Siku ya kufa Nyani: Polisi na TRA wavamia biashara yangu

Siku ya kufa Nyani: Polisi na TRA wavamia biashara yangu

Siku ya kufa nyani wakuu.
Mod jaribuni kuweka kichwa vizuri

Nimerudi polisi nimefika hata haijapita masaaa wamepita TRA sijui kina nani ila kuna faza ana kitambi.

Kaomba leseni, mimi sina na biashara yangu hata mwaka haija fika ila nina viambatanisho vyote kama vyeti muhimu.

sasa kwani ungesema ni afisa wa tra mpaka useme anakitambi. da acha kumdhalilisha huyo baba wa watu. isitoshe mbona barua yako inaonyesha ni JIJI . Yaani hata kusoma uone ni jiji nalo ni tatizo. Mgambo wamekuvuruga si bure wewe
 
sasa kwani ungesema ni afisa wa tra mpaka useme anakitambi. da acha kumdhalilisha huyo baba wa watu. isitoshe mbona barua yako inaonyesha ni JIJI . Yaani hata kusoma uone ni jiji nalo ni tatizo. Mgambo wamekuvuruga si bure wewe
Ndio mkuu mgambo wamenivuruga
 
Siku ya kufa nyani wakuu.
Mod jaribuni kuweka kichwa vizuri

Nimerudi polisi nimefika hata haijapita masaaa wamepita TRA sijui kina nani ila kuna faza ana kitambi.

Kaomba leseni, mimi sina na biashara yangu hata mwaka haija fika ila nina viambatanisho vyote kama vyeti muhimu.

Wewe tena, si umefunjiwa duka?
 
Siku ya kufa nyani wakuu.
Mod jaribuni kuweka kichwa vizuri

Nimerudi polisi nimefika hata haijapita masaaa wamepita TRA sijui kina nani ila kuna faza ana kitambi.

Kaomba leseni, mimi sina na biashara yangu hata mwaka haija fika ila nina viambatanisho vyote kama vyeti muhimu.
Hii so bule mkuu huenda unaugomvi na UV ccm hebu jalibu kujichunguza utapata jibu
 
Siku ya kufa nyani wakuu.
Mod jaribuni kuweka kichwa vizuri

Nimerudi polisi nimefika hata haijapita masaaa wamepita TRA sijui kina nani ila kuna faza ana kitambi.

Kaomba leseni, mimi sina na biashara yangu hata mwaka haija fika ila nina viambatanisho vyote kama vyeti muhimu.

Biashara yako ina turnover kiasi gani kwa mwaka? Si kila biashara inatakiwa kwenda Tra.

Ikiwa pato lako ni Chini ya milioni 4 hulipi kodi, ikiwa milioni 4 mpaka 7 unalipa flat rate 100,000 ama kama unaweka kumbukumbu ni hio hela iliozidi milioni 4.

Kama biashara ni kubwa sana hao jamaa wana kuhusu.
 
Biashara yako ina turnover kiasi gani kwa mwaka? Si kila biashara inatakiwa kwenda Tra.

Ikiwa pato lako ni Chini ya milioni 4 hulipi kodi, ikiwa milioni 4 mpaka 7 unalipa flat rate 100,000 ama kama unaweka kumbukumbu ni hio hela iliozidi milioni 4.

Kama biashara ni kubwa sana hao jamaa wana kuhusu.
Ni halmashauri kumbe mkuu
 
Siku ya kufa nyani wakuu.
Mod jaribuni kuweka kichwa vizuri

Nimerudi polisi nimefika hata haijapita masaaa wamepita TRA sijui kina nani ila kuna faza ana kitambi.

Kaomba leseni, mimi sina na biashara yangu hata mwaka haija fika ila nina viambatanisho vyote kama vyeti muhimu.

Poor brain tra huwa hawausiki na liseni za biashara na kama ulivyoweka na ushahidi hao ni Jiji. tra wao huwa wanahusika na tin namba na hata wakipoita wataulizia tin namba au makadirio. Je uliomba kitambulisho ukaona ni tra? siyo kila anayekuja dukani ni tra kuna tra wao wataulizia makadirio tin efd na kama umelipa kodi au umefanyiwa makadirio , halmashauri wao ni liseni kama unayo au umelipia.
 
Pernat kaka
Kuna ya leseni
Kuna penalty
Na kuna asilimia za penat sijui
Wamekuonea tu na kwa sababu haujui hayo mambo halafu wamekukuta una ma stress na inavyoonekana umechomwa. How come matukio yafuatane hivyo?
 
Poor brain tra huwa hawausiki na liseni za biashara na kama ulivyoweka na ushahidi hao ni Jiji. tra wao huwa wanahusika na tin namba na hata wakipoita wataulizia tin namba au makadirio. Je uliomba kitambulisho ukaona ni tra? siyo kila anayekuja dukani ni tra kuna tra wao wataulizia makadirio tin efd na kama umelipa kodi au umefanyiwa makadirio , halmashauri wao ni liseni kama unayo au umelipia.
Ni watu wa jiji mkuu
Sio jiji ni halimanashauli
 
Back
Top Bottom