Siku ya UKIMWI duniani na taharuki kwa WanaJF

Huwezi amini juzi nimelala nimeenda Club nikaopoa demu, ila nilipokumbuka nyuzi za JF nimelala mpaka asubuhi ninamuangalia tu.

Na alivyotaka hela Kabla ya kubanjuana, ndipo nilipopata na kisingizio cha kulala kimyakimya.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huwezi amini juzi nimelala nimeenda Club nikaopoa demu, ila nilipokumbuka nyuzi za JF nimelala mpaka asubuhi ninamuangalia tu.

Na alivyotaka hela Kabla ya kubanjuana, ndipo nilipopata na kisingizio cha kulala kimyakimya.

hahaaaaaaa kama nakuona anavyojishebedua kitandani afu wewe unakoroma unajifanya uko mbingu ya saba hahahahah
 
Mkuu jamaa anamambo ya ajabu sana yani kwa kupitia ID ya Priscilla amewapeleka kasi wazee wa PM hawana hamu nae tena.....ila hamna mwanamke anaeweza jieleza vile sio rahisi kama tunavyodhania tena eti anajieleza kwa ID mpya...
HaHaa
 
Eeh ehh..kumbe palikuwa hapa toshi humu ndani
 
Jf imekuwa ya moto kwelikweli wiki hii..viwembe tunaingia kwa kunyatanyata

Tusiuze mechi wakuu,,Tutumie Latex ili tulast longer
Latex uliishaitafunia mara ngapi? Ilikupa kile unachokitaka?
Au ulizicheza show zote kiigizaji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…