Siku ya UKIMWI duniani na taharuki kwa WanaJF

Siku ya UKIMWI duniani na taharuki kwa WanaJF

Mkuu nakuona tu unavyoweweseka
Mkuu mimi nakwambia ukweli hakuna kuweweseka inakuwaje matukio yako uyapange yatimie yote ndani ya siku 3 uliwaza nini.....

Kwanza ulitumia ID yako ya Priscilla, kujitambulisha wewe muathirika ulivyomaliza ukaenda kwenye ID yako ya pili ambayo ndio kongwe ya Cute love kuelezea wanaume wa humu hawapendi tumia kinga tukasema sawa.....

Ukatumia ya chizi maarifa kutisha kuwa unamjua ulietembea nae maana utamuua tukawa tunafuatilia kwa ukaribu, leo umekuja na ID yako sasa kutupa taarifa kuwa member mwenzetu amefariki...

What a coincidence matukio yote hayo yatokee karibu yako ndani ya siku 3....uwe unatumia akili ya kutulia mkuu na sio vizuri kuwashtua watu humu kuna wengine wanapresha utawaua kisa kiki za ajabu
 
Mkuu hii ni attention seeker cheza na magallah r,cutelove,priscilla, chizi maarifa anaingia badae hapa wote ni ID moja maana issue aliibua Priscilla sijui nkaona cute love nae analeta vimaelezo vinavyoendana mda huo Jana chizi maarifa akaanza jisemesha kuwa atayapitisha mtu sijui nini..... leo magallah amereport mtu amekufa yani kwa siku 3 tu matukio yote yametokea kwa haraka namna hii haiji kabisa
Dah! Mkuu siku chache tu lakini zimeleta balaa zito watu hawalali kabisa.
Yani zimekuwa kama kitisho Cha bomu la nuclear asee.
 
Mimi nilisoma ya kwanza tu, Nyingine nilikuwa naletewa links whattsap lakini sikuzifungua maana sikuona kama ni real sana. Ila Hii repitition ya threads inaweza leta tension ya ukweli..

Kwanza mtu ukipata attention Jf inakusaidia nini au mtu unakuwa mpweke hadi unafanya mambo ya ajabu 😰😰😰😰
Unajua mkuu tatizo linakuja pale mtu anapojua kabisa kuwa kapuyanga sana humu, alafu linapo ibuka jambo kama hili, kiroho lazima kidunde mkuu, ndo shida inapo anzia hapo.
 
Dah! Mkuu siku chache tu lakini zimeleta balaa zito watu hawalali kabisa.
Yani zimekuwa kama kitisho Cha bomu la nuclear asee.
Wazee wa PM wamechanganyikiwa ila sema tu jamaa ndo anatafuta kiki impaishe maana ID zilizopitia ile uzi wa Priscilla utashangaa nyingi za zamani sana hadi za 2007 zimekamatwa na bro magallah r[emoji23][emoji23]
 
Yule demu huenda aliwaza jogoo wangu hapandi mtungi, hizi nyuzi zimenitoa kwenye reli kabisa[emoji3][emoji3]
Hahaha pole sana mkuu, usiogope we piga tu ila umakini unatakiwa kidogo.

Ila kiukweli wamefanikiwa lengo lao ila wakati mwingine hawatupati tena asee.
 
Wazee wa PM wamechanganyikiwa ila sema tu jamaa ndo anatafuta kiki impaishe maana ID zilizopitia ile uzi wa Priscilla utashangaa nyingi za zamani sana hadi za 2007 zimekamatwa na bro magallah r[emoji23][emoji23]
Nakuelewa sana mkuu, hizi kiki za ajabu zitakuja kuua watu hizi.
 
Mkuu jamaa anataka awachanganye wazee wa PM maana wanahaha kweli yani ila mimi nakwambia Mods wakiunganisha ID sijui jamaa ataambia nini watu
[emoji23][emoji23][emoji23]shida munamfuata pm na kumtongoza,na alishatoa onyo mkiendelea mutajuta[emoji22][emoji22][emoji22],hapa ndo shida ilipoanzia,poleni sana mabingwa[emoji120][emoji120].
 
Wewe unakuja kufariji watu kuwa stori nyingi zimetungwa? Unajuaje zimetungwa? Acha kupotosha umma, watu wanaleta shuhuda zao alafu wewe unakuja na masihara yako?
 
Unajua ni ajabu sana vijana wa leo hawathamini kabisa zawadi ya afya na uhai waliyopewa na Mola.
Sioni haja ya mtu kulia kuwa umekutwa na ukimwi ikiwa ulikubali kufanya mapenzi bila kinga wakati hujui hali ya mwenzi wako.
The generation is becoming more dangerous and foolish.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]shida munamfuata pm na kumtongoza,na alishatoa onyo mkiendelea mutajuta[emoji22][emoji22][emoji22],hapa ndo shida ilipoanzia,poleni sana mabingwa[emoji120][emoji120].
Mkuu hiyo ni defensive mechanism hana lolote siaanike hapa aiseh ila ndo hawezi......kama Mimi mbona nimemchana kwenye ID zake zote nne kama nimewahi mfuata aweke hapa taarifa....
 
Unajua ni ajabu sana vijana wa leo hawathamini kabisa zawadi ya afya na uhai waliyopewa na Mola.
Sioni haja ya mtu kulia kuwa umekutwa na ukimwi ikiwa ulikubali kufanya mapenzi bila kinga wakati hujui hali ya mwenzi wako.
The generation is becoming more dangerous and foolish.
Inashangaza sana mkuu, yani starehe ya muda mfupi tu inakufanya unaweka hatarini maisha yako
 
Wewe unakuja kufariji watu kuwa stori nyingi zimetungwa? Unajuaje zimetungwa? Acha kupotosha umma, watu wanaleta shuhuda zao alafu wewe unakuja na masihara yako?
Ahsante kwa maoni yako mkuu
 
Mkuu hiyo ni defensive mechanism hana lolote siaanike hapa aiseh ila ndo hawezi......kama Mimi mbona nimemchana kwenye ID zake zote nne kama nimewahi mfuata aweke hapa taarifa....
Kumbe umeliona hilo mkuu.
 
Back
Top Bottom