Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”

Naunga mkono hoja
P
 
Wallah tena Wallah kisha tena Wallah Pascal una lako jambo.Una nini wewe mkuu na huyu mama yetu? Umemsifia mno na hii mara yako pili mpaka inaleta dhana.Naomba uache.
Kama mtu anastahili sifa, is there a problem?, au kuna idadi ya mwisho ya kumsifia mtu?.
P
 
Haya sasa yatafanyika
P
 
Duh....!, napitia mabandiko humu, kuna watu mna midomo balaa!. Yaani unasema kitu halafu kinakuja kutokea!.
P
 
duh!.mkuu Pascal ukiamua kupamba unapamba kweli kweli..nimepitia roughly kwa kweli vingi km si vyote nakubaliana navyo mkuu.
Sio kupamba, kupamba hufanywa kwa mapambo...hii ni kweli tupu hakuna mapambo yoyote wala kupamba!.

P
 
Paskali, kama WENGINE wanavyopenda mada zako (rejea Bandiko naba 57),nimye pia huwa napendaga mada/makala zako. Je, hii nayo tuiite KUSOMA NYAKATI? (unaiitagaje vle kwa Kiingereza)?......READING!
Trends reader, trends readings, and trends setting.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…