Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?

Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?

Pasco leo ni siku ya wanawake...yani kinamama. Ni sawa wamejitahidi sana kwenye sekta mbalimbali japo kuna Wanawake wako kwenye sekta za uchumi, biashara na maofisi mbalimbali kimaamuzi.

Thread yako imewahi sana kwa kuwa kama Taifa,tuna historia yetu ya kiutamaduni.Kwa post ya Uraisi hakika kunaitajika miaka 25 ijayo mbele nikimaanisha binti yangu mwenye umri wa miaka mitano sasa ambae kwa sasa kizazi changu ndicho kinaanza kuwaanda kutambua mfumo shirikiano kati ya mwanaume na mwanamke ukizinangatia kwenye uwezo wa mtu na si jinsia ya mtu.

Utamaduni wa kizazi ongozi cha Tanzania wa sasa ni kile cha mfumo DUME....ndio maana unasema mama Makinda alibebwa...na ni kweli na kama si HAIBA [PERSONALITY] ya Rais JK ya ukaribu wake na kina Mama ambao umemjenga kuwaona kuwa nao wanastahiki [Huku kwetu wanatafsiri yao-ambayo ndiyo hiyo tunaweza kusema mfumo dume] kuwa viongozi.

Hivyo mindset za wanawake wenyewe bado ni zile zile za kuona Mwanaume ndio kila kitu, japo wako wachache sana ambao wameanza kuwa na mwamko wakutambua kuwa wanaweza kufanya mashirikiano na jinsia nyingine pasipo kuona kwa jicho la tegemezi.

Leo hii unaona kwenye magazeti yenye vichwa vya habari MSICHANA AONGOZA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE, SITA AMA CHUO..Sasa kama news room kuna mindset za hivyo tegemea nini?

Bado sana sana hata mimi nakubali bado sana!!!!Siku Mwanamke akitoka na Mume wake, au Boyfriend na kushop kwa pesa yake binafsi pasipo manunguniko, wala hisia zozote za kubeba jukumu lisilo lake, wala kuibuka pia na hisia kuwa aliyepaswa kufanyiwa hiyo shopping ni yeye na si mwanaume basi ndipo hiyo HIGH POST watastahiki.[Kwa point hii simaanishi Vidumu, na Vingasti au Kina Mama Benzi, namaanisha well matured grown up, understood and developed in mind and spiritual].
 
Wanabodi,

Leo ni Siku ya Wanawake Duniani, katika safari ya kuelekea usawa wa kijinsia, kuna wanawake wengi wenye sifa na uwezo, lakini wamenyimwa fursa za kushika nafasi za juu kisiasa kutokana na nyingi ya nafasi hizo, kuhodhiwa na wanaume, katika kitu kinachoitwa "mfumo dume!".

Swali ni jee, nafasi hizo za juu kisiasa zimeshikwa na wanaume kwa sababu hatuna wanawake wenye sifa, au zimeenelea kushikwa na wanaume kwa sababu ya mfumo dume tuu, nikimaanisha wanawake wenye sifa wapo, lakini hawajateuliwa kushika nafasi hizo?.

Kufuatia kilio cha muda mrefu cha wanawake kunyimwa fursa, jee ni kweli tunao wanawake wenye sifa na uwezo wa kutupeleka kwenye 50/50?. hebu na tuanzie na wanawake wenye sifa za urais, jee tunao?!.

Hebu tuwakumbuke the top ten female politicians in Tanzania, na nafasi wanazoshika!, jee wamefikaje hapo, kwa kupanda wenyewe, au wamebebwa ndipo wakafika hapo?!, jee wana sifa za urais?!.

  1. Mhe. Anna Makinda-Spika wa Bunge la Tanzania- ameupata usipika kwa kubebwa na mbeleko ya jinsia, ukimlinganisha na spika Sitta aliyemtangulia, Mama Makinda anaonekana amepwaya!. Likija suala la Urais, Mama Makinda anauweza sana urais, kwa sababu ni mtu mwenye msimamo usioyumba!. Maamuzi ya kirais hayahitaji mjadala kama maamuzi ya bunge, hivyo Mama Makinda ni predidential material!.
  2. Dr. Asha Rose Migiro- Ni mwanamke wa kwanza kushika nafasi ya Deputy SG wa Umoja wa Mataifa akimsaidia Ban Ki Moon, kwa sasa ni mjumbe wa CC ya CCM, na waziri wa sheria wa Tanzania. Amefika kote alikofika kwa deserving, tukija kwenye u predidential material, she is presidential material, anachotakiwa kufanya sio kusubiri Chama ndio kimpush, anatakiwa kuonyesha nia na kujitokeza, sio lazima kutangaza kuwa anautaka urais, ili asije kuingia vitani na wasaka urais, bali kujitokeza hadharani kusema yeye ni presidential material, ana sifa na uwezo, wakati wa kutangaza ukifika, atafikia maamuzi au atangaze kujitupa kwenye kinyanganyiro au laa!, na sio kukaa kimya kuisubiria mbeleko ya CCM kubebea watu kwa utaratibu ule wa "sasa ni zamu ya mwanamke!".
  3. tuendelee kuwataja wengine..
Natoa pongezi kwa wanawake hawa, na kufuatia wengi kupata nafasi hizo kwa upendeleo uwe ni wa mbeleko ya viti maalum, au affirmative action jinsia, koto huko ni kubwebwa!. Ule msemo wa wanawake wakiwezeshwa wanaweza, nao ni mbeleko tuu!, hivyo kuelekea October, 2015, ili wanawake waonyeshe uwezo wanaweza, sasa ni wakati wa hao wanawake wenye uwezo, wajitokeze hadharani kuanzia kwenye kugombea nafasi ya urais!, bado sijamsikia mwanamke yoyote akijitaja anaweza!, na atajitokeza, ukiachilia hawa wanaotajwa tajwa tuu, huku wenyewe wamejificha jikoni!.

Natoa wito kwa wanawake, kama ni kweli mna uwezo, jitokezeni kwenye urais, ili hata msiposimamishwa, angalau 2015, tuwe na makamo rais mwanamke, na Waziri Mkuu Mwanamke!.

Pasco.
Uspika amepwaya coz wote tumemuona,sasa uraisi anauwezaje?coz hatujamuona akiitumikia hiyo nafasi,lakini pia misimamo ipi isyoyumba bro Pasco hebu niorodheshee na watanzania wenzangu waisome hapa kisha tuipime.
Makinda kwa mara kadhaa ameonekana akitetereka sana kutekeleza kanuni za Bunge.
Tuje kwa Mzee Sitta,huyu mzee tumeona alivyolishughulikia suala la Richmond kimang'amung'amu tu,na kuridhia baadh ya maelezo yasitolewe na Mwakyembe (Kama alivyosema kuwa kuna mambo hakuyasema) ila pia Sitta anapoteza sifa kwa namna alivyoliongoza BMK hapo ndo anaonekana Makinder ana afadhali,na mwishowe anakuja kuridhia "Mzee wa Makengeza"kupewa nafas ya kuandaa katiba pendwa.Bado Makinder hajanishawishi kuwa rais wangu.
Case Study Bunge la Tanzania
 
Last edited by a moderator:
Mfumo dume hauko kwenye kutoa fursa, mfumo dume upo kwenye vichwa.

Wanawake tunaweza sana tena kuliko wanaume nakila siku zinaposonga mbele tunauhakika kuwa tutasambaratisha mfumo uliopo, si kwa kupewa au kuhongwa bali kwa uwezo wetu.

Tatizo kubwa lipo kwetu wenyewe zaidi kuliko kwa wanaume. Wengi wetu tumekuwa "brainwashed" kuanzia malezi, makuzi, mashule, vyuo, makazini, majumbani kuwa mwanamke ni wa kupewa tu. Tumeshindwa kujinasuwa, Imefikia hatua sisi sasa tunahonga hata miili yetu ili kufanikisha mambo yetu, na hilo ndiyo kosa kubwa zaidi ya yote.

Wanawake wachache sana wameliona hilo na wameweza kujitoa huko na kubadilisha kabisa maisha ya mfumo wao.

Nnaamini, kwanza kabisa ni kupiga vita ya "gender harassment" katika mfumo mzima wa kimaisha ndipo tutafanikiwa.

Leo hii, mwanamke akijenga nyumba nzuri inakuwa "kajengewa", mwanamke akiwa na gari zuri inakuwa "kahongwa", akiwa na cheo au nyadhifa nzuri inakuwa "ana kigogo", akiwa na biashara nzuri "mumewe au bwanake nani?",

Mawazo duni kama hayo ndiyo yanafunga akili za watu kuwa mwanamke hawezi bila "kuhongwa" na imefikia mpaka wengi pia wanaamini hivyo.

Hali hiyo imefikia kuingia katika akili zetu mpaka wengi wetu hawaamini kuwa tunaweza bila "kuhongwa" au "kuhonga".

Mimi nnaamini tunaweza kuwatumikisha wanaume kama ma "manager" zetu na wasifurukute zaidi ya kuchukuwa amri na kuwa wakututumikia daima, tujiamini tu.

Uwezo tunao, nyenzo tunazo.

Uwezo aliotupa Mwenyeezi Mungu ni mkubwa kwa mara nyingi zaidi ya wanaume, tumependelewa sana tu. Iliyobaki ni wengi wetu kufunguka na kujuwa kuutumia uwezo wetu.

We are The Queens and so we shall remain.
 
Nilimsikia Hon Sitta akisema dakika za mwisho ikaamuliwa safari hii Spika awe Mwanamke ikawa hamna jinsi maana hawezi kujigeuza na kuwa m mama.MKUBALI AU MSIKUBALI HAKUNA MWANAMAMA WA KITANZANIA ANAWEZA KUWA MH.RAIS.siyo kama nawadharau bali hali halisi ya nchi yetu inawafanya wasiweze.Kitaalam tu angalia waziri wa fedha anvyofanya madudu.
 
Mfumo dume hauko kwenye kutoa fursa, mfumo dume upo kwenye vichwa.

Wanawake tunaweza sana tena kuliko wanaume nakila siku zinaposonga mbele tunauhakika kuwa tutasambaratisha mfumo uliopo, si kwa kupewa au kuhongwa bali kwa uwezo wetu.

Tatizo kubwa lipo kwetu wenyewe zaidi kuliko kwa wanaume. Wengi wetu tumekuwa "brainwashed" kuanzia malezi, makuzi, mashule, vyuo, makazini, majumbani kuwa mwanamke ni wa kupewa tu. Tumeshindwa kujinasuwa, Imefikia hatua sisi sasa tunahonga hata miili yetu ili kufanikisha mambo yetu, na hilo ndiyo kosa kubwa zaidi ya yote.

Wanawake wachache sana wameliona hilo na wameweza kujitoa huko na kubadilisha kabisa maisha ya mfumo wao.

Nnaamini, kwanza kabisa ni kupiga vita ya "gender harassment" katika mfumo mzima wa kimaisha ndipo tutafanikiwa.

Leo hii, mwanamke akijenga nyumba nzuri inakuwa "kajengewa", mwanamke akiwa na gari zuri inakuwa "kahongwa", akiwa na cheo au nyadhifa nzuri inakuwa "ana kigogo", akiwa na biashara nzuri "mumewe au bwanake nani?",

Mawazo duni kama hayo ndiyo yanafunga akili za watu kuwa mwanamke hawezi bila "kuhongwa" na imefikia mpaka wengi pia wanaamini hivyo.

Hali hiyo imefikia kuingia katika akili zetu mpaka wengi wetu hawaamini kuwa tunaweza bila "kuhongwa" au "kuhonga".

Mimi nnaamini tunaweza kuwatumikisha wanaume kama ma "manager"zetu na wasifirukute zaidi ya kuchukuwa amri na kuwa wakututumikia daima, tujiamini tu.

Uwezo tunao, nyenzo tunazo.

Uwezo aliotupa Mwenyeezi Mungu ni mkubwa kwa mara nyingi zaidi ya wanaume, tumependelewa sana tu. Iliyobaki ni wengi wetu kufunguka na kujuwa kuutumia uwezo wetu.

We are The Queens an so we shall remain.

Tutajie basi nani hao wanaohodhi hizo sifa..ambao sisi watanzania tumwamini.
 
Nilimsikia Hon Sitta akisema dakika za mwisho ikaamuliwa safari hii Spika awe Mwanamke ikawa hamna jinsi maana hawezi kujigeuza na kuwa m mama.MKUBALI AU MSIKUBALI HAKUNA MWANAMAMA WA KITANZANIA ANAWEZA KUWA MH.RAIS.siyo kama nawadharau bali hali halisi ya nchi yetu inawafanya wasiweze.Kitaalam tu angalia waziri wa fedha anvyofanya madudu.

Kauli ile ya mzee Sitta iliniacha mbavu sina. Kwamba kulitokea sharti la mtu kuwa mwanamke, akasema katika mazingira hayo alishindwa kwani ni Mungu pekee angeweza sharti lile!
 
Kauli ile ya mzee Sitta iliniacha mbavu sina. Kwamba kulitokea sharti la mtu kuwa mwanamke, akasema katika mazingira hayo alishindwa kwani ni Mungu pekee angeweza sharti lile!

Mambo yanabadilika..watawala someni alama za nyakati....hebu ona jinsi watu walivyokuwa na kumbukumbu tofauti kabisa na siku za nyuma.
 
Wanabodi,

Leo ni Siku ya Wanawake Duniani, katika safari ya kuelekea usawa wa kijinsia, kuna wanawake wengi wenye sifa na uwezo, lakini wamenyimwa fursa za kushika nafasi za juu kisiasa kutokana na nyingi ya nafasi hizo, kuhodhiwa na wanaume, katika kitu kinachoitwa "mfumo dume!".

Swali ni jee, nafasi hizo za juu kisiasa zimeshikwa na wanaume kwa sababu hatuna wanawake wenye sifa, au zimeenelea kushikwa na wanaume kwa sababu ya mfumo dume tuu, nikimaanisha wanawake wenye sifa wapo, lakini hawajateuliwa kushika nafasi hizo?.

Kufuatia kilio cha muda mrefu cha wanawake kunyimwa fursa, jee ni kweli tunao wanawake wenye sifa na uwezo wa kutupeleka kwenye 50/50?. hebu na tuanzie na wanawake wenye sifa za urais, jee tunao?!.

Hebu tuwakumbuke the top ten female politicians in Tanzania, na nafasi wanazoshika!, jee wamefikaje hapo, kwa kupanda wenyewe, au wamebebwa ndipo wakafika hapo?!, jee wana sifa za urais?!.

  1. Mhe. Anna Makinda-Spika wa Bunge la Tanzania- ameupata usipika kwa kubebwa na mbeleko ya jinsia, ukimlinganisha na spika Sitta aliyemtangulia, Mama Makinda anaonekana amepwaya!. Likija suala la Urais, Mama Makinda anauweza sana urais, kwa sababu ni mtu mwenye msimamo usioyumba!. Maamuzi ya kirais hayahitaji mjadala kama maamuzi ya bunge, hivyo Mama Makinda ni predidential material!.
  2. Dr. Asha Rose Migiro- Ni mwanamke wa kwanza kushika nafasi ya Deputy SG wa Umoja wa Mataifa akimsaidia Ban Ki Moon, kwa sasa ni mjumbe wa CC ya CCM, na waziri wa sheria wa Tanzania. Amefika kote alikofika kwa deserving, tukija kwenye u predidential material, she is presidential material, anachotakiwa kufanya sio kusubiri Chama ndio kimpush, anatakiwa kuonyesha nia na kujitokeza, sio lazima kutangaza kuwa anautaka urais, ili asije kuingia vitani na wasaka urais, bali kujitokeza hadharani kusema yeye ni presidential material, ana sifa na uwezo, wakati wa kutangaza ukifika, atafikia maamuzi au atangaze kujitupa kwenye kinyanganyiro au laa!, na sio kukaa kimya kuisubiria mbeleko ya CCM kubebea watu kwa utaratibu ule wa "sasa ni zamu ya mwanamke!".
  3. tuendelee kuwataja wengine..
Natoa pongezi kwa wanawake hawa, na kufuatia wengi kupata nafasi hizo kwa upendeleo uwe ni wa mbeleko ya viti maalum, au affirmative action jinsia, koto huko ni kubwebwa!. Ule msemo wa wanawake wakiwezeshwa wanaweza, nao ni mbeleko tuu!, hivyo kuelekea October, 2015, ili wanawake waonyeshe uwezo wanaweza, sasa ni wakati wa hao wanawake wenye uwezo, wajitokeze hadharani kuanzia kwenye kugombea nafasi ya urais!, bado sijamsikia mwanamke yoyote akijitaja anaweza!, na atajitokeza, ukiachilia hawa wanaotajwa tajwa tuu, huku wenyewe wamejificha jikoni!.

Natoa wito kwa wanawake, kama ni kweli mna uwezo, jitokezeni kwenye urais, ili hata msiposimamishwa, angalau 2015, tuwe na makamo rais mwanamke, na Waziri Mkuu Mwanamke!.

Pasco.
Baada ya wanawake wawili kuingia kwenye top 3 ya CCM, hii inamaanisha probability ya Tanzania kupata rais mwanamke ni 2/3 ambayo ni very high kuwahi kutokea tangu Tanzania imepata uhuru!.

Hongera sana, Dr. Asha Rose Migiro, hongera sana Balozi Amina Salum Ali, mmeonyesha uwezo!.

Pasco
 
Leo ndio siku yao, JK aliteau ma CEO wengi wa public corporations,
JPM alipoingia, wanawake hawa walikuwa zaidi ya 10
  1. Jacline Mnenei Maleko-Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade
  2. Irene Isaka-Mkurugenzi Mkuu wa SSRA
  3. Dr Marina Njelekela-Mkurugenzi Mkuu, Muhimbili
  4. Dr. Mwele Malechela-Mkurugenzi Mkuu wa Nimri
  5. Dr Akwilina Kayumba - CEO wa OSHA.
  6. Dr. Agnes Kijazi- Mkurugenzi Mkuu, Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA)
  7. Dr. Albina Chuwa-Mkurugenzi Mkuu-Takwimu.
  8. Eng.Marcelin Magessa- CEO- TEMESA
  9. Juliet Kairuki-Mkurugenzi Mkuu-TIC
  10. Magret Chacha, Mkurugenzi wa Benki ya Wanawake, TWB.
    endelea kuwataja wanawake ambao ni wakurugenzi wakuu wa taasisi kubwa
Baada ya JPM kuingia, wamepururaka sana na wengine bila hata sababu za kueleweka!. Kati ya hao 10, waliobaki sasa ni 2!. Kijazi na Chuwa.
Kwa mwendo huu, jee Tanzania tutafikia hiyo 50/50?.

Nawatakia wanawake wote, heri ya Siku ya Wanawake Duniani!.
P
 
Baada ya JPM kuingia, wamepururaka sana na wengine bila hata sababu za kueleweka!. Kati ya hao 10, waliobaki sasa ni 2!. Kijazi na Chuwa.
Kwa mwendo huu, jee Tanzania tutafikia hiyo 50/50?.

Nawatakia wanawake wote, heri ya Siku ya Wanawake Duniani!.
Tutafika tu mkuu! hii awamu ikipita huenda ikaja awamu ambayo itaweka mazingira mazuri kufanikisha hili hivyo haina haja ya wanawake kupoteza matumaini.
 
Inawezekana performance na target viliwaangusha wakatupwa nje ya ulingo. Kwa kweli wanawake mnatuangusha kidogo inabidi muwe makauzu. Taasisi kama OSHA ilihitajika isikike sana na ingekusanya fedha zaidi lakini naona tatizo lianaanzia top bottom approach. Mama naona analala sana wa OSHa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Leo ni Siku ya Wanawake Duniani, katika safari ya kuelekea usawa wa kijinsia, kuna wanawake wengi wenye sifa na uwezo, lakini wamenyimwa fursa za kushika nafasi za juu kisiasa kutokana na nyingi ya nafasi hizo, kuhodhiwa na wanaume, katika kitu kinachoitwa "mfumo dume!".

Swali ni jee, nafasi hizo za juu kisiasa zimeshikwa na wanaume kwa sababu hatuna wanawake wenye sifa, au zimeenelea kushikwa na wanaume kwa sababu ya mfumo dume tuu, nikimaanisha wanawake wenye sifa wapo, lakini hawajateuliwa kushika nafasi hizo?.

Kufuatia kilio cha muda mrefu cha wanawake kunyimwa fursa, jee ni kweli tunao wanawake wenye sifa na uwezo wa kutupeleka kwenye 50/50?. hebu na tuanzie na wanawake wenye sifa za urais, jee tunao?!.

Hebu tuwakumbuke the top ten female politicians in Tanzania, na nafasi wanazoshika!, jee wamefikaje hapo, kwa kupanda wenyewe, au wamebebwa ndipo wakafika hapo?!, jee wana sifa za urais?!.

  1. Mhe. Anna Makinda-Spika wa Bunge la Tanzania- ameupata usipika kwa kubebwa na mbeleko ya jinsia, ukimlinganisha na spika Sitta aliyemtangulia, Mama Makinda anaonekana amepwaya!. Likija suala la Urais, Mama Makinda anauweza sana urais, kwa sababu ni mtu mwenye msimamo usioyumba!. Maamuzi ya kirais hayahitaji mjadala kama maamuzi ya bunge, hivyo Mama Makinda ni predidential material!.
  2. Dr. Asha Rose Migiro- Ni mwanamke wa kwanza kushika nafasi ya Deputy SG wa Umoja wa Mataifa akimsaidia Ban Ki Moon, kwa sasa ni mjumbe wa CC ya CCM, na waziri wa sheria wa Tanzania. Amefika kote alikofika kwa deserving, tukija kwenye u predidential material, she is presidential material, anachotakiwa kufanya sio kusubiri Chama ndio kimpush, anatakiwa kuonyesha nia na kujitokeza, sio lazima kutangaza kuwa anautaka urais, ili asije kuingia vitani na wasaka urais, bali kujitokeza hadharani kusema yeye ni presidential material, ana sifa na uwezo, wakati wa kutangaza ukifika, atafikia maamuzi au atangaze kujitupa kwenye kinyanganyiro au laa!, na sio kukaa kimya kuisubiria mbeleko ya CCM kubebea watu kwa utaratibu ule wa "sasa ni zamu ya mwanamke!".
  3. tuendelee kuwataja wengine..
Natoa pongezi kwa wanawake hawa, na kufuatia wengi kupata nafasi hizo kwa upendeleo uwe ni wa mbeleko ya viti maalum, au affirmative action jinsia, koto huko ni kubwebwa!. Ule msemo wa wanawake wakiwezeshwa wanaweza, nao ni mbeleko tuu!, hivyo kuelekea October, 2015, ili wanawake waonyeshe uwezo wanaweza, sasa ni wakati wa hao wanawake wenye uwezo, wajitokeze hadharani kuanzia kwenye kugombea nafasi ya urais!, bado sijamsikia mwanamke yoyote akijitaja anaweza!, na atajitokeza, ukiachilia hawa wanaotajwa tajwa tuu, huku wenyewe wamejificha jikoni!.

Natoa wito kwa wanawake, kama ni kweli mna uwezo, jitokezeni kwenye urais, ili hata msiposimamishwa, angalau 2015, tuwe na makamo rais mwanamke, na Waziri Mkuu Mwanamke!.

Paskali.
Mkuu huoni kuwa unapaswa ku-update hii thread yako kwa kuzingatia nyakati hizi?
 
kwa tanzania kuongozwa na mwanamke bado sana jamii hapo inaogopa sio wanaume tu hata wanawake ukiwauliza mwanamke awe rais watakwambia hapana bado jamii haijapevuka vya kutosha kumpa mwanamke nafasi kubwa ya nchi kama rais.
anagalia dini zetu hizi je zinampa mwanamke nafasi sawa na mwaname jibu hapana,angalia makabira yetu bado sana kumpa mwanamke nasafi sawa na mwanamme
Mkuu jme , vipi sasa?.
P
 
Back
Top Bottom