Siku ya Wanawake Duniani; Nini kifanyike katika kulinda mahusiano?

Siku ya Wanawake Duniani; Nini kifanyike katika kulinda mahusiano?

Siku mkiacha unafiki kama huu uliopost hapa maisha yatakua poa Sana

Uchafu mnaofanya nyuma ya pazia huko ni hatariiii Sana
We check hata reply zako utajua tuu huu ni unafiki

Yaan mnatufanyia unafiki wa hali ya juu Sana tunakuja shtuka tumeingia cha kike
 
Siku mkiacha unafiki kama huu uliopost hapa maisha yatakua poa Sana

Uchafu mnaofanya nyuma ya pazia huko ni hatariiii Sana
We check hata reply zako utajua tuu huu ni unafiki

Yaan mnatufanyia unafiki wa hali ya juu Sana tunakuja shtuka tumeingia cha kike
Asalam aleikyum mkuu...😂
 
Mwanaume anahitaji sana HESHIMA na UTII kutoka kwa mwanamke.

Pili, ni kumridhisha katika suala la kitandani!!! Mwanamke ajue kujituma awapo kitandani (asiwe goigoi), yaani mwanamke akiwa kitandani anatakiwa awe kama Malaya kwa mumewe. Be wild

Ukifanya hayo ,mwanaume utamkamata daima.Yaani nafsi yake itakuwa mtumwa kwako.
 
Siku mkiacha unafiki kama huu uliopost hapa maisha yatakua poa Sana

Uchafu mnaofanya nyuma ya pazia huko ni hatariiii Sana
We check hata reply zako utajua tuu huu ni unafiki

Yaan mnatufanyia unafiki wa hali ya juu Sana tunakuja shtuka tumeingia cha kike
Hilo sikatai mkuu,ni kweli tupu but relax
 
Maana kiukweli dunia hii imeshatawaliwa na pesa ,yaan utu wa binadamu umezongwa na kitu pesa.Mwanaume hataki kuhudumia ila anataka kisafi chenye mwonekano bora na mwanamke anataka kuhudumiwa(pesa) ili awe safi na mwonekano bora ambao mwanaume anautaka.
Sasa kilichonileta ni kutaka kujua toka kwenu vijana na watu wazima tuwafanyie nn ili mjisikie aman kuwa mpo penzini na mnapendwa mtulie pia na muweze kutafuta pesa ndani izidi kuongezeka kutokana na amani ya nafsi mliyonayo.(hapa kwa wanawake kama hatujui,mwanaume ukimpa stress
Msitubambikie watoto
 
Back
Top Bottom