Siku ya Wanawake Duniani isitumike kutengua maandiko ya vitabu vitakatifu

Siku ya Wanawake Duniani isitumike kutengua maandiko ya vitabu vitakatifu

Basi siku zote ujuwe Mwanaume atabaki kua kichwa Cha Nyumba hata Kama haendi sokoni!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kichwa cha nyumba kwenye familia yako siyo kwenye jamii au uongozi tena mkeo ndio uliyeambiwa utamtawala ukija kwenye jamii ukikuta mwanamke yuko juu yako unanyenyekea kwa supervisor wako.
 
Kichwa cha nyumba kwenye familia yako siyo kwenye jamii au uongozi tena mkeo ndio uliyeambiwa utamtawala ukija kwenye jamii ukikuta mwanamke yuko juu yako unanyenyekea kwa supervisor wako.
Naona unachanganya Madesa, Office na Nyumba wapi na wapi!?

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Purpose yako wewe si kuzaa na kulea watoto na mmeo hapa duniani. Kaa pembeni waache wenzako wapambane kusaidia ulimwengu kma wanaume wanavyofanya. Wewe nenda kapike uache wenzako wapambanie haki zao.

Yaani nyie watu huwa mnanifurahisha sana. Mnapenda kukimbilia kusema mabeberu wanaleta haya mambo kutucontrol na kutogombanisha na ku cite vitabu vya dini ambavyo mabeberu hao hao ndio waliwaletea enzi za ukoloni. Very stupid.

Mm namsupport mama yangu mzazi. Anapiga zote zote. Analea familia yake kifasaha kwa kutafuta hela na kutunza watoto wake inavyostahili.

Wewe kma unatetereka kwa kuona wanawake wanapambania nafasi sawa na wanaume basi jitafakari. Msipende kujiona Mungu mbele ya wake zenu
 
Kuna hii kitu yetu inaitwa siku ya wanawake, kuna hii kitu inaitwa super woman na kuna hii kitu tumeanzisha inasema mwanamke ni kichwa cha familia.

Wanawake kuna sehemu tumetumbukizwa shimoni na wapigania haki za wanawake na bila kujijua tumejaa viburi na sasa tunajitokeza hadharani kudai sisi kwa asilimia kubwa ndio tunalisha familia.

Wanawake wengi wenye mentality kwamba wanalisha familia ndoa zao zimeyumba na watoto wapo taabani kimalezi kwa sababu tu walezi wamepishana.

Dini zipo na zinaeleza vyema lipi jukumu la mwanamke ila kwa kasi tuliyonayo imetufanya twende kinyume kabisa na maandiko, tukipata nguvu kidogo tu ya uteuzi au kupata kamtaji kwetu tayari ni agenda yakuwaumiza wanaume. Wanaume wakituchoka wakaondoka hapo ndipo tunajua sisi kamwe hatuwezi kuwa kichwa cha familia.

Tukubali tukatae tunapaswa kuishi na wanaume kama vichwa vya familia na sisi ni mkia. Tukijitutumua na hadithi za super woman tutaishia kutumiwa na makundi ya wanaume huku tukiwa tunakwama kwenye malezi. Tuwaheshimu waume zetu regardless ya vyeo vyetu na madaraka au fedha zetu.

I'm not thinking of superwoman rather gifted woman.
Shetani ni mwehu sana, ktk siku 360 mwanamke kakubali yake ni siku moja anyway wacha nieshimu mamuzi yao kwani mawazo ya mwanamke mabaya tangu bustani ya Eden
 
Kuna hii kitu yetu inaitwa siku ya wanawake, kuna hii kitu inaitwa super woman na kuna hii kitu tumeanzisha inasema mwanamke ni kichwa cha familia.

Wanawake kuna sehemu tumetumbukizwa shimoni na wapigania haki za wanawake na bila kujijua tumejaa viburi na sasa tunajitokeza hadharani kudai sisi kwa asilimia kubwa ndio tunalisha familia.

Wanawake wengi wenye mentality kwamba wanalisha familia ndoa zao zimeyumba na watoto wapo taabani kimalezi kwa sababu tu walezi wamepishana.

Dini zipo na zinaeleza vyema lipi jukumu la mwanamke ila kwa kasi tuliyonayo imetufanya twende kinyume kabisa na maandiko, tukipata nguvu kidogo tu ya uteuzi au kupata kamtaji kwetu tayari ni agenda yakuwaumiza wanaume. Wanaume wakituchoka wakaondoka hapo ndipo tunajua sisi kamwe hatuwezi kuwa kichwa cha familia.

Tukubali tukatae tunapaswa kuishi na wanaume kama vichwa vya familia na sisi ni mkia. Tukijitutumua na hadithi za super woman tutaishia kutumiwa na makundi ya wanaume huku tukiwa tunakwama kwenye malezi. Tuwaheshimu waume zetu regardless ya vyeo vyetu na madaraka au fedha zetu.

I'm not thinking of superwoman rather gifted woman.
Yaani wanaume wahakikishe wake zao hawawazidi kwa kipato. Yaani usiwadanganye.
 
Tatizo hawa wanawake wa 50/50 wana define vibaya superwoman. Kwetu sisi wanaume tunaojitambua superwoman ni mwanamke ambaye ni mama bora kwa wanawe,pia ni mke bora kwa mkewe hata jamii inamtegemea kama mfano kimaadili,sio hawa wanaodhanikuvaa suruari ndo usupewoman
 
Back
Top Bottom