Siku ya UKIMWI Duniani: Ushuhuda wangu

Siku ya UKIMWI Duniani: Ushuhuda wangu

Huyu mdudu alichukua maisha ya wengi( zaidi innocent souls watoto wanawake Wanaume)
Huu ugonjwa usikie kwa jirani omba sana usiifikie nyumba yako au ukoo wako.

Sijui kwa nini Mungu aliruhusu hili !

Roho zao wengi zipumzike kwa Amani!
Umenikumbusha very touching story ya mdada flani ndugu yetu alikuaga ananipenda sana marafik na alipenda nimsindikize kwenye kaburi la mama Ake
Nilikuja kujua baadae alipo farik kua alikua anaishi na mdudu mwenyez Mungu ampe pumziko la milele ndugu yangu
 
Ukimwi hautishi, wafanyabiashara wakubwa duniani inawezekana wamepandikiza hiyo hali ya kutisha, nafahamu watu wanaishi na hivi virusi kwa miaka mingi, hakuna tishio lolote. Ni tatizo la saikolojia zaidi kuliko uhalisia. Na Sababu kubwa ya kuogopwa kuliko corona ni umri wake na nguvu iliyotumika kutengeneza hofu ili kuuza condom na biashara ya Arv.

Kansa ndo inawezekana kuwa ni ugonjwa tishio zaidi lakini huambiwi sababu utaacha kutumia vyakula vya viwandani na biashara itapotea. Kila kitu kwenye hii dunia ni biashara.

Narudia, naamini UKIMWI SI TISHIO ni ugonjwa ulioanzishwa kibiashara zaidi na sasa unaoelekea tamati, sidhani kama kuna miaka 20-30 mbele bila kuutokomeza. NAKUBALIANA NA WW KUHUSU NGONO, NI KINYUME CHA MAPENZI YA MUNGU.
Hivi wewe ushawai kuona mgonjwa alielazwa akiwa na UKIMWI?? Hivi unapata wapi hizo guts??

Siku ukiuopata utarudi kuf7ta hii comment

Tumia condoms, kunywa dawa ohooo
 
Hivi wewe ushawai kuona mgonjwa alielazwa akiwa na UKIMWI?? Hivi unaoata wapi hizo guts??

Siku ukiuoata utarudi kuf7ta hii comment

Tumia condoms, kunywa dawa ohooo
Mwenye masikio na asikie
 
Screenshot_20241201-080404.png

Maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani mwaka 2024 yamebebwa na kauli mbiu isemayo “Chagua Njia Tokomeza Ukimwi”.
 
Maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani mwaka 2024 yamebebwa na kauli mbiu isemayo “Chagua Njia Tokomeza Ukimwi”.
 
Back
Top Bottom