Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Kumbe wote hao ni padri mch?Kwakweli asee
Ujue huyo ni mtu mmoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe wote hao ni padri mch?Kwakweli asee
Ujue huyo ni mtu mmoja
GARI UNAKUTA INAVUMAAA HADI KICHWA KINAUMAA.. OOOH LEXUS NDANI KIMYAAA 😬😬Kelele za upepo ni insulation, sio stability mkuu!
Gari ambazo ziko highly insulated ni Lexus pako dead silence hata ikikimbia 260KPH
🙂🙂 Unaendesha ka gari kabayaa ka Porsche GT.. alafu mzeee kwanza 🚶♂️🚶♂️🚶♂️Yaani ameona anifokee eti mzee [emoji23][emoji23]
Yeye kijana hata ndoto hana
ahaaa totooooo 🙂🙂🙂 X6 vipi ipoKwakweli asee
Ujue huyo ni mtu mmoja
[emoji846][emoji846] Unaendesha ka gari kabayaa ka Porsche GT.. alafu mzeee kwanza [emoji2211][emoji2211][emoji2211]
c. c kamati ya roho mbaya
Yani kimya kama VIP wodi ya Mloganzia😅GARI UNAKUTA INAVUMAAA HADI KICHWA KINAUMAA.. OOOH LEXUS NDANI KIMYAAA 😬😬
Ilo zuri sanaaa basi linafaa kwa matumizi ya mwanadamuYani kimya kama VIP wodi ya Mloganzia😅
Kwani linaenda kulima? Si kwa matumizi yake na familia, kazini ,kanisani na matembezi?.service kama kawa?I have to be honest brother with no sugar coating,kama hii ndio SUV umeamua kuwa nayo umejitafutia matatizo ya moyo na matumizi ya zaidi, utalipaki miaka mingine 11 ili uje litengeneza tena kwa kifupi utalipaka na likishalala ndio imeisha hiyo.
Subiri mada za mapishi ndio uchangie..Kwani linaenda kulima? Si kwa matumizi yake na familia, kazini ,kanisani na matembezi?.service kama kawa?
Sasa mie ambae nasave mwaka wa 26 huu ili ninunue ka passo si nina hali mbaya zaidi[emoji2297][emoji2297][emoji2297]Huyo mtu anayesema hujui dili zake ndio nilikuwa namshangaa! Ni upuuzi kuweka hela yote hio kwa miaka zaidi ya 10 eti kisa kununua gari ambayo stii ni outdated!
Walau hio pesa angenunua gari ya 2015 ningemuona ana akili!
Unaumia nn na hela si yako?Huyo mtu anayesema hujui dili zake ndio nilikuwa namshangaa! Ni upuuzi kuweka hela yote hio kwa miaka zaidi ya 10 eti kisa kununua gari ambayo stii ni outdated!
Walau hio pesa angenunua gari ya 2015 ningemuona ana akili!
Oohooooo......hahahaaaa kazingua!🤣🤣🤣🤣Mbona hii gari imenunuliwa na mtu kutoka Malawi ? Au na wewe unakaa Malawi? Please see this link on the bottom aliyenunua anatoa positive feedback to BE Forward: Used 2003 LAND ROVER RANGE ROVER VOGUE/GH-LM44 for Sale BK265563 - BE FORWARD
Exactly!!Roho ya husda haichagui anaweza kuwa nayo tajiri au masikini,
Kuhusu kumuamini mleta mada ni uamuzi tu,naweza kuamini au kutoamini sababu kama nilivyosema humu hatujuani kwahio ukiona mtu anapinga wala usishangae au ukahisi ana husda au ni maskini,ni mawazo yake tu
Kazingua boya huyo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jamaa wewe faller sana, tumetokwa povu kukutea kumbe gari hata hujanunua?
Unajikomba ili iweje?
Umefaidi nini?
uttoh2002
Umenena mkuu hatimae ukweli umepatikana. 😂😂😂😂😂Tulitukanwa sanaa😅😅😅 mtu mwenye hela hanunui gari kwa miaka 11 huyo ni sakara 😅 long term plans ni 3-5 years!
Hatari sana...hahahaaaaDaaah ndugu yetu alijua hii ni FB au Whatsapp unaweka tu status..watu wamechambua hadi ilipouzwa gari...daaahhh
Kwanini uoneshe?Kwanza nkinunua gari sioneshi huku [emoji28][emoji28][emoji28]
Mkuu.Nakubaliana nawe in part ila kwa performance BMW V8 is the fastest SUV hakuna cha Porche, Landcruiser etc nadhani ktk experience yako uliendesha BMW X5 v6 not the mammoth X5 V8 twin-turbo charged yenye 612 Horse power on it ni dude moja ukikaa humo siwezi nikakueleza ukaelewa. Tafiti utakubali mwenyewe.