DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Mi mkatoliki mkuu[emoji4]Haongezi mke mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi mkatoliki mkuu[emoji4]Haongezi mke mkuu?
HakikaJamaa kajitoa ufahamu
Kwaiyo na ww unataka ufaidike na hup usawa?Ni sahihi ukizingatia huu wakati ni usawa kwa wote by the way wanawake miaka hii Wana fursa nyingi kuliko wanaume lakini bado wanaona ni haki yao kihudumiwa wakisahau wajibu wao
Mkuu kuna baadhi ya wanawake huwa hawajielewi...yaani unakuta mko katikati ya tendo anaanza kukumbusha habari za mchango wa harusi, mara sjui pesa ya nguo uliyomuahidi utampa lini n.kWanaume kama ilivyo Kwa wanawake, hatupendi stress za rejareja. Hatupendi makelele ( hapa namaanisha mjifunze kyfikisha malalamuko, mapendekekezo au kukosoa Kwa staha). Mwanaume anaeweza kutulia na mtu yeyote anaempa utulivu, hata kama Hana kingine Cha ziada, ili tu anaonyesha kumheshimu na kumkosoa Kwa staha.
Pia kutuelewa kwamba tunavurugwa na mambo mengi kama ilivyo kwenu pia. Inahitaji kumwelewa mtu wako wakati Gani umwambie jambo Gani akakusikiliza.
Ya mwisho, hauwezi kumchunga binadam. Onyesha kumwamini na yeye ajue unamwamini hata kama unaona viashiria na chembechembe za ugaidi ( kuchepuka). Tulizana ukikusanya ushahudi wako huku ukitumia diplomasia kuigiza uko sawa. Kutufuatilia sana na wasiwasi uliopitiliza hua inafanya mpoteze point kirahisi sana. Kuna wakati jambo halihusiani kabisa na mambo ya mahusiano mtu anataka akufuatilie Kila kitu na kuongea Kwa kujiamini huku akiwa Hana uhakika. Kwa ufupi wanaume hatupendi kelele.
Niwatakie maadhimisho mema Mama zetu, Dada zetu, Binti zetu, malkia wake zetu, na wanawake wote Kwa ujumla.
1. Niamshe nipe cha asubuhi bila ya kukuombaMaana kiukweli dunia hii imeshatawaliwa na pesa, yaan utu wa binadamu umezongwa na kitu pesa. Mwanaume hataki kuhudumia ila anataka kisafi chenye mwonekano bora na mwanamke anataka kuhudumiwa(pesa) ili awe safi na mwonekano bora ambao mwanaume anautaka.
Sasa kilichonileta ni kutaka kujua toka kwenu vijana na watu wazima tuwafanyie nn ili mjisikie aman kuwa mpo penzini na mnapendwa mtulie pia na muweze kutafuta pesa ndani izidi kuongezeka kutokana na amani ya nafsi mliyonayo.
(hapa kwa wanawake kama hatujui,mwanaume ukimpa stress hata nguvu ya kusaka mavumba hupungua...ni jasiri kimwonekano ila moyoni ni dhaifu ivo kama unampenda usimpe stress mumeo).
Je tuwasikilize kwa kila kitu mpaka tuonekane punguani? Je tuwaachie majukumu ya kulea then sisi tuwatafutie mkwanja...maana nyie mmetusahau tunalea wenyewe? Yaan kuna muda huwa nashangaa mwanaume anaposema nani kama mama wakati hapohapo mama wa watoto wake hamjali.
Mpaka nimeandika hivyo vyote ni kwa sababu nimeona kuna wanaume wanateswa sana kihisia na wanawake tena sana( kuna wanaume wananyanyaswa ila hawasemi tu kuogopa dharau za wanalimwengu na ndo maana huishia kuua,kujiua,kuchanganyikiwa na kuzorota kiuchumi.Inaogopesha sana wanadamu kuishiwa kiupendo kias hiki.
Leo ni siku ya wanawake duniani,tuambieni tuwafanyie nn ili tulinde mahusiano yetu? Maana tukubali tukatae kupendana na kuheshimiana penzini ni raha sana.
Nawasilisha
[emoji1][emoji1][emoji1]Endeleeni tu hivyo hivyo, jua tu ukizingua tunavuta chombo kingine swaaafi...
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Mwanamke kutaka kuhudumiwa na mwanaume ni dalili ya umasikini, tafuta hela hata mwanaume naye ni chombo cha starehe tu
Tigo Tena !? [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] SMH [emoji32]Ni kweli kwenye kusikiliza hapo nakili udhaifu tumepungukiwa ila kwenye kuwapa kila kitu tigo hatutoi maana kwenye kujifungua tunapodhalilika nyie mnakuwa hampo
No fishing here [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Mleta mada njoo pm nikupe mbinu
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji119]Siku mkiacha unafiki kama huu uliopost hapa maisha yatakua poa Sana
Uchafu mnaofanya nyuma ya pazia huko ni hatariiii Sana
We check hata reply zako utajua tuu huu ni unafiki
Yaan mnatufanyia unafiki wa hali ya juu Sana tunakuja shtuka tumeingia cha kike
Kubwa Sana halafu hapo hapo wanataka 50/50 wakati bado hawataki kuwa independent , wewe Umeshawahi kuona wapi anayelishwa akawa na kauli ya mwisho ktk huu ulimwengu!?Kwanza kabisa swala la mwanamke kuwa na mindset kwamba mwanaume amuhudumie ili apendeze tayari tatizo
HahahahahahahahNi kweli kwenye kusikiliza hapo nakili udhaifu tumepungukiwa ila kwenye kuwapa kila kitu tigo hatutoi maana kwenye kujifungua tunapodhalilika nyie mnakuwa hampo
Na mkivuta kwani tunakufa?Endeleeni tu hivyo hivyo, jua tu ukizingua tunavuta chombo kingine swaaafi...
Na mkivuta kwani tunakufa?
Cha muhimu uhai, na si tunavuta tu na sisi[emoji1787]Utapambana na hali yako mkwe [emoji4]
Cha muhimu uhai, na si tunavuta tu na sisi[emoji1787]