Ha ha haa, yaan hapo ni kama unataka sisi ndo tuwe wanaume sasa kama nyapu chukua yote mkuu
Kuna kitu hapo nimeona kupitia kaka zangu.....jamani kuna wale kina dada wanaitwa Mlango wa nane wale kule Tanga twaita ivo!! ?nao hao wana taka kuolewa ati sababu nao ni binadamu.
Mlango wa nane kuleee Tanga wanitwa ivo!!..huyu ke hata ajitahidi vepi kukimbiwa kuna Muhusu tu!......wanawake wenzangu mkitaka tulieni na jamaa zenu msiruke! ruke kwa sababu unaweza ruka huko na huko!! kuumbe........
ukaja angukia kwenye riji mlango wa nane Dume sugu kumbuka weye mwanamke unabeba vitu unatembea navyo me huyo wa mlango wa nane yeye anatema so umesha jiunganisha huko, na visivyoungwa unakwendaaa,
Wkt wa Usiku unampa mmeo Nyapu iliyo beba vitu vya mlango wa nane! Matokeo yanakuwa dhahiri! ulivyo nogewa unarudi tena na tena huko unaneni!! kwa me wanao jua mambo unadhania atakaa hapo penye Mlango huo tuuu!
ili iweje kwanza wkt mambo yake hayaendi sawa??? hakuna anaye penda taabu! hapa chini ya JUa ukikutana na mlango wa nane me hutakaa ujue km mambo yako vile!! sasa nakuulizza huyo mmeo atakaa nawe ili iweje??
kwa wale ME hasa wanao jua mambo ya kijamii! mwanangu utaumia anasepa taatibuuu!! Ghafla uko peke yako yeye kaondoka kitambooo!! kwa kuwa weye ke umesha nogewa na hili jambo hulijui!!
Labda uwe na Bahati Sana upitie hapa usome au shoga yako mpendwa wa karibi mwenye Ilimu km hii, akuume sikio.... EEwe mwana JF ukitaka kuhakiki hili jambo nalo sema hakika jaribuni kuchunguza hili jambo!!
kuna me/ke wengi sana walikuwa Matajiri sanaaaa!! lkn Kwa sababu moja ama nyingine wakaamua kuacha wake zao wakaoa kwingine ktka ile oa!! oa!! wengi wanaangukiaga Mlango wa nane!!
Matokeo yake yanasikitisha sana!! hao walikufa Maskini kunuka wa kutupwaaa ile mbaya!!......na hawa ndo wengi kwenye jamii zetu hizi Nawaambia haya ke/me mjuageee! na mjitibiege mapema!! ili muwe salama!!
Ndg zangu wana JF! nasema haya kwa kuwa nayajua Live!! Msijaribu kuruka ruka .....wengine pia mnajua mnaona lkn hii Elimu hamnayo, chunguzeni miongoni mwenu mko ivo!!
Heshimu saaaana mke / Mume unaye panda naye kimaisha na mkafanikiwa km umeona umeshindwa kabisa kwa namna flani muachie amiliki yeye na km akifanya kosa kwa uliyo muachia atalia kfiukuto!!!
sometimes me/ke ukiachwa usilie litafakari hili...lazima upime nyota yako kwanza kwa kukaa na mtu mmoja mda mrefu!! NIONE IN BOX NINA KADAWA KA KUREKEBISHA HILI JAMBO!
ILA ME/KE UWE MWAMINIFU KWA MUMEO! UKIJIRUSHA HOVYO NJE TU, UTA HARIBU MTIRIRKO WA FINANCIAL STATUS YA MUMEO VIBAYA, NA ATAKUACHA TU! SIYO KOSA LAKE SABABU ATAKUPA NINI?
WANAO WATA SOMEA NINI?!...MTAISHIA KUPANGA MPAKA LINI?? NI WAZI MTATUNZWA TU......SASA KIDUME KABISA KIBISHI KITAKUBALI KUTUNZWA? ...DAWA NI KUKUKIMBIA TU WEYE KE ULIYE HARIBU BILA KUJUA!!!
Mwisho nawaomba wanawake woote Duniani km mnataka maisha Bomba na hawa viumbe jiangalieni mtokako na muingiapo sababu nyie ndo mnaachiwa vitu huko kunako papuchi
So! mnavibeba Miiili ya watu wenye mikosi mna leta ndani kwako!! kuumbe umebeba mikosi weye bila kujua Mwaka tu! mmeo kafirlisika!...ebu fikiria tu ke anajirusha na Muuza genge/mlinzi/mchunga ng'ombe!!
huyo kaleta bonge la mikosi ndani labda huyo mchunga ngombe awe hayuko kwenye kundi tajwa!! lkn mara nyingiiiii ni hatare!....fanya ila jua hilo lipo.Dunia iko kivingine sana!
hata Biblia inasema ajiunganishae na kahaba wamekuwa Mwili mmoja!...sasa km umekuwa Mwili mmoja na Mlango wa nane Je mUMEO unaye mpa papuchi hiyo si mko mwili mmoja tayari???NIMEWAPA BURE HILI SOMO HAPA!LISHIKE NA LIKUSHIKE PIA!