Kichwa cha nyumba kwenye familia yako siyo kwenye jamii au uongozi tena mkeo ndio uliyeambiwa utamtawala ukija kwenye jamii ukikuta mwanamke yuko juu yako unanyenyekea kwa supervisor wako.Basi siku zote ujuwe Mwanaume atabaki kua kichwa Cha Nyumba hata Kama haendi sokoni!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Naona unachanganya Madesa, Office na Nyumba wapi na wapi!?Kichwa cha nyumba kwenye familia yako siyo kwenye jamii au uongozi tena mkeo ndio uliyeambiwa utamtawala ukija kwenye jamii ukikuta mwanamke yuko juu yako unanyenyekea kwa supervisor wako.
Wakandamizaji wa wanawake na watetezi wao , hamna pakutokea mwaka huu, tutamisaka kila eneoKazi yangu nimemaliza. Naona umeelewa vizuri nilichokiandika.
Ukiwa na hoja nistue.
Na wewe ni katika wao (Mwanamke?Wakandamizaji wa wanawake na watetezi wao , hamna pakutokea mwaka huu, tutamisaka kila eneo
Shetani ni mwehu sana, ktk siku 360 mwanamke kakubali yake ni siku moja anyway wacha nieshimu mamuzi yao kwani mawazo ya mwanamke mabaya tangu bustani ya EdenKuna hii kitu yetu inaitwa siku ya wanawake, kuna hii kitu inaitwa super woman na kuna hii kitu tumeanzisha inasema mwanamke ni kichwa cha familia.
Wanawake kuna sehemu tumetumbukizwa shimoni na wapigania haki za wanawake na bila kujijua tumejaa viburi na sasa tunajitokeza hadharani kudai sisi kwa asilimia kubwa ndio tunalisha familia.
Wanawake wengi wenye mentality kwamba wanalisha familia ndoa zao zimeyumba na watoto wapo taabani kimalezi kwa sababu tu walezi wamepishana.
Dini zipo na zinaeleza vyema lipi jukumu la mwanamke ila kwa kasi tuliyonayo imetufanya twende kinyume kabisa na maandiko, tukipata nguvu kidogo tu ya uteuzi au kupata kamtaji kwetu tayari ni agenda yakuwaumiza wanaume. Wanaume wakituchoka wakaondoka hapo ndipo tunajua sisi kamwe hatuwezi kuwa kichwa cha familia.
Tukubali tukatae tunapaswa kuishi na wanaume kama vichwa vya familia na sisi ni mkia. Tukijitutumua na hadithi za super woman tutaishia kutumiwa na makundi ya wanaume huku tukiwa tunakwama kwenye malezi. Tuwaheshimu waume zetu regardless ya vyeo vyetu na madaraka au fedha zetu.
I'm not thinking of superwoman rather gifted woman.
Yaani wanaume wahakikishe wake zao hawawazidi kwa kipato. Yaani usiwadanganye.Kuna hii kitu yetu inaitwa siku ya wanawake, kuna hii kitu inaitwa super woman na kuna hii kitu tumeanzisha inasema mwanamke ni kichwa cha familia.
Wanawake kuna sehemu tumetumbukizwa shimoni na wapigania haki za wanawake na bila kujijua tumejaa viburi na sasa tunajitokeza hadharani kudai sisi kwa asilimia kubwa ndio tunalisha familia.
Wanawake wengi wenye mentality kwamba wanalisha familia ndoa zao zimeyumba na watoto wapo taabani kimalezi kwa sababu tu walezi wamepishana.
Dini zipo na zinaeleza vyema lipi jukumu la mwanamke ila kwa kasi tuliyonayo imetufanya twende kinyume kabisa na maandiko, tukipata nguvu kidogo tu ya uteuzi au kupata kamtaji kwetu tayari ni agenda yakuwaumiza wanaume. Wanaume wakituchoka wakaondoka hapo ndipo tunajua sisi kamwe hatuwezi kuwa kichwa cha familia.
Tukubali tukatae tunapaswa kuishi na wanaume kama vichwa vya familia na sisi ni mkia. Tukijitutumua na hadithi za super woman tutaishia kutumiwa na makundi ya wanaume huku tukiwa tunakwama kwenye malezi. Tuwaheshimu waume zetu regardless ya vyeo vyetu na madaraka au fedha zetu.
I'm not thinking of superwoman rather gifted woman.