Siku ya Kwanza Kuongea Kiingereza mbele ya Kadamnasi kidogo nizimie

Kuna mmoja tukiwa form one wakati huo kulikuwa na 'no English no service' rule, siku hiyo jamaa alisahau daftari, mwalimu kafika kwa mwanafunzi aliyekuwa mbele ya huyo jamaa, akaulizwa where is your exercise book akajibu I forgot it home, sasa ilipofika za much yake hakujua yule jamaa wa mbele alisemaje, alipoulizwa akasema I dolilo. Class nzima ilipasukiwa na kicheko
 
Hahahaaaa, mkuu kitu cha Prof. Mlambiti nn?
 
Mimi nakumbuka tulikuwa tunawasilisha seminar ya IT. Swali lilikuwa "what is folder" hapo tupi first year. Mwasilishaji alitafuta maneno yote yakagoma kuja japo alimeza usiku mzima. Gafla akajibu folder is like a kabati, where there are cups, plates and so on" alipomaliza jasho lilikuwa linamtoka balaa. Ikabid mwl. amwambie kakae. Kiingereza si mchezo.
 
Ha ha ha ha ha ha mbavu zangu miee......sema sio mbaya..tunajifunza kulingana na makosa...I go,I come. why because
 

Hahaha dah aisee naonekana chizi huku kwa kucheka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…