Siku ya Kwanza kumiliki SUV sikulala!

Siku ya Kwanza kumiliki SUV sikulala!

Kweli mkuu GTS za kuhesabu huku niliko kwa sasa maana jamaa wananiulizia kama naiuza especially tukikutana carwash
Well kuhusu Audis SUVs nimeziendesha sana na ni nzuri pia nazipenda
Kuhusu BMW mimi sio mpenzi wa hizo
Kuna wakati niliendesha ila tatizo lake sio stable na pia hata ufunge madirisha na upo speed utasikia muungurumo wa upepo and I hated it

Hili GTS mzee ukikanyaga accelerator unaona mwili unarudi nyuma kama unavutwa hapo ndio utaona nguvu ya Porsche

Ila kwa kuhitimisha kila mmoja anaangalia ipi anapenda zaidi
Kelele za upepo ni insulation, sio stability mkuu!
Gari ambazo ziko highly insulated ni Lexus pako dead silence hata ikikimbia 260KPH
 
Nashukuru kwa hilo
Hao mbona tunao wengi tu, ni kawaida sana

Kuna post ya magari miaka ya nyuma nikaandika tu nilikuwa namilikin Skyline GT back in 80’s mmoja akaandika utakuta hata baiskeli hauna [emoji23][emoji23]

Ila nimezoea

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nampongeza lkn gar sio kuweka mafuta na kuendesha, ni matunzo yaan kama mke mwingine
 
Back
Top Bottom