuu
Sio jiji ni halimanashauli
Siku ya kufa Nyani ; Huku WEZI huku TRA which is which wakuuIsomekeje mkuu?
Ananionea sanaDori ana tabia mbaya sana
Kwani na wewe unalipa kodi 😄😄😄😄Hao ndo Tiaraei karibu kwenye Ulimwengu wa kulipa kodi pua 😹😹
Gomzi kwa sasaLeseni 🤔unakwepa kodi? pole haikosi upo Chamazi au kwa mbande
Utalala tu na pesaHalima na shauli
Na wewe una tabia mbaya kumzidi antiel dorryy ujueDori ana tabia mbaya sana
Kodi haswaa sio ya kitoto, hapo ndo umeanza mbona utatoa milio sana…!!Kwani na wewe unalipa kodi 😄😄😄😄
Mbona kama unafurahia hvi.Kodi haswaa sio ya kitoto, hapo ndo umeanza mbona utatoa milio sana…!!
Halafu TRA wanaangalia Tin namba na mapato km umelipia, hiyo leseni kazi ya halmashauri au manispaa… jiandae wako njiani nao 🤣😹