Jamaa muongo cha kwanza😅 watu hata wangekuwa passport size ila ukweli ni kwamba hata wewe ukipewa hilo range rover bila danga utalipaki tu hata kama una mshahara wa 2M amini kwamba!😅Ila if watu wapo negative sana jamani
Duuuh! Naona Kamba zenu ndefu sana
Jamaa muongo cha kwanza[emoji28] watu hata wangekuwa passport size ila ukweli ni kwamba hata wewe ukipewa hilo range rover bila danga utalipaki tu hata kama una mshahara wa 2M amini kwamba![emoji28]
Kelele za upepo ni insulation, sio stability mkuu!Kweli mkuu GTS za kuhesabu huku niliko kwa sasa maana jamaa wananiulizia kama naiuza especially tukikutana carwash
Well kuhusu Audis SUVs nimeziendesha sana na ni nzuri pia nazipenda
Kuhusu BMW mimi sio mpenzi wa hizo
Kuna wakati niliendesha ila tatizo lake sio stable na pia hata ufunge madirisha na upo speed utasikia muungurumo wa upepo and I hated it
Hili GTS mzee ukikanyaga accelerator unaona mwili unarudi nyuma kama unavutwa hapo ndio utaona nguvu ya Porsche
Ila kwa kuhitimisha kila mmoja anaangalia ipi anapenda zaidi
Mtu wa kutumia gari mara moja kwa mwezi hanunui gari kwa kudunduliza 11 yrsWengine wanapenda vintage kama pambo tuu analitumia mara moja kwa mwezi
Duuuh! Naona Kamba zenu ndefu sana
Kelele za upepo ni insulation, sio stability mkuu!
Gari ambazo ziko highly insulated ni Lexus pako dead silence hata ikikimbia 260KPH
Angalia gari
Unadhan we utabaki kijana milele?
Nashukuru kwa hilo
Hao mbona tunao wengi tu, ni kawaida sana
Kuna post ya magari miaka ya nyuma nikaandika tu nilikuwa namilikin Skyline GT back in 80’s mmoja akaandika utakuta hata baiskeli hauna [emoji23][emoji23]
Ila nimezoea
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanza nkinunua gari sioneshi huku [emoji28][emoji28][emoji28]
I hate nothing. nimemaanisha urefu wa Kamba zenu ni ndefu kiasi kwamba mnakula kwenye radius ya 500 meters.Haters [emoji23]
Yaani ameona anifokee eti mzee [emoji23][emoji23]
Yeye kijana hata ndoto hana
I hate nothing. nimemaanisha urefu wa Kamba zenu ni ndefu kiasi kwamba mnakula kwenye radius ya 500 meters.
Mh! Yaani ndo nyie mnaoliwa bila mboga... Kwani hata ukiwa na baskeli huwezi kupata dem?Chombo ya kung'oa mademu wa Chuo
Hana lolote wivu tu