Siku ya kwanza kuingia shule ya bweni ya Serikali

Daah aisee
 
Mimi nimesoma bagamoyo secondary, shule pekee ukiwa ufukwen au baharin unaogelea unakua bado upo eneo la shule, kama advance hukusoma serikalin bas ww ni kilaza
Haha sio kweli bwana haya ni mawazo ya kitoto sana umenikumbusha sisi tulivyokuwa tunatambiana na wanafunzi wa shule ya jirani wao wanatuita mafukara eti ada yetu pocket money yao na sisi tunawaita vilaza
 
Hahahaa nimecheka kama mazuri daah
 
Daah nyie mlivyofika chuo hamkupata tabu maana mlishazoea kuishi kama digidigi
 
Hwhhwh kwa ushujaaa huuu i hope umejiunga a lile jesh lililopewa kaz ya kupasua korosho
 
Jioni tunacheck mpira kengele ya msosi ikalia jamaa akaropoka tutakua ikifika half time basi mimi nikajua imeeleweka half time kufika kwenda DH msosi umeisha muda mrefu mwana mmoja ikabidi anibakizie asee siku fanikiwa kumfahamu yule jamaa sababu ilikua usiku,tangu siku ile huwa nina saidie MTU yeyote ambaye ninao uwezo pasipo kuangalia sura au mahusiano
 
Hahaa daah nimecheka kwa nguvu..na hakuja tena?
 
hii nimeipenda
 
[emoji23][emoji23][emoji23]uzi mtamu sana..nakumbuka form 5 nafika shule flani hivi shida zilikua nyingi kama maji na msosi nkachukulia changamoto,
why nimeanza na kicheko,
Mapenzi ya ujanani nilmpenda toto la kichaga lipo form 6 akazungusha wee baadae akatik,
ishu ni kua alkua na urafiki na head girl ambae alikua mnoko hata walimu wana afadhali,head girl alkua mbabe ad anakunja ngumi,
Something funny,
day moja my girlfriend uyo wa kichaga akaumwa akaenda kwao,head girl mbabe akanipa adhabu 2kakate kuni nje kidogo ya shule,
head boy akaambiwa asimamie adhabu ya wengine waliokua wanapalilia mashamba,tulipokua wenywe head girl mbabe akawa mdogo hadi leo siamini, akamkandia gf wangu wa kchaga ni mhuni na malaya sana,to cut story short akanipekeka ad getto flani la hko maana yy alkua mwnyeji,
, tukabanjua ile amri ileee ya tunda na baadae 2karudi school fresh.
As days go on gf alrudi ila yeye,marafiki zangu ad walimu walkua na wasiwasi na mimi maana head girl mbabe alkua akiniona full mapozi,sauti atalegeza na hata niwe na kosa gani hanifanyi kitu,ule utomboy flani ukaanza kusepa .. fast forward'
We lived happily ever after[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…