Tanayzer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 3,010
- 7,360
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikweli mkuu hamna lolote ni ujinga wa mtu mmoja anaetafuta umaarufu kwa njia yake ajabuMkuu hali tete huko, ila wasiogope hakuna lolote ni kutishana tu.
Mkuu mimi nipo tayari kubet na huyu MAGALLAH R na ID yake ya pili ya cutelove kama hizo ID 2 pamoja na ile ya Priscilla na chizi maarifa sio zake nipigwe ban na nisionekane tena JF.....Yan wewe [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ukikutwa kweli una HIV mkuu kupotezea sio jambo jepesi kabisaa mkuu, usikiege hivo hivo yasikukute ujasili utakuisha nakwambia
Mkuu trust me, hizi mada hazikuwa na ukweli wowote na hata Kama zinao basi ni kwa asilimia chache sana ila lengo hasa lilikuwa vuta tension ya watu tu.sio vizuri lakini kuwaweka watu katika tension. kama ni real it's ok lakini kama ni uongo ili upate attention sio poa
Mkuu hii ni attention seeker cheza na magallah r,cutelove,priscilla, chizi maarifa anaingia badae hapa wote ni ID moja maana issue aliibua Priscilla sijui nkaona cute love nae analeta vimaelezo vinavyoendana mda huo Jana chizi maarifa akaanza jisemesha kuwa atayapitisha mtu sijui nini..... leo magallah amereport mtu amekufa yani kwa siku 3 tu matukio yote yametokea kwa haraka namna hii haiji kabisasio vizuri lakini kuwaweka watu katika tension. kama ni real it's ok lakini kama ni uongo ili upate attention sio poa
Mkuu mbona umenikazia sana. Una ushahidi wa hicho usemacho.Magallah r na kundi la ID feki ndio anawapeleka kasi.... Mods wakiamua kuunganisha ID basi Magallah r, cute love, Priscilla na chizi maarifa wote watakutwa ni ID moja
Huwa nasema humu kila siku, UKIMWI hata kwa Kisukari bado ni cha mtoto.nimeishi na watu wenye virusi na miaka mingi tu bado nawaona ila kwa kansa na homa ya ini nimenyoosha mikono
Kumbe wewe kiwembe?
Mkuu trust me, hizi mada hazikuwa na ukweli wowote na hata Kama zinao basi ni kwa asilimia chache sana ila lengo hasa lilikuwa vuta tension ya watu tu.
Mkuu nakuona tu unavyowewesekaMkuu jamaa anataka awachanganye wazee wa PM maana wanahaha kweli yani ila mimi nakwambia Mods wakiunganisha ID sijui jamaa ataambia nini watu
Mkuu hii ni attention seeker cheza na magallah r,cutelove,priscilla, chizi maarifa anaingia badae hapa wote ni ID moja maana issue aliibua Priscilla sijui nkaona cute love nae analeta vimaelezo vinavyoendana mda huo Jana chizi maarifa akaanza jisemesha kuwa atayapitisha mtu sijui nini..... leo magallah amereport mtu amekufa yani kwa siku 3 tu matukio yote yametokea kwa haraka namna hii haiji kabisa
Kweli mkuu hayo magonjwa ni hatari sana lakini HIV inakitisho chake Cha kipekee kabisaa, yani mfano unapokuwa porini Kuna viumbe hatari Kama nyoka wenye sumu kali sana lakini mtu ukiwa porini hofu yako ya kwanza ni Simba wengine hao ni matokeo tu mkuu.nimeishi na watu wenye virusi na miaka mingi tu bado nawaona ila kwa kansa na homa ya ini nimenyoosha mikono
Mmh Kama ni kweli haya basi hatari asee, Inabidi tutulize hali ya hewa watu wasije kuja kufa kwa presha bure.Mkuu mimi nipo tayari kubet na huyu MAGALLAH R na ID yake ya pili ya cutelove kama hizo ID 2 pamoja na ile ya Priscilla na chizi maarifa sio zake nipigwe ban na nisionekane tena JF.....
Leo kaanzisha uzi alafu cutelove kawaambia wakwanza Kujibu basi wakubwa tukaelewa kinachoendelea alafu jamaa akaanzisha uzi wa kifo cha member humu tukajua kumbe alitumia ID ya Priscilla kusuka mchezo mzima
NdiooooKumbe wewe kiwembe?
Mkuu, nimecheka sana asee, hawa jamaa sio watu wazuri kabisa hadi umeshindwa kula tunda mkuu, dooh!.Huwezi amini juzi nimelala nimeenda Club nikaopoa demu, ila nilipokumbuka nyuzi za JF nimelala mpaka asubuhi ninamuangalia tu.
Na alivyotaka hela Kabla ya kubanjuana, ndipo nilipopata na kisingizio cha kulala kimyakimya.
Hatari sanaTena Topaz kabisa