Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Ndio hivyo.Hamna kitu kama hicho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hivyo.Hamna kitu kama hicho
Rahisi sana1. Niamshe nipe cha asubuhi bila ya kukuomba
2. Usilale na nguo na pia elekeza tako upande wangu/nipe mgongo wakati wa kulala.
3. Chunga sana kupigiwa simu za wanaume wengine hata kama ni wafanyakazi wenzako.
Hayo tu
Ndo ivo mkuuHahahahahahahah
Hakika...Ndo njia sahihi kama adamu na hawa
Mtusamehe,kutuvumilia na kuturekebishaMkuu kuna baadhi ya wanawake huwa hawajielewi...yaani unakuta mko katikati ya tendo anaanza kukumbusha habari za mchango wa harusi, mara sjui pesa ya nguo uliyomuahidi utampa lini n.k
Yaani wanakata stimu kabisa , au umerudi tu kutoka ktk mihangaiko yako umechoka ghafla anaanza kukuelezea mashtaka ya mawifi zake, watoto n.k
Hainaga kuwahi wala kuchelewa...Hatujachelewa?
Aisee [emoji848][emoji1]Amesema kila kitu mkuu
Hakuna kabisaNa hakuna kupangwa hapo