Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?

Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?

Pasco hao wanawake uliowataja kwa nafasi ya urais hawatoshi, labda kama tunataka kuandika historia kuwa Tanzania imewahi kuwa na rais mwanamke hapo sawa. Hii nchi ilivyo kwa sasa hao wanawake watapelekeshwa na mafisadi hadi utawaonea huruma na wao watabaki kulalamika tu
Mkuu wakumwamasaga, that was then, vipi sasa?.
P
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Pasco leo ni siku ya wanawake...yani kinamama. Ni sawa wamejitahidi sana kwenye sekta mbalimbali japo kuna Wanawake wako kwenye sekta za uchumi, biashara na maofisi mbalimbali kimaamuzi.

Thread yako imewahi sana kwa kuwa kama Taifa,tuna historia yetu ya kiutamaduni.Kwa post ya Uraisi hakika kunaitajika miaka 25 ijayo mbele nikimaanisha binti yangu mwenye umri wa miaka mitano sasa ambae kwa sasa kizazi changu ndicho kinaanza kuwaanda kutambua mfumo shirikiano kati ya mwanaume na mwanamke ukizinangatia kwenye uwezo wa mtu na si jinsia ya mtu.

Utamaduni wa kizazi ongozi cha Tanzania wa sasa ni kile cha mfumo DUME....ndio maana unasema mama Makinda alibebwa...na ni kweli na kama si HAIBA [PERSONALITY] ya Rais JK ya ukaribu wake na kina Mama ambao umemjenga kuwaona kuwa nao wanastahiki [Huku kwetu wanatafsiri yao-ambayo ndiyo hiyo tunaweza kusema mfumo dume] kuwa viongozi.

Hivyo mindset za wanawake wenyewe bado ni zile zile za kuona Mwanaume ndio kila kitu, japo wako wachache sana ambao wameanza kuwa na mwamko wakutambua kuwa wanaweza kufanya mashirikiano na jinsia nyingine pasipo kuona kwa jicho la tegemezi.

Leo hii unaona kwenye magazeti yenye vichwa vya habari MSICHANA AONGOZA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE, SITA AMA CHUO..Sasa kama news room kuna mindset za hivyo tegemea nini?

Bado sana sana hata mimi nakubali bado sana!!!!Siku Mwanamke akitoka na Mume wake, au Boyfriend na kushop kwa pesa yake binafsi pasipo manunguniko, wala hisia zozote za kubeba jukumu lisilo lake, wala kuibuka pia na hisia kuwa aliyepaswa kufanyiwa hiyo shopping ni yeye na si mwanaume basi ndipo hiyo HIGH POST watastahiki.[Kwa point hii simaanishi Vidumu, na Vingasti au Kina Mama Benzi, namaanisha well matured grown up, understood and developed in mind and spiritual].
That was then, now the game has changed!.
P
 
Pasco leo ni siku ya wanawake...yani kinamama. Ni sawa wamejitahidi sana kwenye sekta mbalimbali japo kuna Wanawake wako kwenye sekta za uchumi, biashara na maofisi mbalimbali kimaamuzi.

Thread yako imewahi sana kwa kuwa kama Taifa,tuna historia yetu ya kiutamaduni.Kwa post ya Uraisi hakika kunaitajika miaka 25 ijayo mbele nikimaanisha binti yangu mwenye umri wa miaka mitano sasa ambae kwa sasa kizazi changu ndicho kinaanza kuwaanda kutambua mfumo shirikiano kati ya mwanaume na mwanamke ukizinangatia kwenye uwezo wa mtu na si jinsia ya mtu.

Utamaduni wa kizazi ongozi cha Tanzania wa sasa ni kile cha mfumo DUME....ndio maana unasema mama Makinda alibebwa...na ni kweli na kama si HAIBA [PERSONALITY] ya Rais JK ya ukaribu wake na kina Mama ambao umemjenga kuwaona kuwa nao wanastahiki [Huku kwetu wanatafsiri yao-ambayo ndiyo hiyo tunaweza kusema mfumo dume] kuwa viongozi.

Hivyo mindset za wanawake wenyewe bado ni zile zile za kuona Mwanaume ndio kila kitu, japo wako wachache sana ambao wameanza kuwa na mwamko wakutambua kuwa wanaweza kufanya mashirikiano na jinsia nyingine pasipo kuona kwa jicho la tegemezi.

Leo hii unaona kwenye magazeti yenye vichwa vya habari MSICHANA AONGOZA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE, SITA AMA CHUO..Sasa kama news room kuna mindset za hivyo tegemea nini?

Bado sana sana hata mimi nakubali bado sana!!!!Siku Mwanamke akitoka na Mume wake, au Boyfriend na kushop kwa pesa yake binafsi pasipo manunguniko, wala hisia zozote za kubeba jukumu lisilo lake, wala kuibuka pia na hisia kuwa aliyepaswa kufanyiwa hiyo shopping ni yeye na si mwanaume basi ndipo hiyo HIGH POST watastahiki.[Kwa point hii simaanishi Vidumu, na Vingasti au Kina Mama Benzi, namaanisha well matured grown up, understood and developed in mind and spiritual].
The Game has Changed Automatically 🔥
 
Mfumo dume hauko kwenye kutoa fursa, mfumo dume upo kwenye vichwa.

Wanawake tunaweza sana tena kuliko wanaume nakila siku zinaposonga mbele tunauhakika kuwa tutasambaratisha mfumo uliopo, si kwa kupewa au kuhongwa bali kwa uwezo wetu.

Tatizo kubwa lipo kwetu wenyewe zaidi kuliko kwa wanaume. Wengi wetu tumekuwa "brainwashed" kuanzia malezi, makuzi, mashule, vyuo, makazini, majumbani kuwa mwanamke ni wa kupewa tu. Tumeshindwa kujinasuwa, Imefikia hatua sisi sasa tunahonga hata miili yetu ili kufanikisha mambo yetu, na hilo ndiyo kosa kubwa zaidi ya yote.

Wanawake wachache sana wameliona hilo na wameweza kujitoa huko na kubadilisha kabisa maisha ya mfumo wao.

Nnaamini, kwanza kabisa ni kupiga vita ya "gender harassment" katika mfumo mzima wa kimaisha ndipo tutafanikiwa.

Leo hii, mwanamke akijenga nyumba nzuri inakuwa "kajengewa", mwanamke akiwa na gari zuri inakuwa "kahongwa", akiwa na cheo au nyadhifa nzuri inakuwa "ana kigogo", akiwa na biashara nzuri "mumewe au bwanake nani?",

Mawazo duni kama hayo ndiyo yanafunga akili za watu kuwa mwanamke hawezi bila "kuhongwa" na imefikia mpaka wengi pia wanaamini hivyo.

Hali hiyo imefikia kuingia katika akili zetu mpaka wengi wetu hawaamini kuwa tunaweza bila "kuhongwa" au "kuhonga".

Mimi nnaamini tunaweza kuwatumikisha wanaume kama ma "manager" zetu na wasifurukute zaidi ya kuchukuwa amri na kuwa wakututumikia daima, tujiamini tu.

Uwezo tunao, nyenzo tunazo.

Uwezo aliotupa Mwenyeezi Mungu ni mkubwa kwa mara nyingi zaidi ya wanaume, tumependelewa sana tu. Iliyobaki ni wengi wetu kufunguka na kujuwa kuutumia uwezo wetu.

We are The Queens and so we shall remain.
Mkuu FaizaFoxy, naunga mkono hoja
P
 
Kwa Tanzania kuongozwa na mwanamke bado sana jamii hapo inaogopa sio wanaume tu hata wanawake ukiwauliza mwanamke awe rais watakwambia hapana bado jamii haijapevuka vya kutosha kumpa mwanamke nafasi kubwa ya nchi kama rais.

Anagalia dini zetu hizi je zinampa mwanamke nafasi sawa na mwaname jibu hapana, angalia makabira yetu bado sana kumpa mwanamke nasafi sawa na mwanamme.
Unasema?
 
Kwa Tanzania kuongozwa na mwanamke bado sana jamii hapo inaogopa sio wanaume tu hata wanawake ukiwauliza mwanamke awe rais watakwambia hapana bado jamii haijapevuka vya kutosha kumpa mwanamke nafasi kubwa ya nchi kama rais.

Anagalia dini zetu hizi je zinampa mwanamke nafasi sawa na mwaname jibu hapana, angalia makabira yetu bado sana kumpa mwanamke nasafi sawa na mwanamme.
Sasa nchi ndo inaongozwa na mwanamke.
Unaswmaje sasa
 
Mkuu jme , vipi sasa?.
P
Pascal, Mama kashika nchi kwa incident ya KIFO cha Boss wake kwa kuzingatia matakwa ya kikatiba (asingeshika PM). Ila kwa utaratibu wa kawaida wa uchaguzi, CCM hawawezi kuthubutu kumpa 'Mama' agombee (bado tuna jamii isiyo amini katika uwezo wa mwanamke).

President by INCIDENT.
 
Kwa Tanzania kuongozwa na mwanamke bado sana jamii hapo inaogopa sio wanaume tu hata wanawake ukiwauliza mwanamke awe rais watakwambia hapana bado jamii haijapevuka vya kutosha kumpa mwanamke nafasi kubwa ya nchi kama rais.

Anagalia dini zetu hizi je zinampa mwanamke nafasi sawa na mwaname jibu hapana, angalia makabira yetu bado sana kumpa mwanamke nasafi sawa na mwanamme.
Samia kasha kuwa Raisi tayari
 
Pascal, Mama kashika nchi kwa incident ya KIFO cha Boss wake kwa kuzingatia matakwa ya kikatiba (asingeshika PM). Ila kwa utaratibu wa kawaida wa uchaguzi, CCM hawawezi kuthubutu kumpa 'Mama' agombee (bado tuna jamii isiyo amini katika uwezo wa mwanamke).

President by INCIDENT.
Ccm ikipitisha mgombea hata kichaa atashinda sembuse mwanamke Africa uchaguzi huwa ni kiini macho acheni ku undermine wanawake
 
Ccm ikipitisha mgombea hata kichaa atashinda sembuse mwanamke Africa uchaguzi huwa ni kiini macho acheni ku undermine wanawake
Kabisa.

Tena mwanamke anauwezo mkubwa mno sema mfumo "umembrainwash" na si kwamba hawezi.
 
Kabisa.

Tena mwanamke anauwezo mkubwa mno sema mfumo "umembrainwash" na si kwamba hawezi.
Ni Imani potofu iliyojengeka kwa wanaume wa Africa nchi zote zinazoongozwa na wanawake zinafanya vizuri mfano ni ugerman yenye uchumi mkubwa
 
Adui wa mwanamke ni mwanamke
3df7b43b518c4e68808883492781843d.jpeg
 
Nilimsikia Hon Sitta akisema dakika za mwisho ikaamuliwa safari hii Spika awe Mwanamke ikawa hamna jinsi maana hawezi kujigeuza na kuwa m mama.MKUBALI AU MSIKUBALI HAKUNA MWANAMAMA WA KITANZANIA ANAWEZA KUWA MH.RAIS.siyo kama nawadharau bali hali halisi ya nchi yetu inawafanya wasiweze.Kitaalam tu angalia waziri wa fedha anvyofanya madudu.

Ashakua sasa
 
Wanabodi,

Leo ni Siku ya Wanawake Duniani, katika safari ya kuelekea usawa wa kijinsia, kuna wanawake wengi wenye sifa na uwezo, lakini wamenyimwa fursa za kushika nafasi za juu kisiasa kutokana na nyingi ya nafasi hizo, kuhodhiwa na wanaume, katika kitu kinachoitwa "mfumo dume!"

Swali ni je, nafasi hizo za juu kisiasa zimeshikwa na wanaume kwa sababu hatuna wanawake wenye sifa, au zimeendelea kushikwa na wanaume kwa sababu ya mfumo dume tuu, nikimaanisha wanawake wenye sifa wapo, lakini hawajateuliwa kushika nafasi hizo?

Kufuatia kilio cha muda mrefu cha wanawake kunyimwa fursa, je ni kweli tunao wanawake wenye sifa na uwezo wa kutupeleka kwenye 50/50?. Hebu na tuanzie na wanawake wenye sifa za urais, je tunao?

Hebu tuwakumbuke the top ten female politicians in Tanzania, na nafasi wanazoshika! Je, wamefikaje hapo, kwa kupanda wenyewe, au wamebebwa ndipo wakafika hapo? Je, wana sifa za urais?
  1. Top No.1 ni Mhe. Samia Suluhu Hassan.
    Huyu mama ni very powerful in Zanzibar na miongoni mwa wanawake wachache wa shoka kutoka Zanzibar. Ni Mjumbe wa CC na NEC wa CCM.
    Very high profile woman from Zanzibar, baada ya kuhudumu kwa miaka 10 kwenye Baraza la Wawakilishi, ameingia Bunge la JMT for 5 years sasa ni VP kumuandaa ama kuwa rais wa Zanzibar kisha kuja bara, au kumpumzusha JPM 2020
Paskali.
Sasa hamishia majeshi kwa mama,unaweza pata kanafasi maana kwa marehemu uligonga mwamba
Karibu pande hizi, ila kwanza angalia tarehe za bandiko.
P
 
Back
Top Bottom