Siku ya Kwanza Kuongea Kiingereza mbele ya Kadamnasi kidogo nizimie

mdau moja,pale kwenye kutamka maneno alichekesha umma alipotamka initietivu badala ya inishietivu (iniative)
 

hahahahjf kuna vituko haha
 

Ha haha ha
 
Mi nakumbuka kipindi nimeingia englsh medium darasa la 5 miaka ya 2000 nilikuwa sijui neno hata moja la kiingeleza, yaani nilikuwaga kama bubu vile sisikii wala siwezi ongea kitu. Namshukuru Mungu sasa hata Mzungu namuelewa na ngeri yake
 
Mh hapo sisemi kilichonikuta,yani masikio yalitoa jasho.
 
duuh kwa kweli unastahili pongezi mimi mbona ningetoka NDUKI tu kwani Seminar presentation ilikuwa na marks ngapi? sidhani kama zinazidi marks 10

Kwan 10 marks ni chache mpaka aziache tu?
 

hahaha sina mbavu jamani
 
Khaa alieanzisha huu uzi kanipa raha sana nimecheka sana lol
 
Hahaaaa kuna mwingine mbunge wa cuf viti maalum alitishaaaa

"My name is Ro..sy Mwa.l.us..ambo i am maried with three CRIDS, Profeshenareee i am politician...my daily BLEAD..."
 
Kiingereza si mchezo wandugu,pale UDSM kuna Dr. Juma Kiduanga huwa anafundisha DS 101 kwa kweli Sijui huwa anafundisha nini darasani. Full kujing'ata haeleweki hata lugha gani huwa anaitumia.
 

Ntakupa nyingine cheka uongeze siku mwayaa eeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…