Siku ya Kwanza kumiliki SUV sikulala!

Siku ya Kwanza kumiliki SUV sikulala!

Ha ha ha! Haya Bwana! Ni sawa, Hakuna mtu kakatisha ndoto ya mtu! Naweza nisiwe na Range Rover, Ila nikawa na ya thaman zaidi!

Magari Ni zaidi ya unavyofikiri! Ninayajua Sana! Kwa hiyo Najua machoongea! Hilo gari laitaji uwe Na gari zaidi ya Moja na uwe na hela sio Za ku save miaka 10!

Hilo gari Laweza likakorofisha Umeme lisiwake, ikabidi lifuatwe na winch, sio gari ya mchezo! Sio kwamba twamkatisha tamaa, twamweleza tu ukweli.

Ukiona mtu Ka save miaka 10 kununua gari, especially hili Ambali si ghali kivile; ujue ate save miezi 6 ku service, Na asipopata Fundi mzuri litavurugwa.
Mkuu sio mara zote gari husumbua, tatizo hilo laweza kujitokeza baada ya miaka 3, hapo si furaha yake ilishakamilika?
Ninavyojua magari mengi kama haya stori zake huanzia kwa mafundi wabovu na vijiweni hupokea korasi yake.
Mimi ni muhanga wa haya mambo.
Kuna gari nilinunua nikapewa muda kuwa sitaweza kulihudumia.
Lakini hadi sasa ni mwaka wa 6 na sijawahi kupata tatizo kubwa zaidi ya kubadili pressure plate tu na gari iko poa mno na huwa nachanja kila mahali, sio tope wala barabara mbovu porini...
Na gari hii mnayoisema sio mbovu ki vile inavyosemwa bali spare zake na fuel consuption iko juu.
Je! Itaharibika kila siku?
Je! Ataenda masafa marefu kila siku?
Kama una ka harrier chako si unabadilisha mara moja moja?
Hii inafaa zaidi kwenda kula bata...mwacheni kijana ale sawa na urefu wa kamba yake[emoji16][emoji16]
 
Ha ha ha! Haya Bwana! Ni sawa, Hakuna mtu kakatisha ndoto ya mtu! Naweza nisiwe na Range Rover, Ila nikawa na ya thaman zaidi!

Magari Ni zaidi ya unavyofikiri! Ninayajua Sana! Kwa hiyo Najua machoongea! Hilo gari laitaji uwe Na gari zaidi ya Moja na uwe na hela sio Za ku save miaka 10!

Hilo gari Laweza likakorofisha Umeme lisiwake, ikabidi lifuatwe na winch, sio gari ya mchezo! Sio kwamba twamkatisha tamaa, twamweleza tu ukweli.
Mkuu sio mara zote gari husumbua, tatizo hilo laweza kujitokeza baada ya miaka 3, hapo si furaha yake ilishakamilika?
Ninavyojua magari mengi kama haya stori zake huanzia kwa mafundi wabovu na vijiweni hupokea korasi yake.
Mimi ni muhanga wa haya mambo.
Kuna gari nilinunua nikapewa muda kuwa sitaweza kulihudumia.
Lakini hadi sasa ni mwaka wa 6 na sijawahi kupata tatizo kubwa zaidi ya kubadili pressure plate tu na gari iko poa mno na huwa nachanja kila mahali, sio tope wala barabara mbovu porini...
Na gari hii mnayoisema sio mbovu ki vile inavyosemwa bali spare zake na fuel consuption iko juu.
Je! Itaharibika kila siku?
Je! Ataenda masafa marefu kila siku?
Kama una ka harrier chako si unabadilisha mara moja moja?
Hii inafaa zaidi kwenda kula bata...mwacheni kijana ale sawa na urefu wa kamba yake[emoji16][emoji16]

Uko Sawa, nakubiliana Na wewe!
 
Hapo ni sawa na kulea mimba mpaka mtoto kuzaliwa, hivyo hongera... Sasa part two ndiyo muvi halisi la kumlea mtoto mpaka akue (services, maintenances and day to day running costs) linaanza, patamu hapoo!!
 
Jf imejaa ujinga mwingi sana, sasa inasaidia nn mwanaume kupost gari ya mwanaume mwingine na kujifanya kama ni yake? kama mtu hana pesa ni hana tu kikubwa atafute apate, Inshort kwa haya aliyoyaonyesha ni kwamba ana poor mindset, and therefore he don't belong to this class. ALE UREFU WA KAMBA YAKO NA ASIINGILIE MALISHO YA WENGINE.
Extrovert Glenn newazz whyme Lyamber The Icebreaker
Tulitukanwa sanaa😅😅😅 mtu mwenye hela hanunui gari kwa miaka 11 huyo ni sakara 😅 long term plans ni 3-5 years!
 
Wakuu 2021, Inshallah nimefanikiwa kumilik hii SUV. Nimejinyima for 11 good years kufanikisha hili.

View attachment 2088573

View attachment 2088577

View attachment 2088579
NB: Vijana jifunzeni uvumilivu katika kutafut

Yan unatafuta hela miaka 11 kununua gari la 2005 kushuka chini?? Walau ungenunua hata discovery 3 ama 4...au hata prado j150 za kwanza 2009 ...kama hela umetafuta kiaka yote hio kwa gari hilo nakushauri lipaki tafuta hela miaka 6 walau ili uweze lihudumia

Afu kama hilo ndo suv la kwanza niseme tu we bado magari yatakuua ina maana ulikosa hata prado j70 zile umeshindwa miliki hata prado j90 .umkimbilia huko😁😁
 
Ktk vitu sina mzuka navyo tena ni magari hasa personal cars...been there done that, over with it...ukiachana na maintanance cost kuna depreciation value...unanunua gari 55m, linakutia cost ya 5-10m during its time, na ukija kuuza ht 30m ni ya kupambania sana...kigari cha mwisho kuuza kilikua kirikuu cha biashara, hadi nakitoka bandarini 2016 kilikua 9.5m, last yr nakiuza nimeuza bodi na engine mswaki pesa yake hadi naona noma kuitamka, ht M hakikufika.
Nway kila mtu na ndoto zake, na ukiwa kijana ndoto za magari ni kubwa sana, ila with time unagundua u were wrong all the way.

Ushauri wangu Enjoy while it last.
 
Jf imejaa ujinga mwingi sana, sasa inasaidia nn mwanaume kupost gari ya mwanaume mwingine na kujifanya kama ni yake? kama mtu hana pesa ni hana tu kikubwa atafute apate, Inshort kwa haya aliyoyaonyesha ni kwamba ana poor mindset, and therefore he don't belong to this class. ALE UREFU WA KAMBA YAKO NA ASIINGILIE MALISHO YA WENGINE.
Extrovert Glenn newazz whyme Lyamber The Icebreaker
Daaah ndugu yetu alijua hii ni FB au Whatsapp unaweka tu status..watu wamechambua hadi ilipouzwa gari...daaahhh
 
Ktk vitu sina mzuka navyo tena ni magari hasa personal cars...been there done that, over with it...ukiachana na maintanance cost kuna depreciation value...unanunua gari 55m, linakutia cost ya 5-10m during its time, na ukija kuuza ht 30m ni ya kupambania sana...kigari cha mwisho kuuza kilikua kirikuu cha biashara, hadi nakitoka bandarini 2016 kilikua 9.5m, last yr nakiuza nimeuza bodi na engine mswaki pesa yake hadi naona noma kuitamka, ht M hakikufika.
Nway kila mtu na ndoto zake, na ukiwa kijana ndoto za magari ni kubwa sana, ila with time unagundua u were wrong all the way.

Ushauri wangu Enjoy while it last.
Gari in most cases ni liability tu, its not something you should buy ukiwa huna surplus! Wachache wameweza kuzi convert into assets kwa kuzikodisha ila still they fucc their pockets. A car will always take money from your pockets from the point you have it in your hands.

Uwe na enough income streams gari itakuwa like a dream come true😅 ila the opposite of it got damn it! The car will be your worst nightmare especially ikiwa ni one hell of a complicated machine.

Wanaziita money pits zile ambazo ni over engineered from German ama UK kama hao akina Range Rovers. Up keep costs ni kubwa sana kwa hizo makes if you want it to keep moving flawlessly.😅
 
Its a Damn shame kuwekeza more than 50M to buy an outdated car with almost 100% trouble assurance!😅

For the money there are pretty decent cars angepata ambazo ni trouble free, atajifunza kitu lakini😂
Yan unatafuta hela miaka 11 kununua gari la 2005 kushuka chini?? Walau ungenunua hata discovery 3 ama 4...au hata prado j150 za kwanza 2009 ...kama hela umetafuta kiaka yote hio kwa gari hilo nakushauri lipaki tafuta hela miaka 6 walau ili uweze lihudumia

Afu kama hilo ndo suv la kwanza niseme tu we bado magari yatakuua ina maana ulikosa hata prado j70 zile umeshindwa miliki hata prado j90 .umkimbilia huko😁😁
 
Back
Top Bottom