Koo ukitaka kusemaje maana hili dongo la wazi kabisa.Pole sana endeleeni kuwatukana waajiriwa na kuwaita watumwa, uzuri wafanyabiashara wote lazima muishie kuwa matajiri kama kina bakhresa au mkishindwa sana basi vunjabei, kwahiyo hakuna haja ya kulalamikia vitu vidogo kama hivo
Jamaa ana kitambi alafu mfupo..😂 😂 😂 Huyo huyo mwenye kitambi au ni Afisa biashara
Asante san jaddaPole sana endeleeni kuwatukana waajiriwa na kuwaita watumwa, uzuri wafanyabiashara wote lazima muishie kuwa matajiri kama kina bakhresa au mkishindwa sana basi vunjabei, kwahiyo hakuna haja ya kulalamikia vitu vidogo kama hivo
Nakufa hukuduka la dawa kwa mauzo ya mwezi huu kulipia faini hiyo ni mtiti hivyo una kibarua sana
Kwahyo nikasemajeKwan kuwaambia biashara ndo umefungua Kuna shida? Maana ukisema biashara ni mpya unapewa mwaka mzima Bure kama inajulikana huko nakupa pole yako
WAIOPITA KUKUKAGUA NI TRA AU JIJI?Wakuu naishia kucheka tuu aiseeee daaah leo ni leo.
Yaani wanataka laki mbili na hata sina mwaka kwa hii biashara jamn seriously
MWAKA MZIMA BURE KUFANYA BIASHARA ANAKUPA TRA AU MANISPAA?Kwan kuwaambia biashara ndo umefungua Kuna shida? Maana ukisema biashara ni mpya unapewa mwaka mzima Bure kama inajulikana huko nakupa pole yako
TRA ILa manispaa hawakupi chochote unalipa kila kituMWAKA MZIMA BURE KUFANYA BIASHARA ANAKUPA TRA AU MANISPAA?
Kasongooo yeiyeeee.....Duhhhhhh....
Mbona wewooo...🙄
Tra wanataka lessenWAIOPITA KUKUKAGUA NI TRA AU JIJI?
TraNi tra au manispaa!!?
Dorry kalewa tuu huko ety.Pole,, leo ukalale kwa shangazi dorry akuliwaze
Asante mkuuUta fikiria kuna kitu imeamua leo iwe hivi kwako.. Pole sana
Ni mapito kwa mema, utaboresha na utasonga vizuri.