Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
- Thread starter
-
- #41
Mkuu mfano ikitokea inabidi ukubali hali otherwise utakufa mapema ukikubali hali unaweza ku survive longer.....Mkuu Acha maneno ya kuji fariji UKIMWI haufai mtu kuwa nao ni basi tu .
Apana kwa kwel , haiwezi tokea inabidi kichwa cha juu kifanye kazi kuliko cha chini ,bwashee.Mkuu mfano ikitokea inabidi ukubali hali otherwise utakufa mapema ukikubali hali unaweza ku survive longer.....
Umenikumbusha very touching story ya mdada flani ndugu yetu alikuaga ananipenda sana marafik na alipenda nimsindikize kwenye kaburi la mama AkeHuyu mdudu alichukua maisha ya wengi( zaidi innocent souls watoto wanawake Wanaume)
Huu ugonjwa usikie kwa jirani omba sana usiifikie nyumba yako au ukoo wako.
Sijui kwa nini Mungu aliruhusu hili !
Roho zao wengi zipumzike kwa Amani!
MUNGU atusaidie sana maana hatuzijui kesho zetu..Apana kwa kwel , haiwezi tokea inabidi kichwa cha juu kifanye kazi kuliko cha chini ,bwashee.
Ni kufungua zipu kwa uangalifu mkubwa mkuu , apo hakuna cha mungu.MUNGU atusaidie sana maana hatuzijui kesho zetu..
Sawa mkuu Kila lakheli...Ni kufungua zipu kwa uangalifu mkubwa mkuu , apo hakuna cha mungu.
☺️😊 Tahadhali muhimu sanaaaUnaonekana PISI KALI kumbe FISI KALI.
Sikuwai kua membe ila nilikua rafk wa monitor so nilikuaga Naya taifisha☺️☺️😊😊Nakumbuka FEMINA na FEMA CLUBS enzi hizo shuleni.
Hivi wewe ushawai kuona mgonjwa alielazwa akiwa na UKIMWI?? Hivi unapata wapi hizo guts??Ukimwi hautishi, wafanyabiashara wakubwa duniani inawezekana wamepandikiza hiyo hali ya kutisha, nafahamu watu wanaishi na hivi virusi kwa miaka mingi, hakuna tishio lolote. Ni tatizo la saikolojia zaidi kuliko uhalisia. Na Sababu kubwa ya kuogopwa kuliko corona ni umri wake na nguvu iliyotumika kutengeneza hofu ili kuuza condom na biashara ya Arv.
Kansa ndo inawezekana kuwa ni ugonjwa tishio zaidi lakini huambiwi sababu utaacha kutumia vyakula vya viwandani na biashara itapotea. Kila kitu kwenye hii dunia ni biashara.
Narudia, naamini UKIMWI SI TISHIO ni ugonjwa ulioanzishwa kibiashara zaidi na sasa unaoelekea tamati, sidhani kama kuna miaka 20-30 mbele bila kuutokomeza. NAKUBALIANA NA WW KUHUSU NGONO, NI KINYUME CHA MAPENZI YA MUNGU.
Mwenye masikio na asikieHivi wewe ushawai kuona mgonjwa alielazwa akiwa na UKIMWI?? Hivi unaoata wapi hizo guts??
Siku ukiuoata utarudi kuf7ta hii comment
Tumia condoms, kunywa dawa ohooo