wakunyonya
JF-Expert Member
- Feb 5, 2024
- 520
- 1,414
Mzee kama umekosea masharti ya mganga sema tukusaidie,maana wakitoka TRA ukigeuka TBS hawa hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wakija mi na waoMzee kama umekosea masharti ya mganga sema tukusaidie,maana wakitoka TRA ukigeuka TBS hawa hapa.
Hao ni watu wa Manispaa TRA hawezi akakufuata kidagaa mdogo wangu.Siku ya kufa nyani wakuu.
Mod jaribuni kuweka kichwa vizuri
Nimerudi polisi nimefika hata haijapita masaaa wamepita tra sijui kina nani ila kuna faza ana kitambi.
Kaomba leseni, mimi sina na biashara yangu hata mwaka haija fika ila nina viambatanisho vyote kama vyeti muhimu.
Nipo kwenye gari tunaenda ofisinHulitendei haki jina lako Poor Brain, hapo mkuu kinukishe waambie "biashara haina hata mwaka, me sio mzoefu mje siku nyingine" (kwa sauti ya kiTRA)
Pernat kakaHao ni watu wa Manispaa TRA hawezi akakufuata kidagaa mdogo wangu.
Ulishawahi kwenda TRA na ukakadiriwa? Ukalipa hata installment moja ya kodi, withholding tax na stamp duty?
Kama hujamalizana na TRA huwezi kupata less I maana ni lazima uwe na Tax clearance certificate na ndio uende Manispaa kulipia leseni. Mbona hizo figure ulizowekewa hapo ni kama mmiliki wa duka la Spare za magari?
AU ndio ushapigwa na penalty hapo?
Wap umeona hao wachaga wakijinyonga?Bora siku ya kufa nyani sio ya hawa ndugu zetu kwa kujinyonga wachaga huu mwaka kisa mapenzi.
Nimeona muhuri wa mkurugenzi wa jiji nikadhani watakuwa manispaa, na manisapaa ndio wanadili na leseni, sio tra!
ALTITUDE? CCM HAO NDO WANAWAFUNDISHA HIVI?☺️😊 Tupo pamoja mkuu, mkuu kwa hii altitude tukipatikana 1000 volunteers
Tukapewa silaha na kila kitu tuna jitangazia nchi huru Kama KIONGOZI wa M23 NANGAA
dah angalia wanaJF wasije wakakuchekesha ukacheka humo ikawa msalaNipo kwenye gari tunaenda ofisin
Wewe ujue kuna kamanda humu
Daaah mkuu basi nishachanganya ngoja niwaulizeNimeona muhuri wa mkurugenzi wa jiji nikadhani watakuwa manispaa, na manisapaa ndio wanadili na leseni, sio tra!
Kuna mtu kashaanza kuniletea utani andah angalia wanaJF wasije wakakuchekesha ukacheka humo ikawa msala
Leo nakufa mkuu.Kwa hiyo we nyani leo ndo unakufa?
Mkuu bila shaka umepiga vitu vikali vikali..Kwa hiyo we nyani leo ndo unakufa?
Hapa ni chai sioIla wee ni muongo hatariiii, khaaaah