Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ama kweli hii ni awamu ya Sita! Nimejaribu kusubiri kwamba labda kuna tangazo litatoka baada ya sherehe lakini naona kimya kimetanda, kulikoni?
Kama yupo aliyesikia jambo hili ni vema akatushirikisha
Kama yupo aliyesikia jambo hili ni vema akatushirikisha