Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Kwa mbali tu,,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mbali tu,,
Huwezi amini juzi nimelala nimeenda Club nikaopoa demu, ila nilipokumbuka nyuzi za JF nimelala mpaka asubuhi ninamuangalia tu.
Na alivyotaka hela Kabla ya kubanjuana, ndipo nilipopata na kisingizio cha kulala kimyakimya.
Mrembo unacheka nini??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mrembo unacheka nini??
Huwezi amini juzi nimelala nimeenda Club nikaopoa demu, ila nilipokumbuka nyuzi za JF nimelala mpaka asubuhi ninamuangalia tu.
Na alivyotaka hela Kabla ya kubanjuana, ndipo nilipopata na kisingizio cha kulala kimyakimya.
Nimeumia kweli maana mtu alikuwa mtu kwelii [emoji23][emoji23][emoji23]hahaaaaaaa kama nakuona anavyojishebedua kitandani afu wewe unakoroma unajifanya uko mbingu ya saba hahahahah
Wenyewe wanadai ni ajali tu mkuu.
AIseeeMagallah r na kundi la ID feki ndio anawapeleka kasi.... Mods wakiamua kuunganisha ID basi Magallah r, cute love, Priscilla na chizi maarifa wote watakutwa ni ID moja
HaHaaMkuu jamaa anamambo ya ajabu sana yani kwa kupitia ID ya Priscilla amewapeleka kasi wazee wa PM hawana hamu nae tena.....ila hamna mwanamke anaeweza jieleza vile sio rahisi kama tunavyodhania tena eti anajieleza kwa ID mpya...
Kuna watu wana staajabisha sana aisesio vizuri lakini kuwaweka watu katika tension. kama ni real it's ok lakini kama ni uongo ili upate attention sio poa
Eeh ehh..kumbe palikuwa hapa toshi humu ndaniMkuu mimi nakwambia ukweli hakuna kuweweseka inakuwaje matukio yako uyapange yatimie yote ndani ya siku 3 uliwaza nini.....
Kwanza ulitumia ID yako ya Priscilla, kujitambulisha wewe muathirika ulivyomaliza ukaenda kwenye ID yako ya pili ambayo ndio kongwe ya Cute love kuelezea wanaume wa humu hawapendi tumia kinga tukasema sawa.....
Ukatumia ya chizi maarifa kutisha kuwa unamjua ulietembea nae maana utamuua tukawa tunafuatilia kwa ukaribu, leo umekuja na ID yako sasa kutupa taarifa kuwa member mwenzetu amefariki...
What a coincidence matukio yote hayo yatokee karibu yako ndani ya siku 3....uwe unatumia akili ya kutulia mkuu na sio vizuri kuwashtua watu humu kuna wengine wanapresha utawaua kisa kiki za ajabu
Hah a aaUnajua mkuu tatizo linakuja pale mtu anapojua kabisa kuwa kapuyanga sana humu, alafu linapo ibuka jambo kama hili, kiroho lazima kidunde mkuu, ndo shida inapo anzia hapo.
Brother naona umewekwa huru at last [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]. Karibu mkuuKuna watu wana staajabisha sana aise
Hahaha aise 。。。ahsanteBrother naona umewekwa huru at last [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]. Karibu mkuu
Kisukari kikuanzia utakatwa kiungo kimoja kimoja hadi uishe.Huwa nasema humu kila siku, UKIMWI hata kwa Kisukari bado ni cha mtoto.
Latex uliishaitafunia mara ngapi? Ilikupa kile unachokitaka?Jf imekuwa ya moto kwelikweli wiki hii..viwembe tunaingia kwa kunyatanyata
Tusiuze mechi wakuu,,Tutumie Latex ili tulast longer