Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
🤣🤣🤣wakati pipo bado zinalipa, pisi ipi ya ef 2 inaweza hata kushindana na uwoya, au sanchi!!! Na hizo ni za themanini mwishoniWanaponda sana mabinti wa 1990's eti mishangazi...😃😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣wakati pipo bado zinalipa, pisi ipi ya ef 2 inaweza hata kushindana na uwoya, au sanchi!!! Na hizo ni za themanini mwishoniWanaponda sana mabinti wa 1990's eti mishangazi...😃😃
Shangaaa...wa 2000 wanazeeka kwa heka heka nyingi walizonazo..🤣🤣🤣wakati pipo bado zinalipa, pisi ipi ya ef 2 inaweza hata kushindana na uwoya, au sanchi!!! Na hizo ni za themanini mwishoni
Hawezi kumu afford hata kidogo.Tina ni kifupi cha Christina Manongi a mbae ndo huyo huyo Sintah# kwasasa naona wote wawili wanaishi kwenye dunia tofauti kabsa, sioni kama Nature anaweza kummiliki Sintah tena
Kwani kuna shido?Nature mambo yake si ya kitoto.
Hapa kapozi na Bi. Mkubwa kabla Bi Mkubwa haja trend.
View attachment 3117983
Steven Biko , daah kitambo sana.Biko alikua boya sana, sasa angekua kafa, BBC angeionea wapi?
Acha uongo shigongo hajawah kutoa gazet la kiuKweli Shigongo ,KIU na IJUMAA ameuza sana.
Alianza na Kiu alipofarakana na wenzake ndiyo akaanzisha ijumaaAcha uongo shigongo hajawah kutoa gazet la kiu
Magazet ya shigongo yalikuwa ni
Ijumaa wikienda
Uwazi
Risasi
Amani
Ijumaa na champion
watu wa JF tuna dunia yetu yani ni exceptional 🤣🤣🤣Watu wa Jamii forum ni waongowaongo sana...imagine kuwa HR pale Saifee hospital ni mwenzio huyo? Wanaongeleaga watu hata hawajawaona ila utasikia yule kwishaaa😅
🤣🤣balaawatu wa JF tuna dunia yetu yani ni exceptional 🤣🤣🤣
Kwamba ukimuona mwizi, ukamuambia wewe mwizi acha wizi mwisho wake mbaya ni kumuhukumu?Usihukumu si kazi yako
Imbecile.Kwamba ukimuona mwizi, ukamuambia wewe mwizi acha wizi mwisho wake mbaya ni kumuhukumu?
mnavutaga bhangi za wapi nyie vijana?
hao watajwa hapo juu ni malaya, na wanaishi kwa kutegemea umalaya, kuwaita malaya wala haiwezi kuwa kuwahukumu.
Hukumu watakutana nayo kwa Mola wao huko!!
Aiseeh mziki ulikuwa zamaniMega hitsong ya Juma Nature ni inaniuma sana.
View attachment 3118418
Kwenye ule wimbo nature ameelezea mapenzi yake na mwanamama Sinta.
Kuna mstari anasema alikuja kwangu usiku. Usiku huo anaozungumzia Nature ni Sinta akipelekwa kwa Juma Nature na mwanadada nguli wa utangazaji Dida shaibu.
Dida na Sinta walikuwa marafiki sana wakati huo wakisoma pamoja pale Ilala.
Na Sinta alikuwa anamuelewa Nature akamfata kwao kurasini akidangaya rafiki zake yeye ni demu wa Nature ila hatimaye wakaingia kwenye mahusiano.
Pumzika kwa amani Dida Shaibu.
Mwanadada mwenye kipaji cha pekee cha utangazaji wa uswazi lifestyle, eneo hilo hakuna wa kuziba pengo lako.
Soma Pia: Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia
Nimtoto wa kipare pale ngoja maoreTina ni kifupi cha jina halisi la Sinta yaani Christina Magogi
Kabisa ndiyo yeyeNimtoto wa kipare pale ngoja maore
Aisee hivi nina alienda wapi yule demu alikuwa mkali sijapata kuona hadi leo hii.?!"Hila swala kubwa ni lako mama, usimsingizie Nina"
Nadhani katika hao watu wanne mmoja wapo alikuwa Nina ambaye alikuwa na urafiki na Sinta pia.
Maana kaole wakati ule visu walikuwa Sinta, Nina, Norah.
Kama ndo huyu sasa hivi basi wapo level tofauti sana na kiroboto 🙌Sinta kajipata tena ni boss ana hela balaa
🤣🤣🤣🤣 Kiroboto Mnywa gongo hamuwezi huyo ngoja nikuletee picha zake nyingine akiwa ktk vikao vya UN hukoKama ndo huyu sasa hivi basi wapo level tofauti sana na kiroboto 🙌