Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha mambo mremboNawe unasupport mkuu
Hahaha,sawa .utapata faida ukijaSawa mkuu...soon
Nimeaka poa kbs, cjui ww maana naona unaomba ushauriPoa Mkuu,umeamkaje
Unaona unafiki ninaosema?????Ee bhana,leo siku yetu ni lazima tuwe wapole na tuwasikilize
Asalam aleikyum mkuu...😂Siku mkiacha unafiki kama huu uliopost hapa maisha yatakua poa Sana
Uchafu mnaofanya nyuma ya pazia huko ni hatariiii Sana
We check hata reply zako utajua tuu huu ni unafiki
Yaan mnatufanyia unafiki wa hali ya juu Sana tunakuja shtuka tumeingia cha kike
Hongereni sana, karibu nakusikiliza. Au unakuja pm nikusikilize vzr?Ee bhana,leo siku yetu ni lazima tuwe wapole na tuwasikilize
Ushenzi? HahahahaUnaona unafiki ninaosema?????
Mnakua wa pole leo tuu kesho mnaendeleza ushenzi wenu kama kawaida
Unaingizwa cha kike mzee babahongereni sana,karibu nakusikiliza. Au unakuja pm nikusikilize vzr?
Hilo sikatai mkuu,ni kweli tupu but relaxSiku mkiacha unafiki kama huu uliopost hapa maisha yatakua poa Sana
Uchafu mnaofanya nyuma ya pazia huko ni hatariiii Sana
We check hata reply zako utajua tuu huu ni unafiki
Yaan mnatufanyia unafiki wa hali ya juu Sana tunakuja shtuka tumeingia cha kike
maisha bila unafiki hayaendi.hahahaha ucpanicUnaingizwa cha kike mzee baba
Huo ni unafiki
Msitubambikie watotoMaana kiukweli dunia hii imeshatawaliwa na pesa ,yaan utu wa binadamu umezongwa na kitu pesa.Mwanaume hataki kuhudumia ila anataka kisafi chenye mwonekano bora na mwanamke anataka kuhudumiwa(pesa) ili awe safi na mwonekano bora ambao mwanaume anautaka.
Sasa kilichonileta ni kutaka kujua toka kwenu vijana na watu wazima tuwafanyie nn ili mjisikie aman kuwa mpo penzini na mnapendwa mtulie pia na muweze kutafuta pesa ndani izidi kuongezeka kutokana na amani ya nafsi mliyonayo.(hapa kwa wanawake kama hatujui,mwanaume ukimpa stress
Hata nikimaanisha kn tatizo?Ameandika tu nae hamaanishi mkuu