"Siku ya kwanza kukutana nae walikuja kwangu usiku", Sinta akipelekwa na Dida kwa Juma Nature

"Siku ya kwanza kukutana nae walikuja kwangu usiku", Sinta akipelekwa na Dida kwa Juma Nature

Wanaponda sana mabinti wa 1990's eti mishangazi...😃😃
🤣🤣🤣wakati pipo bado zinalipa, pisi ipi ya ef 2 inaweza hata kushindana na uwoya, au sanchi!!! Na hizo ni za themanini mwishoni
 
🤣🤣🤣wakati pipo bado zinalipa, pisi ipi ya ef 2 inaweza hata kushindana na uwoya, au sanchi!!! Na hizo ni za themanini mwishoni
Shangaaa...wa 2000 wanazeeka kwa heka heka nyingi walizonazo..
 
Watu wa Jamii forum ni waongowaongo sana...imagine kuwa HR pale Saifee hospital ni mwenzio huyo? Wanaongeleaga watu hata hawajawaona ila utasikia yule kwishaaa😅
watu wa JF tuna dunia yetu yani ni exceptional 🤣🤣🤣
 
Usihukumu si kazi yako
Kwamba ukimuona mwizi, ukamuambia wewe mwizi acha wizi mwisho wake mbaya ni kumuhukumu?

mnavutaga bhangi za wapi nyie vijana?

hao watajwa hapo juu ni malaya, na wanaishi kwa kutegemea umalaya, kuwaita malaya wala haiwezi kuwa kuwahukumu.

Hukumu watakutana nayo kwa Mola wao huko!!
 
Kwamba ukimuona mwizi, ukamuambia wewe mwizi acha wizi mwisho wake mbaya ni kumuhukumu?

mnavutaga bhangi za wapi nyie vijana?

hao watajwa hapo juu ni malaya, na wanaishi kwa kutegemea umalaya, kuwaita malaya wala haiwezi kuwa kuwahukumu.

Hukumu watakutana nayo kwa Mola wao huko!!
Imbecile.
 
Mega hitsong ya Juma Nature ni inaniuma sana.

View attachment 3118418

Kwenye ule wimbo nature ameelezea mapenzi yake na mwanamama Sinta.

Kuna mstari anasema alikuja kwangu usiku. Usiku huo anaozungumzia Nature ni Sinta akipelekwa kwa Juma Nature na mwanadada nguli wa utangazaji Dida shaibu.

Dida na Sinta walikuwa marafiki sana wakati huo wakisoma pamoja pale Ilala.

Na Sinta alikuwa anamuelewa Nature akamfata kwao kurasini akidangaya rafiki zake yeye ni demu wa Nature ila hatimaye wakaingia kwenye mahusiano.

Pumzika kwa amani Dida Shaibu.

Mwanadada mwenye kipaji cha pekee cha utangazaji wa uswazi lifestyle, eneo hilo hakuna wa kuziba pengo lako.

Soma Pia: Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia
Aiseeh mziki ulikuwa zamani
 
"Hila swala kubwa ni lako mama, usimsingizie Nina"
Nadhani katika hao watu wanne mmoja wapo alikuwa Nina ambaye alikuwa na urafiki na Sinta pia.
Maana kaole wakati ule visu walikuwa Sinta, Nina, Norah.
Aisee hivi nina alienda wapi yule demu alikuwa mkali sijapata kuona hadi leo hii.?!
 
Sinta kajipata tena ni boss ana hela balaa
 

Attachments

  • 20241103_221633.jpg
    20241103_221633.jpg
    130.5 KB · Views: 3
Kama ndo huyu sasa hivi basi wapo level tofauti sana na kiroboto 🙌
🤣🤣🤣🤣 Kiroboto Mnywa gongo hamuwezi huyo ngoja nikuletee picha zake nyingine akiwa ktk vikao vya UN huko

Demu Amekuwa madame boss now days na ni low key
 
Back
Top Bottom